miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Mkia wa mbuzi easy to go.... Na pia wana mikia ya mbuzi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkia wa mbuzi easy to go.... Na pia wana mikia ya mbuzi!
Kondoa [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hii survey yako ina ukweli ndani yake, wasiwasi wangu ni hiyo 75% ya survey yako umeipata vipi.
Me na miguu yangu kama miwa ya mtibwa napiga tu umino[emoji156] [emoji156]
Hahaha that's my girl. .. hatuna habari etiHeri kwako unapiga umino, hapa unapigwa ushorts kabsa na hii hot weather. Na huu u fido wajionee tupaja twa kuku, kwa raha zao na ma utafiti yao.
Ndio hivyokhee kumbe ?
basi sawaNdio hivyo
wanunulie mbege aiseeeNipo Marangu, kina dada wamechukia sana juu ya hiyo mada.
mbona kuna binti mmoja mkuu,miguu yako yote miwili ndio yeye mguu mmoja na anavaa suruali,apo ni vipiKwa kipindi kirefu nimejaribu kuwafuatilia wasichana wanaopenda kuvaa magauni au sekti ndefu katika karne hii ya ishirini na moja ili nijue kwamba wanavaa hivyo kutunza maadili ya Mwafrika au wana sababu zao nyingine...
Kwa utafiti wangu nimebaini kuwa zaidi ya asilimia sabini na tano ya wadada wanaovaa nguo ndefu na pia wanaovaa suruali wana usafiri mwembamba...
Orodha hii haijahusisha utafiti wa wale wanaovaa mavazi kulingana na imani zao... Imehushisha tu wale wanaovaa mavazi ya kawaida ambayo hayana muingiliano na imani yeyote...
Utafiti huu pia ukaendelea kubaini kuwa wadada wenye guu za bia hupenda sana kuvaa visketi au magauni mafupi na kuanika miguu yao hadharani...
Sikumaanisha vibayabasi sawa
Mmh!Kwa kipindi kirefu nimejaribu kuwafuatilia wasichana wanaopenda kuvaa magauni au sekti ndefu katika karne hii ya ishirini na moja ili nijue kwamba wanavaa hivyo kutunza maadili ya Mwafrika au wana sababu zao nyingine...
Kwa utafiti wangu nimebaini kuwa zaidi ya asilimia sabini na tano ya wadada wanaovaa nguo ndefu na pia wanaovaa suruali wana usafiri mwembamba...
Orodha hii haijahusisha utafiti wa wale wanaovaa mavazi kulingana na imani zao... Imehushisha tu wale wanaovaa mavazi ya kawaida ambayo hayana muingiliano na imani yeyote...
Utafiti huu pia ukaendelea kubaini kuwa wadada wenye guu za bia hupenda sana kuvaa visketi au magauni mafupi na kuanika miguu yao hadharani...