Utafiti waonesha Wanaume Wengi Wasio na Kisomo Wanamiliki Nyumba Kuliko Waliohitimu

Utafiti waonesha Wanaume Wengi Wasio na Kisomo Wanamiliki Nyumba Kuliko Waliohitimu

Tajiri ambaye hakusoma wakati huo anahangaika kumtafutia elimu mwanaye.Mtu mwenye ahueni tu ya maisha labda ana nyumba na gari,duka Yuko busy kufuatilia maisha ya waliofaulu yeye akafeli.Ujuha ni kuzani elimu Haina maana eti kwa sababu ya pessa.

Siku ukiumwa si unamhitaji daktari aliyepanga,si umekamatwa na polisi si unamhitaji mwanasheria aliyepanga.Msomi anamhitaji tajari layman ili apate pesa kutokana na huduma aliyompa.

Niseme Leo ukiona mtu anadharau elimu jua huyo anapesa tu ya kumtosha yeye na sio tajiri lakini tajiri ambaye hakusoma anaipa heshima elimu kwa kuwa mambo yake yanaendeshwa na wasomi.Pesa hata mtu ambaye hakugusa darasi anaitafuta lakini utaalamu una njia zake na si wote wanaupata.
 
Utafiti wa KNBS umeonesha kua asilimia 46.7 ya wanaume ambao wana nyumba hawana ELIMU rasmi, ikilinganishwa na asilimia 32.2 ambao wamepita shule ya upili.....

Kulingana na utafiti huo Hilo linatokana na kwamba wasomi wengi huishia mijini kusaka ajira na kuishi nyumba za kupanga huku wenzao Wasio na Kisomo wakisalia vijijini huku wakijenga nyumba zao....

Source: Phoenix
Binafsi siamini kama kumiliki nyumba (Bila kujali ubora, ukubwa wake na eneo ilipo) kuwa ni kipimo cha maendeleo.
Nilipokuwa nasoma masomo ya uchumi enzi hizo yalinifundisha kuwa;, kwa watu wenye kipato cha kawaida kama huku Africa, haiwezekani kufanya vitu vyote kwa pamoja hivyo kila mmoja atafanya kulingana na vipaumbele vyake huku wote wakiwa sahihi..
Mfano:
  • mmoja ana amua kujenga, Mwingine ana amua kufungua biashara ndio ajenge baadae
  • Mmoja ana amua kujenga mwingine ana amua kununua gari atajenga baadae
  • Mwingine ana amua kujenga mwingine anaamua kusomesha wototo shule za gharama, akajenge baadae
  • Mmoja anamua kujenga nyumba ya udongo chumba kimoja, mwingine anajikusanya akajenge baadae nzuri
  • Nyongeza; mkianza maisha wote, mmoja akaanza kununua Godoro (huku hana TV), na mwingine aka amua kununua TV (huku akilala chini) wote wapo sawa na hakuna mwenye akili kuliko mwingine, tofauti yake vipaumbelle binafsi au niseme opportunity cost.
Mwisho; mazingira ya mjini hufanya watu wachelewe kujenga
  • Kwanza nyumba za kupanga zipo hivyo kuna mbadala wa haraka
  • Ubora wa Nyumba za mjini upo juu hivyo watu hawavutiwi kujenga ilimradi waonekane waamejenga
  • Gharama za maisha na ujenzi kwa ujumla kuwa juu sana mjini kuliko vijijini
 
Nyuzi za nyumba zimeanza mtiririko ni ule ule wabeba box, Ndoa, tusio na magari na nyumba... vifaa vya Ujenzi sio ghari na vingi vinaagizwa Nje ya Nchi ni kuiomba Serikali ipunguze makali ya Kodi nyuzi hizi zitapungua maana inaonekana kujenga nako ni swala Gumu sana...
😊😊
 
Nyuzi za nyumba zimeanza mtiririko ni ule ule wabeba box, Ndoa, tusio na magari na nyumba... vifaa vya Ujenzi sio ghari na vingi vinaagizwa Nje ya Nchi ni kuiomba Serikali ipunguze makali ya Kodi nyuzi hizi zitapungua maana inaonekana kujenga nako ni swala Gumu sana...

Sema nachopenda ukizichukulia kwa ajili ya mafunzo zinafundisha sana huwezi kuamini zile nyuzi za [mention]Sky Eclat [/mention] za kujenga ghorofa za kuishi nawafahamu watu kama watatu humu mmoja mwanza na mwingine Arusha na mwingine Dodoma wamejenga vighorofa safi kwa kuhamasishwa na nyuzi za yule mama, hivo unachukulia ni funzo hata kama zina maumivu upande mwingine
 
Tajiri ambaye hakusoma wakati huo anahangaika kumtafutia elimu mwanaye.Mtu mwenye ahueni tu ya maisha labda ana nyumba na gari,duka Yuko busy kufuatilia maisha ya waliofaulu yeye akafeli.Ujuha ni kuzani elimu Haina maana eti kwa sababu ya pessa.

