Utafiti: Watu milioni 17.5 ni maskini nchini Ujerumani(DW)

Rais Samia alisema Tanzania na Watanzania sio masikini. Tunakula Organic, tunao Ng'ombe na Mbuzi.

Umasikini ni mtizamo tu, hata hiyo taarifa ni mtizamo tu.
 
Tafsiri ya Masikini wa ujerumani ni yule ambaye hawezi kumiliki kampuni ambayo inakuwa na matawi nje ya ujerumani angalau Nchi mbili tofauti na masikini wa Tanzania ambaye anakuwa Hana uwezo wa kupata mahitaji muhimu ya mwanadamu kama chakula malazi na mavazi
 
Mkuu maskini wa kule huku ni tajiri
 
Thanks to Olaf Scholz, Chancellor of Germany, who has just lost the confidence vote and will be stepping down before election date which was scheduled to be done on February 2025.
 
Maskini wa kule akistaafu hela anayepokea kila mwezi ni karibu na ml 10 ya Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…