pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Huu ujinga sasa,
Inawezekanaje?
Inawezekanaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchambuzi mujarab kama huu vijana wajinga wajinga kama mtoa post hawawezi kuu comprehend!Wamewazidi hata bara la Australia mkuu usituonee Waafrica.
Pia wameuzidi uchumi wa Russia, Brazil, Canada, South Korea, Mexico, Italy, Spain na France...kifo cha wengi harusi😅😅😅
Kama kampuni ya Apple ingekuwa nchi ingekuwa ya 6 kwa uchumi mkubwa duniani ikitanguliwa na U.S.A, China, Japan, Germany, U.K kwa mtawalia
Wamewazidi hata bara la Australia mkuu usituonee Waafrica.
Pia wameuzidi uchumi wa Russia, Brazil, Canada, South Korea, Mexico, Italy, Spain na France...kifo cha wengi harusi[emoji28][emoji28][emoji28]
Kama kampuni ya Apple ingekuwa nchi ingekuwa ya 6 kwa uchumi mkubwa duniani ikitanguliwa na U.S.A, China, Japan, Germany, U.K kwa mtawalia
Sasa kama mnadharau tecno ya laki tatu mnakimbilia iPhone ya mil3 , lakni mostly matumizi ni Yale Yale , tumepandikiziwa mentality ya ajabu Sana , wacha tu hao aple wapige pesa
Mkuu acha kijiliwaza kwa maneno ya kimasikini .Piga kazi uwe TAJIRI kumbuka umasikini ni LAANA,kumbuka pia katika watu wa MUNGU wenye Imani kubwa I mean Mababa wa Imani akina IBRAHIM,ISAKA NA YAKOBO,DAUDI na mwanae MFalme SELEMANI walikua matajiri wakubwa Sana.Kumbuka MWENYEZI MUNGU haupendi umasikini kwa Sababu ndo chanzo Cha dhambi.Utajiri wa kweli ni haki, amani na furaha binafsi ya mtu anavyovipata kupitia Roho Mtakatifu. Haya, linapokuja kwenye mambo ya msingi kama hayo mtu mtu anayemiliki au kufanya kazi Apple anaweza kuwa maskini sana kuliko yule anayemiliki au kufanya kazi kwenye genge la matunda chini ya mwembe.
Omba Mungu akunyime vyote lakini akupe utajiri wa vya rohoni.
Mkuu kwenye Ulimwengu wa Capitalism pesa ndo utajiri na sio ardhi .Ardhi ilikua utajiri kipndi Cha fudalism.Nakupa mfano,Leo hii tunajenga SGR na Nyerere hydropower je kwa nini tunakopa hela wakati tuna hiyo Ardhi,bahari,maziwa ,mito na mbuga za wanyama? Viongozi wetu Huwa wakienda Ulaya kutafuta wawekezaji si Huwa wanatafuta matajiri wenye hela ?DUNIA ya Leo mwenye hela ndo anaweza kufanya chochote kumbuka HiloUtajiri ni Pesa ?
Na Rutuba, Mazao, Maziwa, Bahari na Mito yenye chakula mfano samaki ni umasikini ? Kwahio nchi ni Tajiri kutokana na kuwa na Rasilimali Watu na Ardhi (Real Estate) hii iwe kesho, au keshokutwa bado itakuwa valuable sababu ndio source of wealthy..... Ni kama mgodi kutokuuvuna mgodi leo na kuondoa hizo dhahabu na kuzivaa haimaanishi hapo chini hakuna dhahabu....
Ngoja nikupe tu wazo Hivi unadhani ni fedha kiasi gani itabidi uzitoe ili uweze kumiliki tu sehemu kama Bariadi, Maswa au hata tuseme Timbuktu ? (Huwezi sababu hizi sehemu ni priceless)..., Ingawa Apple ukifika dau tu kwa Shareholders wanakupa chako na ku-shake your hand.....
