Dakarai
JF-Expert Member
- Jan 17, 2023
- 671
- 1,245
Ahsante mkuu kwakuwa wewe pia umeona kile nilichokiona.Kuna point hapo umeiongea nacho jua wewe sio mtu wa kawaida....Ni Watanzania wachache sana wana ilo jicho....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mkuu kwakuwa wewe pia umeona kile nilichokiona.Kuna point hapo umeiongea nacho jua wewe sio mtu wa kawaida....Ni Watanzania wachache sana wana ilo jicho....
Umechambua vyemaNimeusoma summary ya Utafiti huo.
Sababu kuu ni most of uneducated wako Vijijini, ambako kujenga nyumba ni gharama rahisi sana.
Huku Mjini ambako ndiko walipo "educated" gharama za ujenzi ziko juu.
Kiwanja tuu kukipata ni ishu, pia ukijenga expectations ni Nyumba ya Kisasa.
Wengi wanaishia kupanga.
Wakati huko Vijijini, Kiwanja unakatiwa sehemu ya Shamba.
Utafiti pia haujazingatia quality ya nyumba.
Pia utafiti unaonyesha jinsi namba ya ambao hawajavuka sekondari( Uneducated) ni kubwa kuliko Waliofika chuo(educated).
KenyaNchi gan hiyo
Mm nipo industry za Lab na medical issues still sisi wa Tz tumelala sana na hatuna Exposure...Ahsante mkuu kwakuwa wewe pia umeona kile nilichokiona.
Uniqueness ipo Kwa mtu mwenyewe ila kunaweza kukawa hakuna utofauti wowote & vice versa is true🤣🤣Unawezaje kumtofautisha Mtanzania aliyesoma Harvard au MIT na Mtanzania aliyesoma UDOM kama wote wameajiriwa wizara moja hapa hapa bongo?
Wanakula Kodi....yaan tena usicheleweshe hata siku Moja😎😎Kwa mijini wengi ambao hawajasoma elimu za juu ni nyumba za urithi
mkuu unerahisisha kidogo kwa kuwa more specific utofauti wao katika aspect gani?Unawezaje kumtofautisha Mtanzania aliyesoma Harvard au MIT na Mtanzania aliyesoma UDOM kama wote wameajiriwa wizara moja hapa hapa bongo?
Kwenye ufisadimkuu unerahisisha kidogo kwa kuwa more specific utofauti wao katika aspect gani?
kama ni kujiamini!
huyo wa havard atajiamini kuliko wa udom!
kama ni ufanisi wa kazi!
itategemea ni nani yupo passionate na kile anachokifanya.
Hivi Dr. Sebi tunamuweka kundi gani?Mm nipo industry za Lab na medical issues still sisi wa Tz tumelala sana na hatuna Exposure...
Mkuu umenikwaza sana usirudie tena kuitaja taja DODOMA kama huna issue za msingi.Wanajenga nyumba kijijini kwa wapi huko? Nilikuwa Dodoma vijijini kama wiki tatu zilizopita, kila kijiji nilichopita nilikutana na tembe tu. Au tembe nazo ni nyumba?
Nazingatia hili mkuu.Mkuu nyumba ni choo
🤓🤓Mkuu nyumba ni choo
hahahaha mkuu hahahaKwenye ufisadi
Je? Angesema chuo kikuu Cha kata🤣🤣🤣 we jamaa ungerusha ngumi....😊😊 Natania tu.....Mkuu umenikwaza sana usirudie tena kuitaja taja DODOMA kama huna issue za msingi.
Hapa Duniani Isue Ni Nini??mwenye elimu ni bora kuliko asie na elimu.kujenga nyumba sio issue kiviile mtu yoyote anaweza kujenga nyumba akijipanga.
Sultan MackJoe Khalifa unaitwa huku..Hapa Duniani Isue Ni Nini??
Kwasababu walianza mishe mishe mapema wakati wahitimu wako madarasani. Na sababu yapili kuhusu ajira nakubaliana nao piaUtafiti wa KNBS umeonesha kua asilimia 46.7 ya wanaume ambao wana nyumba hawana ELIMU rasmi, ikilinganishwa na asilimia 32.2 ambao wamepita shule ya upili.....
Kulingana na utafiti huo Hilo linatokana na kwamba wasomi wengi huishia mijini kusaka ajira na kuishi nyumba za kupanga huku wenzao Wasio na Kisomo wakisalia vijijini huku wakijenga nyumba zao....
Source: Phoenix