Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Kampuni ya Apple ambayo inatengeneza bidhaa za iPhones na Mac imekuwa kampuni ya kwanza kufikia thamani ya dola trilioni 3 katika soko la hisa
Thamani hiyo ni kubwa kuzidi hata Pato la Ndani la Afrika(GDP) ambalo ni dola trilioni 2.6
Kampuni hiyo imefanikiwa kukua kwa kasi ndani ya miezi 16 ambapo #COVID19 imekuwa ikisumbua dunia
Thamani hiyo ni kubwa kuzidi hata Pato la Ndani la Afrika(GDP) ambalo ni dola trilioni 2.6
Kampuni hiyo imefanikiwa kukua kwa kasi ndani ya miezi 16 ambapo #COVID19 imekuwa ikisumbua dunia