Cash is the King sababu ya liquidity..., ni rahisi kujua value ya 100 USD haraka haraka kuliko gunia la maharage (huenda ni 5 USD, au 20USD) inategemea na demand and supply at the given time.... Ingawa vitu kama ardhi, maziwa, misitu their valuable kulingana na manufaa yake kwa jamii (Hata kama at a given time monetary value yake ukisema ni senti mbili) haibadilishi real value yake kama nguzo ya jamii.....Mkuu kwenye Ulimwengu wa Capitalism pesa ndo utajiri na sio ardhi .Ardhi ilikua utajiri kipndi Cha fudalism.Nakupa mfano,Leo hii tunajenga SGR na Nyerere hydropower je kwa nini tunakopa hela wakati tuna hiyo Ardhi,bahari,maziwa ,mito na mbuga za wanyama? Viongozi wetu Huwa wakienda Ulaya kutafuta wawekezaji si Huwa wanatafuta matajiri wenye hela ?DUNIA ya Leo mwenye hela ndo anaweza kufanya chochote kumbuka Hilo
Masikini ndiyo huwa nawapendea hapa. Hatukosagi maneno ya kujifarijiUtajiri wa kweli ni haki, amani na furaha binafsi ya mtu anavyovipata kupitia Roho Mtakatifu. Haya, linapokuja kwenye mambo ya msingi kama hayo mtu mtu anayemiliki au kufanya kazi Apple anaweza kuwa maskini sana kuliko yule anayemiliki au kufanya kazi kwenye genge la matunda chini ya mwembe.
Omba Mungu akunyime vyote lakini akupe utajiri wa vya rohoni.
Mkuu si kujifariji ni ukweli mtupu. Hebu chukua hata dakika moja kutafakari: hivi mtu tajiri kwelikweli kipesa ana kitu gani cha ziada ambacho mtu wa kawaida hana iwapo wote wana furaha, amani na wanaishi kwa haki?Masikini ndiyo huwa nawapendea hapa. Hatukosagi maneno ya kujifariji
Watu wanaojielewa hawapigi kazi ili wawe matajiri. Utajiri hauwezi kuwa lengo au kusudi la maisha ya mtu duniani. Unaweza kuwa tajiri sana wa mali na bado ukawa maskini sana, huyo Steve Jobs wa Apple alifariki hata kabla ya muda (na kaliishi maisha yake yote kakiwa na stress na kukondeana) maana katika utajiri wake bado alikosa ridhiko la kweli. Pesa si kila kitu.Mkuu acha kijiliwaza kwa maneno ya kimasikini .Piga kazi uwe TAJIRI kumbuka umasikini ni LAANA,kumbuka pia katika watu wa MUNGU wenye Imani kubwa I mean Mababa wa Imani akina IBRAHIM,ISAKA NA YAKOBO,DAUDI na mwanae MFalme SELEMANI walikua matajiri wakubwa Sana.Kumbuka MWENYEZI MUNGU haupendi umasikini kwa Sababu ndo chanzo Cha dhambi.
Kukata miti kunaendana na kupanda miti.Long term wealthy na short time Partying.......
Unaweza ukatumia hizo resources ukakata miti yote.., ukavua samaki wote na mwisho wa siku wajukuu zako wakafa njaa (kwa ufujaji wako na kutokuwa sustainable)
Nchi ambayo ina asset ya ardhi hence inaweza kulima na kujilisha na kutumia hio miti kujenga kibanda cha malazi bila kusahau hata kuvaa ngovi ili kupata mavazi kamwe huwezi kuwaita ni masikini.... Hata kama wenyewe wameridhika wajukuu zao watakuwa na nyezo za kuweza kupata their basic needs.... Nakuacha na msemo wa Wahenga Red Indians..... (Huenda ndio ukajua true / real wealthy) na sio advertised marketed abstract so called utajiri...
When the last tree has been cut down, the last fish caught, the last river poisoned, only then will we realize that one cannot eat money.
Sijakuelewa hata unachokipinga ni kipi.Watu wanaojielewa hawapigi kazi ili wawe matajiri. Utajiri hauwezi kuwa lengo au kusudi la maisha ya mtu duniani. Unaweza kuwa tajiri sana wa mali na bado ukawa maskini sana, huyo Steve Jobs wa Apple alifariki hata kabla ya muda (na kaliishi maisha yake yote kakiwa na stress na kukondeana) maana katika utajiri wake bado alikosa ridhiko la kweli. Pesa si kila kitu.
Kama upati basic needs utapata vipi furaha na amaniMkuu si kujifariji ni ukweli mtupu. Hebu chukua hata dakika moja kutafakari: hivi mtu tajiri kwelikweli kipesa ana kitu gani cha ziada ambacho mtu wa kawaida hana iwapo wote wana furaha, amani na wanaishi kwa haki?
