Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

KILIMO BORA CHA MPUNGA:
A: kuandaa shamba
  • shamba lilimwe vizur na kusawazishwa liwe level (Hallow)
  • Piga dawa ya magugu kabla ya kupanda Kama Bafoseti
  • weka mifereji ya Maji vizuvizur
  • Andaa majaruba mapema yawe level kupitika Kwa maji
B: UANDAAJI WA MBEGU NA KUPANDA
  • Kwa kilimo Cha nchi kavu kwenye miinuko andaa Mbegu kama,BAROKA,TUMAINI,PATO,FARAJA,WAB zinahimili magojwa na ukame kwenye hekta Moja Tumia kilo 80 au ekari Moja debe mbili,Unaweza mwaga Kwa mistari au zigi zaga
  • Kwa kilimo Cha umwagiliaji kwanza andaa Mbegu kama SARO 5,KOMBOKA,TAI,TARIKI,SUPA
  • Andaa kitalu Cha mita 5 Kwa 20 tuta
  • Loweka Mbegu Kwa siku tatu Kisha kasie kwenye kitalu
  • Mbegu itakaa kwenye kitalu Kwa muda wa Siku 21-28 hamisha kwenye majaruba Ukiwa Tayar ushachavyanga na kupiga dawa ya kuua magugu
  • Panda Kwa mistari mche Hadi mche ni sm 15 Kwa sm15
  • Miche 2-3 kw Shina Moja pandikiza Kwa kamba
C: UWEKAJI WA MBOLEA
- Mbolea ya kupandia kama DAP.,NPK ,MINJINGU kilo 40 Kwa ekari moja
zinasaidia kutoa mizizi na pacha
- Mbolea ya kukuzia Kuna nyakati Mbili
(1) Wakati wa kupacha hii unaweza MBOLEA siku 14 baada ya kupandikiza UREA ,SA, CAN
(2) Wakati wa mimba dume hii siku 25 kabla ya kuchanua UREA,SA inasaidia ujazo wa punje na uzito

D: PALIZI
-Ni muhimu shamba lipaliliwe Kuanzia siku 16 mpaka 24 tangu kupandikiza au kumwagwa
-kuna Njia tatu za PALIZI
(1) Kutumia mashine ya palizi
(2) Kungolea Kwa mkono
(3) Kutumia viatilifu vya kuua wadudu kama PILAR SPIRIT 167 OD,RICE CLEAR 100SC,PILARILO 500EC

E: MAGONJWA
  • Ukungu,mabaka baka,mnyauko wa majani,kimnyangaa, Kuwepo Kwa funza weupe
  • Tiba kung'oa mimea iliyoathiliwa, Nyunyiza dawa kama THIODEN,ENDOSULFET,FETHIONI Kila baada ya wiki Mbili ikiambatana na MBOLEA za Busta kama SUPER GLOW, FINCH NK
F: ULINZI NA MAVUNO
  • Ni muhimu kulinda ndega mapema pindi mpunga unapoanza kuchanua mpaka kuvuna
  • Ni muhimu kuwahi kuvuna usiuachie ukauke Sana mpaka upukutike shambani.
KILIMO CHA MPUNGA NI UTAJIRI MKUBWA USIO NA KIFANI MKAWE NA MAANDALIZI MEMA
BY MHINA JR
Ungeweka ghalama za uzalishaji vs mapato katika eneo husika ingekuwa vizuri sana . Kilimo hapa Tanzania Kwa mazao mengi inarange kuanzia faida ya 1.5 m na kuendelea Kwa mazao mengi . By experience nimeliona Hilo ndio maana kila eneo wakulima wanalima vilimo mbalimbali na kustawi kimaisha akuna zao zuri au baya mafunzo ndio muhimu kuamua kipato
 
Kuna kitu ambacho wengi hawakisemi kwenye kilimo mimi cha mpunga sasa nina miaka kadhaa ila kuna siri wengi hawausemi na hata mimi sikuambiwa na wwnyeji wangu.
Kwenye kilimo kuna uchawi mwingi saana hasa ukilima na wasukuma bila kuroga haufiki malengo utashangaa heka moja unapata gunia 5 wakat huo huo mwenzako heka moja gunia 15 hadi 20
 
