Utafiti waonyesha wanaume wenye vipara wanawavutia sana wanawake kuliko wenye nywele

Baada ya uzi huu

Slay quee be like..

"Baby ungekuwa na kaupara flan amaizing,ungependeza"[emoji16]
 
Tutafika tumechoka mno sahiz tunataka Tena vipara wasivute Tena bangi na wasiwe na sixpack[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna tutakufaa tuko hoii shangaziiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pumba za wahaya hizi 🤢🤮🤮🤮
 
Kumbe ndio maana Huwa hawanikatai,nikigusa tuu imoo
 
Wewe kua na parà lako na usiwe na hela hapo utafurahishwa.
Utaachwa umeshika mdomo na atafuatwa mwenye hela kiduku na hereni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…