Utajiri wa Apple Inc. ni mkubwa kuliko GDP ya Afrika

Utajiri wa Apple Inc. ni mkubwa kuliko GDP ya Afrika

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Kampuni ya Apple ambayo inatengeneza bidhaa za iPhones na Mac imekuwa kampuni ya kwanza kufikia thamani ya dola trilioni 3 katika soko la hisa

Thamani hiyo ni kubwa kuzidi hata Pato la Ndani la Afrika(GDP) ambalo ni dola trilioni 2.6

Kampuni hiyo imefanikiwa kukua kwa kasi ndani ya miezi 16 ambapo #COVID19 imekuwa ikisumbua dunia
 
Kampuni ya Apple ambayo inatengeneza bidhaa za iPhones na Mac imekuwa kampuni ya kwanza kufikia thamani ya dola trilioni 3 katika soko la hisa

Thamni hiyo ni kubwa kuzidi hata Pato la Ndani la Afrika(GDP) ambalo ni dola trilioni 2.6

Kampuni hiyo imefanikiwa kukua kwa kasi ndani ya miezi 16 ambapo #COVID19 imekuwa ikisumbua dunia
Wamewazidi hata bara la Australia mkuu usituonee Waafrica.

Pia wameuzidi uchumi wa Russia, Brazil, Canada, South Korea, Mexico, Italy, Spain na France...kifo cha wengi harusi😅😅😅


Kama kampuni ya Apple ingekuwa nchi ingekuwa ya 6 kwa uchumi mkubwa duniani ikitanguliwa na U.S.A, China, Japan, Germany, U.K kwa mtawalia
 
Ndio hapo utajiri unapopimwa kwa vigezo ndivyo sivyo.....

Ukiangalia assets zote kwa ujumla (pamoja na nguvukazi watu, n.k.) hata nchi yenye kipato kidogo kulivyo vyote duniani huenda Apple isiifikie nchi hiyo..., Hio Apple kesho ikija chungwa usishangae Apple akawa history kama vile kina Nokia walivyotoka kwenye soko....
 
Ndio hapo utajiri unapopimwa kwa vigezo ndivyo sivyo.....

Ukiangalia assets zote kwa ujumla (pamoja na nguvukazi watu, n.k.) hata nchi yenye kipato kidogo kulivyo vyote duniani huenda Apple isiifikie nchi hiyo..., Hio Apple kesho ikija chungwa usishangae Apple akawa history kama vile kina Nokia walivyotoka kwenye soko....
Huwa nashangaa wanasema Elon Musk ana utajiri wa USD bil 300 lakini soko la hisa likitetereka kidogo unakuta naye kaporomoka. Huu utajiri wa hisa huwa wa kinadharia sana
 
Kampuni ya Apple ambayo inatengeneza bidhaa za iPhones na Mac imekuwa kampuni ya kwanza kufikia thamani ya dola trilioni 3 katika soko la hisa

Thamni hiyo ni kubwa kuzidi hata Pato la Ndani la Afrika(GDP) ambalo ni dola trilioni 2.6

Kampuni hiyo imefanikiwa kukua kwa kasi ndani ya miezi 16 ambapo #COVID19 imekuwa ikisumbua dunia
Sio kweli
 
Utajiri wa kweli ni haki, amani na furaha binafsi ya mtu anavyovipata kupitia Roho Mtakatifu. Haya, linapokuja kwenye mambo ya msingi kama hayo mtu mtu anayemiliki au kufanya kazi Apple anaweza kuwa maskini sana kuliko yule anayemiliki au kufanya kazi kwenye genge la matunda chini ya mwembe.

Omba Mungu akunyime vyote lakini akupe utajiri wa vya rohoni.
 
Wontajiri wa kweli ni haki, amani na furaha binafsi ya mtu anavyovipata kupitia Roho Mtakatifu. Haya, linapokuja kwenye mambo ya msingi kama hayo mtu mtu anayemiliki au kufanya kazi Apple anaweza kuwa maskini sana kuliko yule anayemiliki au kufanya kazi kwenye genge la matunda chini ya mwembe.
Omba Mungu akunyime vyote lakini akupe utajiri wa vya rohoni.
Wabongo wengi wao Malimbukeni iphone ya million tatu account benki ana lakini na nusu! Yaani utaahura wa hali ya juu!
 
Shida ya afrika imekosa watu wenye kufikiri
 
Wamewazidi hata bara la Australia mkuu usituonee Waafarica.

Pia wameuzidi uchumi wa Russia, Brazil, Canada, South Korea, Mexico, Italy, Spain na France...kifo cha wengi harusi😅😅😅


Kama kampuni ya Apple ingekuwa nchi ingekuwa ya 6 kwa uchumi mkubwa duniani ikitanguliwa na U.S.A, China, Japan, Germany, U.K kwa mtawalia
Dah!...
 
sisi tuna asset zakutosha kuliko hao Apple... inawezekana bond yetu moja ya mbuga ya serengeti ikawa zaidi ya huo utajiri wa Apple..
True,mfano thamani tu madini yetu yaliyopo wilaya moja tu yanaweza lipa deni lote la taifa.
 
Utajiri wa kweli ni haki, amani na furaha binafsi ya mtu anavyovipata kupitia Roho Mtakatifu. Haya, linapokuja kwenye mambo ya msingi kama hayo mtu mtu anayemiliki au kufanya kazi Apple anaweza kuwa maskini sana kuliko yule anayemiliki au kufanya kazi kwenye genge la matunda chini ya mwembe.

Omba Mungu akunyime vyote lakini akupe utajiri wa vya rohoni.
Na huwezi ukawa tajiri wa rohoni usiwe tajiri wa mwilini.
KILA ulionalo nje kwa mtu asili yake ni ya rohoni.
Thus ukiwa na roho mbaya,chafu sahau kuhusu kubalikiwa
 
Back
Top Bottom