Mnapenda sana kutukuza maisha ya kifahari bila sababu za msingi.
Kwa sentensi yako hiyo ya "Afrika hatuendelei" mi nafikiri maskini kweli kweli ni yule anayejipuuza eti kisa hana mali na pesa na kuishi na stress ya kutafuta utajiri.Haya mawazo yakimasikini ndio mana wa Africa hatuendelei
Again, unaelewa maana ya beberu?Ukiwa na humility mkuu,huwezi mwita binadamu yeyote beberu au nyani
Mkuu pia kumbuka uwe TAJIRI au masikini kufa ni sheria na katka kufa mala nyingi mtu huanza kuugua na lazima akonde tu lakini hapa tuachoangalia je ukifka watoto wako watarithi nini?Ufukara au Mali?Watoto hurithi hurithi Mali hata vitabu vya duni Zote vinasisitiza hivo.Piga kazi Mungu atakubariki uwarithishe wanao Mali.Sijakuelewa hata unachokipinga ni kipi.
Mababu zetu wangekata hio Mibuyu ili kutengeneza furniture na kujipatia kipato leo hii mibuyu yote ingekuwa kama mchicha...., In short shortsightedness ya kizazi cha sasa ndio kinapelekea mabadiliko ya tabia nchi na dunia nzima kulipia gharama..... (Busara ni badala ya kutumia mbuyu kutengeneza furniture kwanini usitumie bamboo inayoweza kukua kwa haraka, na mibuyu ibaki kutupatia matunda)Kukata miti kunaendana na kupanda miti.
Mtu kama hana amani au furaha na haishi katika haki, huyo ni maskini kweli kweli bila kujali anafanya nini na anaishi wapi. Hivyo lengo la maisha yetu haliwezi kuwa kufukuzia (au kujilinganisha na) utajiri wa akina Apple na wenzake. Lengo la maisha yetu liwe kuitafuta na kuipata hiyo haki, amani na furaha. Na si lazima uwe tajiri kupata hiyo amani na furaha na wala si kweli kwamba waafrika walio wengi tumekosa basic needs katika maisha yetu.Mtu wa k
Kama upati basic needs utapata vipi furaha na amani
90% wameikosa basic needs aisee.Mtu kama hana amani au furaha na haishi katika haki, huyo ni maskini kweli kweli bila kujali anafanya nini na anaishi wapi. Hivyo lengo la maisha yetu haliwezi kuwa kufukuzia (au kujilinganisha na) utajiri wa akina Apple na wenzake. Lengo la maisha yetu liwe kuitafuta na kuipata hiyo haki, amani na furaha. Na si lazima uwe tajiri kupata hiyo amani na furaha na wala si kweli kwamba waafrika walio wengi tumekosa basic needs katika maisha yetu.
Mkuu wewe unayajua sana haya masuala, umejibu vizuri sana. I wish tuwe na maongezi mbali na hapa jukwaani. Kama unaridhia nitaarifu kwa PM au hapahapaHazina thamani leo au jana vipi kuhusu kesho ? Na utajiri ni nini ? (Ardhi, Maziwa, Watu, au Umiliki wa Asset ; ambayo nchi ni asset)... Au ni makaratasi fulani ambayo kwa wakati huu tumepatana / wamepatana kwamba value yake ni kiasi fulani ila kesho tunaweza kubadilika kwamba karatasi hizo hata kuzichoma kama kuni hazina faida ?
Nchi inajivunia watu (loyal citizens) hata iweje ni wananchi wa taifa hilo..., Apple akifanya fyongo tu kesho watu watahamia kwenye Pears...., all in all nchi yenye ardhi na sovereignty huwezi kuilinganisha na abstract things kama stock prices or nguvu ya dollar (FIAT MONEY)..., Of course Brand name au Fame ya Brand inaweza ikawa valuable (lakini hizo ni perceptions na power of marketing which can change overnight); ila nguvukazi ya watu elfu kadhaa kule Burkina-Faso ni asset ambayo ikitumika inaweza hata kulima mchicha au kuvua dagaa....
Nakuacha na msemo wa Voltaire kuhusu Paper Money
Paper money eventually returns to its intrinsic value: zero.