Update Kwa sasa ni muda wa mavuno kukata mpunga umefikia hatua hiyo
 

Attachments

  • IMG_20240911_121453_HDR.jpg
    IMG_20240911_121453_HDR.jpg
    3.3 MB · Views: 17
  • IMG_20240911_120015_HDR.jpg
    IMG_20240911_120015_HDR.jpg
    2.8 MB · Views: 12
  • IMG_20240916_111045.jpg
    IMG_20240916_111045.jpg
    3 MB · Views: 11
  • IMG_20240916_111110.jpg
    IMG_20240916_111110.jpg
    3 MB · Views: 12
  • IMG_20240911_121020_HDR.jpg
    IMG_20240911_121020_HDR.jpg
    3.7 MB · Views: 10
  • IMG_20240911_120043_HDR.jpg
    IMG_20240911_120043_HDR.jpg
    2.7 MB · Views: 8
  • IMG_20240911_114351_HDR.jpg
    IMG_20240911_114351_HDR.jpg
    2.1 MB · Views: 11
  • IMG_20240911_121232_HDR.jpg
    IMG_20240911_121232_HDR.jpg
    3.5 MB · Views: 13
  • IMG_20240916_111012.jpg
    IMG_20240916_111012.jpg
    2.8 MB · Views: 13
  • FB_IMG_1725994832150.jpg
    FB_IMG_1725994832150.jpg
    159.1 KB · Views: 13
  • IMG_20240911_120727_HDR.jpg
    IMG_20240911_120727_HDR.jpg
    3.4 MB · Views: 11
  • IMG_20240916_110956.jpg
    IMG_20240916_110956.jpg
    2.9 MB · Views: 7
  • IMG_20240911_113842_HDR.jpg
    IMG_20240911_113842_HDR.jpg
    2.6 MB · Views: 11
  • IMG_20240911_120537_HDR.jpg
    IMG_20240911_120537_HDR.jpg
    3 MB · Views: 9
  • IMG_20240911_122106_HDR.jpg
    IMG_20240911_122106_HDR.jpg
    3.2 MB · Views: 10
  • IMG_20240911_120508_HDR.jpg
    IMG_20240911_120508_HDR.jpg
    2.8 MB · Views: 6
  • IMG_20240911_120519_HDR.jpg
    IMG_20240911_120519_HDR.jpg
    3.6 MB · Views: 11

 
Kuna kitu ambacho wengi hawakisemi kwenye kilimo mimi cha mpunga sasa nina miaka kadhaa ila kuna siri wengi hawausemi na hata mimi sikuambiwa na wwnyeji wangu.
Kwenye kilimo kuna uchawi mwingi saana hasa ukilima na wasukuma bila kuroga haufiki malengo utashangaa heka moja unapata gunia 5 wakat huo huo mwenzako heka moja gunia 15 hadi 20
Inawezekana ila kwa upande wangu na uzoefu mdogo nilikuwa nawo wa kilimo hichi sijawahi kumbana na hyo hali ila kilimo asaivi ni sayansi kinahitaji ufuatiliaji na update mpya za taarifa zinazohusu zao hili mara kwa mara
 
Dah hv huko hakuna masukuma? Maana hao ukilima nao pamoja walahi hauvuni kama ulivolenga badla ya gunia 50 utapata 10
 
Dah hv huko hakuna masukuma? Maana hao ukilima nao pamoja walahi hauvuni kama ulivolenga badla ya gunia 50 utapata 10
Acha kuchafua kabila la watu, sumbawanga, runway, kigoma, mbarali unataka kuniambia watu wasio wasukuma hawapati mazao? Acha uzembe boresha kilimo chako
 
Nilikodi shamba sasa jambo la kushangaza kumbe mwenye shamba akawa analichezea msimu uliofuata niliweka madude mpaka yule mzee akaanguka katikati ya shamba na aliumwa sana akawa anatuma watu niende nikamuone....watu wa liwale ni washamba mno
 
Wachina wamekuja na mbinu genius ya kumaliza magugu na wadudu bila madawa
Wanapeleka Bata mashambani ndio wanamaliza kazi
Screenshot_20240925_104415_Google~2.png
 
Update mpunga ushatoka shambani mbali na changamoto tulizopitia ila Mungu mwema afadhali tutasonga tena
 

Attachments

  • IMG_20240922_170111.jpg
    IMG_20240922_170111.jpg
    969 KB · Views: 14
  • IMG_20240922_170043.jpg
    IMG_20240922_170043.jpg
    1.4 MB · Views: 14
  • IMG_20240922_170111.jpg
    IMG_20240922_170111.jpg
    969 KB · Views: 12
  • IMG_20240922_170043.jpg
    IMG_20240922_170043.jpg
    1.4 MB · Views: 14
  • IMG_20240922_170007.jpg
    IMG_20240922_170007.jpg
    1 MB · Views: 11
Nilikodi shamba sasa jambo la kushangaza kumbe mwenye shamba akawa analichezea msimu uliofuata niliweka madude mpaka yule mzee akaanguka katikati ya shamba na aliumwa sana akawa anatuma watu niende nikamuone....watu wa liwale ni washamba mno
Hapa nakubaliana na wewe 100% kwenye kilimo kuna umafia saana
 
Back
Top Bottom