Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
..na bado. Ngumi nyingi zaidi zaja. Nawajua wahusika 😀😀😀He hee! Nimeshakula ngumi kadhaa mpaka sasa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..na bado. Ngumi nyingi zaidi zaja. Nawajua wahusika 😀😀😀He hee! Nimeshakula ngumi kadhaa mpaka sasa...
Eti utafiti. Unajua maana ya utafiti? Nikikuuliza umetumia njia gani kwenye
> Kukusanya taarifa / data
> Kuchambua taarifa / data
Utaweza zitaja?
Tatizo la Kiswahili halina maneno mengi... Hii kwa kiingereza tungeweza kuiita Survey... Njia kubwa niliyotumia ni observation at random sampling...
Utafiti ????hivi vitabia vya kuchungulia dada zenu vyumban mwao halaf unajikuta na ww n mtafiti hahhhhah ww n mpiga chabo mtu na gaun lake refu hyo miguu umeionea wap.....???nahis umepigwa kibut na manz yako
Mtaalamu wa mitishamba asili ...anatibu mapungufu ya nguvu za kiume ..0744069527.....pia anatibu magonjwa ya wakina dada ..maumivu chini ya kitovu ..kukosa hamu ya tendo .bleed isiyo na mpangilio...kushindwa kushika mimba...nitafute kupitia 0744069527..dr kanyas mtaalamu wa tiba asili
Kwa kipindi kirefu nimejaribu kuwafuatilia wasichana wanaopenda kuvaa magauni au sekti ndefu katika karne hii ya ishirini na moja ili nijue kwamba wanavaa hivyo kutunza maadili ya Mwafrika au wana sababu zao nyingine...
Kwa utafiti wangu nimebaini kuwa zaidi ya asilimia sabini na tano ya wadada wanaovaa nguo ndefu na pia wanaovaa suruali wana usafiri mwembamba...
Orodha hii haijahusisha utafiti wa wale wanaovaa mavazi kulingana na imani zao... Imehushisha tu wale wanaovaa mavazi ya kawaida ambayo hayana muingiliano na imani yeyote...
Utafiti huu pia ukaendelea kubaini kuwa wadada wenye guu za bia hupenda sana kuvaa visketi au magauni mafupi na kuanika miguu yao hadharani...
Kama wewe unajua sana namna ya kutafiti, ukisoma matokeo ya utafiti wa huyo jamaa utajua namna alivyoufanya. Kwanza amejaribu ku-define population na sample yake, na jinsi alivyopata sample yake ni kwa njia ya convenience (non probability sampling strategy), halafu methodology yake ni quantitative kwa jinsi alivyotumia percentages ku-report findings zake. Halafu inquiry/ gap yake ipo kwenye kuangalia kama kuna uhusiano kati ya body image na mavazi marefu hasa kutoka kiunoni kwenda chini. Halafu kwa sababu hajatoa context kwa sababu anafanya 'exploration' tu. Halafu yawezekana baadae akachagua hao wachache na kuwa-interview kwa makundi au mmoja mmoja (qualitative methodology) ili kuongeza understanding.
Na findings za huyu jamaa zinaweza kutumiwa na designers wa mavazi ili kukidhi mahitaji ya hao wateja wenye miguu hiyo na kuuza sana. Ingawaje non random selection haina generalization.
Kwa kifupi wewe ndio hujui 'utafiti' ni nini? Labda ungesema hajaufanya vizuri au njia sio sahihi sana kuliko kusema alichofanya huyu jamaa sio utafiti!!
Embu tuuone basii... Tujiridhishe[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji3] [emoji7] [emoji7]Weeeee sijawahi kuvaa kimini ila Nina mguu wa kihaya mix unyakyusani
Wewe jamaa unanichekeshaga sana na tangazo lako yaani kwenye mada za siasa silioni hili tangazo ila kaongelewa mwanamke basi tangazo linatokea ,umejua huku ndio kuna wakware wengi nini ,unafanya tu kama mamba anavyo wanasa Thomson GazelleMtaalamu wa mitishamba asili ...anatibu mapungufu ya nguvu za kiume ..0744069527.....pia anatibu magonjwa ya wakina dada ..maumivu chini ya kitovu ..kukosa hamu ya tendo .bleed isiyo na mpangilio...kushindwa kushika mimba...nitafute kupitia 0744069527..dr kanyas mtaalamu wa tiba asili
miss chagga, Umesalimika na utafiti huu? Mi ninaye Manka, lakini yuko saaaafi!khee kumbe ?
mchango huu kama unadhalilisha vile! Jaribu kuleta michango ya kujenga na kuelimisha. Pse!Wana pendeza nje tu ukiwatoa pichu harufu yake sasa
...njoo kibosho uone carrotNipo Marangu, kina dada wamechukia sana juu ya hiyo mada.