UTAFITI: Wasichana wanaopenda kuvaa nguo ndefu/suruali wana miguu myembamba!

UTAFITI: Wasichana wanaopenda kuvaa nguo ndefu/suruali wana miguu myembamba!

Red: Cross-sectional...longitudinal/cohort or case-control?

Blue: Simple, systematic, cluster or stratified random sampling?
Sasa shida yako ni kutaka kuonyesha unajua sana au? Mbona majibu yako dhahiri! Hivi survey kama hii inaweza kuwa longitudinal? Yaani jamaa akomae kwa miaka 50 kwa lengo la kuleta matokeo yake jf? Kwa hiyo ni dhahiri ni cros-sectional!
 
Hii survey yako ina ukweli ndani yake, wasiwasi wangu ni hiyo 75% ya survey yako umeipata vipi.
 
Mi sioni vigezo wala masharti

Mimi sijaona vigezo na masharti vya kunishawishi juu ya huu utafiti kutoka kwa mtoa mad
Hivi unadhani Utafiti ni kitu cha kuamka kutoka huuko tusipokujua uje tu uufanye??
Watz embu tutafautishe kati ya Observation,survey na research. Huenda labda mtoa uzi ameangalia tu wakina dada wa mtaa A, B,C NA D akaleta majumuisho yake hapa akasema ndio utafiti!! [emoji18]
 
Mimi sijaona vigezo na masharti vya kunishawishi juu ya huu utafiti kutoka kwa mtoa mad
Hivi unadhani Utafiti ni kitu cha kuamka kutoka huuko tusipokujua uje tu uufanye??
Watz embu tutafautishe kati ya Observation,survey na research. Huenda labda mtoa uzi ameangalia tu wakina dada wa mtaa A, B,C NA D akaleta majumuisho yake hapa akasema ndio utafiti!! [emoji18]
Akajipange upya
 
Kwa kipindi kirefu nimejaribu kuwafuatilia wasichana wanaopenda kuvaa magauni au sekti ndefu katika karne hii ya ishirini na moja ili nijue kwamba wanavaa hivyo kutunza maadili ya Mwafrika au wana sababu zao nyingine...

Kwa utafiti wangu nimebaini kuwa zaidi ya asilimia sabini na tano ya wadada wanaovaa nguo ndefu na pia wanaovaa suruali wana usafiri mwembamba...

Orodha hii haijahusisha utafiti wa wale wanaovaa mavazi kulingana na imani zao... Imehushisha tu wale wanaovaa mavazi ya kawaida ambayo hayana muingiliano na imani yeyote...

Utafiti huu pia ukaendelea kubaini kuwa wadada wenye guu za bia hupenda sana kuvaa visketi au magauni mafupi na kuanika miguu yao hadharani...
Nadhani uliishiwa na funds, sasa andika recommendations katika research yako pendekeza mwingine aje aendelee kujua KWANINI WANAANIKA MIGUU YAO!!

NB: Wakati sisi tunafanya tafiti za miguu ya akina dada wenzetu wanafanya tafiti za jinsi ya kufika mars!!!
 
Weeeee sijawahi kuvaa kimini ila Nina mguu wa kihaya mix unyakyusani
 
Back
Top Bottom