Utafiti: Watu milioni 17.5 ni maskini nchini Ujerumani(DW)

Utafiti: Watu milioni 17.5 ni maskini nchini Ujerumani(DW)

Rais Samia alisema Tanzania na Watanzania sio masikini. Tunakula Organic, tunao Ng'ombe na Mbuzi.

Umasikini ni mtizamo tu, hata hiyo taarifa ni mtizamo tu.
 
Tafsiri ya Masikini wa ujerumani ni yule ambaye hawezi kumiliki kampuni ambayo inakuwa na matawi nje ya ujerumani angalau Nchi mbili tofauti na masikini wa Tanzania ambaye anakuwa Hana uwezo wa kupata mahitaji muhimu ya mwanadamu kama chakula malazi na mavazi
 
Jibu maswali haya. Maskini wa Ujerumani ana shida ya madaraja kuvunjika wakati wa mvua, ana shida ya maji, barabara, vyoo vya shule na madawati ? Wana bima ya Taifa ? Kiwango cha kusoma na kuandika ni asilimia ngapi kwao na kwingine. Wanaliwa na mamba kwa kuchota maji mitoni na ziwani ? Wana mgao wa umeme mfululizo ? GDP yao ni kiasi gani kulinganisha na Bongo ? Kwa nini usingetoa mfano tu hata wa Burundi,, lakini Ujerumani duuuh sawa mkuu.
Mkuu maskini wa kule huku ni tajiri
 
Thanks to Olaf Scholz, Chancellor of Germany, who has just lost the confidence vote and will be stepping down before election date which was scheduled to be done on February 2025.
 
Maskini wa kule akistaafu hela anayepokea kila mwezi ni karibu na ml 10 ya Tanzania
 
Back
Top Bottom