Siku ukiumwa si unamhitaji daktari aliyepanga,si umekamatwa na polisi si unamhitaji mwanasheria aliyepanga.Msomi anamhitaji tajari layman ili apate pesa kutokana na huduma aliyompa.

Niseme Leo ukiona mtu anadharau elimu jua huyo anapesa tu ya kumtosha yeye na sio tajiri lakini tajiri ambaye hakusoma anaipa heshima elimu kwa kuwa mambo yake yanaendeshwa na wasomi.Pesa hata mtu ambaye hakugusa darasi anaitafuta lakini utaalamu una njia zake na si wote wanaupata.
Kwaio diamond platnum anaweza mdharau Dr au prof. Kwa kua yeye ameachive zaidi ya hao wasomi?

Kikubwa tuheshimiane au nasema uongo ndugu zangu...In JPM voice..
 
Binafsi siamini kama kumiliki nyumba (Bila kujali ubora, ukubwa wake na eneo ilipo) kuwa ni kipimo cha maendeleo.
Nilipokuwa nasoma masomo ya uchumi enzi hizo yalinifundisha kuwa;, kwa watu wenye kipato cha kawaida kama huku Africa, haiwezekani kufanya vitu vyote kwa pamoja hivyo kila mmoja atafanya kulingana na vipaumbele vyake huku wote wakiwa sahihi..
Mfano:
  • mmoja ana amua kujenga, Mwingine ana amua kufungua biashara ndio ajenge baadae
  • Mmoja ana amua kujenga mwingine ana amua kununua gari atajenga baadae
  • Mwingine ana amua kujenga mwingine anaamua kusomesha wototo shule za gharama, akajenge baadae
  • Mmoja anamua kujenga nyumba ya udongo chumba kimoja, mwingine anajikusanya akajenge baadae nzuri
  • Nyongeza; mkianza maisha wote, mmoja akaanza kununua Godoro (huku hana TV), na mwingine aka amua kununua TV (huku akilala chini) wote wapo sawa na hakuna mwenye akili kuliko mwingine, tofauti yake vipaumbelle binafsi au niseme opportunity cost.
Mwisho; mazingira ya mjini hufanya watu wachelewe kujenga
  • Kwanza nyumba za kupanga zipo hivyo kuna mbadala wa haraka
  • Ubora wa Nyumba za mjini upo juu hivyo watu hawavutiwi kujenga ilimradi waonekane waamejenga
  • Gharama za maisha na ujenzi kwa ujumla kuwa juu sana mjini kuliko vijijini
😊🙂 Asante sana Kwa haya maarifa...
 
Elimu yetu inatakiwa kufa reformed.

1. Miaka ya shule ipungue.
2. Elimu iwe kwa vitendo na kila course iwe na pande mbili. 70% ijikite kwenye kujiajiri
3. Serikali izuie au iratibu idadi ya watu kusoma course ambazo hazina tija.
 
Kwaio diamond platnum anaweza mdharau Dr au prof. Kwa kua yeye ameachive zaidi ya hao wasomi?

Kikubwa tuheshimiane au nasema uongo ndugu zangu...In JPM voice..

Ishu kubbwa katika haya maisha ni vipaumbele vya mtu na maisha yake binafsi
 
Utafiti wa KNBS umeonesha kua asilimia 46.7 ya wanaume ambao wana nyumba hawana ELIMU rasmi, ikilinganishwa na asilimia 32.2 ambao wamepita shule ya upili.....

Kulingana na utafiti huo Hilo linatokana na kwamba wasomi wengi huishia mijini kusaka ajira na kuishi nyumba za kupanga huku wenzao Wasio na Kisomo wakisalia vijijini huku wakijenga nyumba zao....

Source: Phoenix
Ujue kutofautisha Nyumba na Vibanda.
Waafrika wenye nyumba ni wachache sana.
Wasomi huwa hawapendi kujenga vibanda.

Kwa sasa nyumba ina cost kama milioni 50 wakati kibanda mil10-20 unajenga.
Somshauri msomi ajenge kubanda wala sishituki mtu akijenga kibanda.
 
Ujue kutofautisha Nyumba na Vibanda.
Waafrika wenye nyumba ni wachache sana.
Wasomi huwa hawapendi kujenga vibanda.

Kwa sasa nyumba ina cost kama milioni 50 wakati kibanda mil10-20 unajenga.
Somshauri msomi ajenge kubanda wala sishituki mtu akijenga kibanda.
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom