Kwa nini unalinganisha THAMANI na GDP ?
THAMANI ya Apple ni kipimo cha utajiri wa mali zake zote ilizokusanya na kujijenga toka kampuni iundwe kama zingeuzwa leo kwenye soko la dunia la hisa, kizungu Market Capitalization.
GDP ya Africa ni thamani ya uzalishaji uliotokea Afrika kwa bidhaa na huduma zilizouzwa ndani ya Afrika ndani ya mwaka mmoja. Vitu viwili tofauti.
Ukitaka kujua utajiri wa Afrika, jumlisha thamani ya kila kitu kilichomo Africa.
Anza na Tanzania, jumlisha viwanja vyote, bandari, majengo, migodi, cash money, mabasi, ma reli, ma bomba ya mafuta, mabwawa ya umeme, mashamba, mbuga, wanyama, ma airport, mahoteli yote ya Tanzania. Jumlisha thamani yake. Apple yenye THAMANI ya $ 3 tril ingeweza kuinunua Africa kwa $ 3 trillion ?
Unashindajishaje UTAJIRI wa Bakressa toka aanze biashara na KIPATO cha Mo Dewji cha mwaka huu, kwa mauzo ya ndani ya Tanzania tu (GDP) ???????