Utafutaji wa kiwanja umenifanya nielewe mwanadamu ni hatari sana

Utafutaji wa kiwanja umenifanya nielewe mwanadamu ni hatari sana

Mimi mimeshakuwa dalali kwa miaka mingi najua A to Z kuhusu utapeli wa viwanja kuna mtu apo juu nimemsikia anasema kiwanja kizuri ni kile chenye hati nakupa hii chukua ...ishu ya utapeli wa viwanja mgao unaenda adi wizarani yani utapigwa na hati yako mkononi unayo na cha kufanya huna..

Hajawai kukutana na double allocations za hati.

Kiwanja kimoja kina hati tatu zenye wamiliki tofauti na zote zimetolewa na manispaa ama wizara ya ardhi
 
Hajawai kukutana na double allocations za hati.

Kiwanja kimoja kina hati tatu zenye wamiliki tofauti na zote zimetolewa na manispaa ama wizara ya ardhi
Hayo mnayoyasema inawezekana ikawa ni kweli ,Lakini sijawahi kuskia mtu akilalamika ametapeliwa kiwanja na ana Hati miliki ya wizara ya hicho kiwanja

Kwa Dunia ya Leo kama hao watu wengekuepo wangesha share experience yao

Kuhusu utoaji wa Hati miliki ya wizara , Mansipaa na halimashauri zinazingatia vitu vingi

Kuna zile cordinate point za beacons ambazo zinazunguka kiwanja ,zile ndo zinatambulisha mipaka halisi ya kiwanja

Ukiachana na hilo kuna hili la kuweka jina la mmliki kwenye ramani ya mipango mji

Kuna swala la Nida

Haya yote yafanyike alafu Bado kiwanja kimoja kitolewe hati tatu kwa wakati mmoja?


Basi tutakua na serikali ya hovyo sana


Me nna amini hilo haliwezi kutokea


Niwape mfano rahisi ,hili sakata linaloendeles kule bagamoyo makurunge baina ya serikali ya Zanzibar na watu walionunua kule , Serikali ya Zanzibar hawakua na Hati miliki ndo maana waliouziwa pale waliweza kufanikisha mpaka mchakato wa Hati miliki kutoka wizarani


Msichukulie mambo kirahisi hvyo

Kama kuna mtu ambaye ameshawai kutapeliwa kiwanja akiwa na Hati miliki ya wizarani aje hapa atupe hicho kisa chake
 
Mimi mimeshakuwa dalali kwa miaka mingi najua A to Z kuhusu utapeli wa viwanja kuna mtu apo juu nimemsikia anasema kiwanja kizuri ni kile chenye hati nakupa hii chukua ...ishu ya utapeli wa viwanja mgao unaenda adi wizarani yani utapigwa na hati yako mkononi unayo na cha kufanya huna..
Mkuu kuthibitisha haya uyasemayo njoo na mfano halisi wa mtu aliyewahi kutapeliwa kiwanja akiwa na Hati miliki kutoka wizarani

Nje ya hapo hizi zitabaki kuwa story za vijiweni tuu

Hivi unaijua hati miliki kutoka wizarani kweli?

Acheni kudhalilisha wizara ya ardhi
 
Mkuu kuthibitisha haya uyasemayo njoo na mfano halisi wa mtu aliyewahi kutapeliwa kiwanja akiwa na Hati miliki kutoka wizarani

Nje ya hapo hizi zitabaki kuwa story za vijiweni tuu

Hivi unaijua hati miliki kutoka wizarani kweli?

Acheni kudhalilisha wizara ya ardhi
Wewe unacho sahau utapeli wa kiwanja chenye hati ya wizara, ni tofauti na utapeli wa kiwanja ambacho hakina hati ya wizara,.......chenye hati ya wizara kina tapeliwa na mwenyewe au rafiki yake au mtoto wake wa karibu, kwa ku-duplicate hati hizo na kala za kutosha, kila anae muuzia anampa hati fake ukienda kuchecki system inasoma vizuri tu, original anayo mwenyewe mnaweza kuuziwa hata watu watatu bila kujua au kujuana, kizaza kinakuja pale kwenye kubadili majina ya hati ndo utagundua kwamba hati ni fake, hu mchezo uko sana wilaya ya ubungo kinondoni na kigamboni
 
Viwanja vingi vimekuwa na mgogolo mkubwa sana, mtu unapotaka kununua kiwanja ni lazima uchunguze chimbuko lake na ni wap wanaoish katika eneo hilo na ni watu wa aina gan, ko aldhi ni saw na mwanamke unabaatidha pasipokujua huyu mtu katokea wapi na wapi mazingira yake kwa sas unaingia bila kujua, ndo hasala hizo tuweni makin katika hivyo vitu 3 aldhi, mapenzi, na lushwa naongezea hicho
 
Wewe unacho sahau utapeli wa kiwanja chenye hati ya wizara, ni tofauti na utapeli wa kiwanja ambacho hakina hati ya wizara,.......chenye hati ya wizara kina tapeliwa na mwenyewe au rafiki yake au mtoto wake wa karibu, kwa ku-duplicate hati hizo na kala za kutosha, kila anae muuzia anampa hati fake ukienda kuchecki system inasoma vizuri tu, original anayo mwenyewe mnaweza kuuziwa hata watu watatu bila kujua au kujuana, kizaza kinakuja pale kwenye kubadili majina ya hati ndo utagundua kwamba hati ni fake, hu mchezo uko sana wilaya ya ubungo kinondoni na kigamboni
Sasa utakua mjinga kiasi gan ukubali kununua hicho kiwanja kabla ya kuanza process za ku transfer
Kumbuka hati Inaweza kutumika hata kuombea mkopo, kwa mantiki hiyo ,kama mtu anajielewa hawezi kubali kununua kiwanja chenye hati kabla ya kwenda wizarani kuanza process za transfer
 
Back
Top Bottom