UTAFITI: Wasichana wanaopenda kuvaa nguo ndefu/suruali wana miguu myembamba!

Heri kwako unapiga umino, hapa unapigwa ushorts kabsa na hii hot weather. Na huu u fido wajionee tupaja twa kuku, kwa raha zao na ma utafiti yao.
Hahaha that's my girl. .. hatuna habari eti
 
Reactions: kui
Naunga mkono hoja ni kweli niko stendi huku nawaona kila siku[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Nipo Marangu, kina dada wamechukia sana juu ya hiyo mada.
 
mbona kuna binti mmoja mkuu,miguu yako yote miwili ndio yeye mguu mmoja na anavaa suruali,apo ni vipi
 
sasa kama miguu ilikuwa imefunikwa na suruali / sketi ndefu, ulijuaje kama ni myembamba?
 
Mtaalamu wa mitishamba asili ...anatibu mapungufu ya nguvu za kiume ..0744069527.....pia anatibu magonjwa ya wakina dada ..maumivu chini ya kitovu ..kukosa hamu ya tendo .bleed isiyo na mpangilio...kushindwa kushika mimba...nitafute kupitia 0744069527..dr kanyas mtaalamu wa tiba asili
 
Mmh!
 
Uliwezaje kuwafahamu wanawake hao wanaovaa sketi ndefu na suruali kwamba wana usafiri mwembamba wakati usafiri wao umefunikwa na hizo sketi ndefu?
 
Hayo wenye miguu midogo ndio wenye papuchi mnato kwa taarifa yako sasa nikwambie. ..by Utafiti wangu binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…