Utajiri wa Apple Inc. ni mkubwa kuliko GDP ya Afrika

Utajiri wa Apple Inc. ni mkubwa kuliko GDP ya Afrika

Ndio hapo utajiri unapopimwa kwa vigezo ndivyo sivyo.....

Ukiangalia assets zote kwa ujumla (pamoja na nguvukazi watu, n.k.) hata nchi yenye kipato kidogo kulivyo vyote duniani huenda Apple isiifikie nchi hiyo..., Hio Apple kesho ikija chungwa usishangae Apple akawa history kama vile kina Nokia walivyotoka kwenye soko....
Asset na raslimali kama hazitumiki kuleta utajiri hazina thamani
 
Asset na raslimali kama hazitumiki kuleta utajiri hazina thamani
Hazina thamani leo au jana vipi kuhusu kesho ? Na utajiri ni nini ? (Ardhi, Maziwa, Watu, au Umiliki wa Asset ; ambayo nchi ni asset)... Au ni makaratasi fulani ambayo kwa wakati huu tumepatana / wamepatana kwamba value yake ni kiasi fulani ila kesho tunaweza kubadilika kwamba karatasi hizo hata kuzichoma kama kuni hazina faida ?

Nchi inajivunia watu (loyal citizens) hata iweje ni wananchi wa taifa hilo..., Apple akifanya fyongo tu kesho watu watahamia kwenye Pears...., all in all nchi yenye ardhi na sovereignty huwezi kuilinganisha na abstract things kama stock prices or nguvu ya dollar (FIAT MONEY)..., Of course Brand name au Fame ya Brand inaweza ikawa valuable (lakini hizo ni perceptions na power of marketing which can change overnight); ila nguvukazi ya watu elfu kadhaa kule Burkina-Faso ni asset ambayo ikitumika inaweza hata kulima mchicha au kuvua dagaa....

Nakuacha na msemo wa Voltaire kuhusu Paper Money
Paper money eventually returns to its intrinsic value: zero.
 
sisi tuna asset zakutosha kuliko hao Apple... inawezekana bond yetu moja ya mbuga ya serengeti ikawa zaidi ya huo utajiri wa Apple..
SASA tuigeuze hiyo mbuga ya Serengeti iwe pesa...hapa ndipo shida itaanzia panahitaji Akili ndefu kugeuza raslimali kuwa pesa
 
Hazina thamani leo au jana vipi kuhusu kesho ? Na utajiri ni nini ? (Ardhi, Maziwa, Watu, au Umiliki wa Asset ; ambayo nchi ni asset)... Au ni makaratasi fulani ambayo kwa wakati huu tumepatana / wamepatana kwamba value yake ni kiasi fulani ila kesho tunaweza kubadilika kwamba karatasi hizo hata kuzichoma kama kuni hazina faida ?

Nchi inajivunia watu (loyal citizens) hata iweje ni wananchi wa taifa hilo..., Apple akifanya fyongo tu kesho watu watahamia kwenye Pears...., all in all nchi yenye ardhi na sovereignty huwezi kuilinganisha na abstract things kama stock prices or nguvu ya dollar (FIAT MONEY)..., Of course Brand name au Fame ya Brand inaweza ikawa valuable (lakini hizo ni perceptions na power of marketing which can change overnight); ila nguvukazi ya watu elfu kadhaa kule Burkina-Faso ni asset ambayo ikitumika inaweza hata kulima mchicha au kuvua dagaa....

Nakuacha na msemo wa Voltaire kuhusu Paper Money
Paper money eventually returns to its intrinsic value: zero.
Yeye katumia akili,nguvu Kazi na raslimali kaupata utajiri huo sisi hatuwezi hatuna fikra za kugeuza fursa kuwa pesa
 
Yeye katumia akili,nguvu Kazi na raslimali kaupata utajiri huo sisi hatuwezi hatuna fikra za kugeuza fursa kuwa pesa
Utajiri ni Pesa ?

Na Rutuba, Mazao, Maziwa, Bahari na Mito yenye chakula mfano samaki ni umasikini ? Kwahio nchi ni Tajiri kutokana na kuwa na Rasilimali Watu na Ardhi (Real Estate) hii iwe kesho, au keshokutwa bado itakuwa valuable sababu ndio source of wealthy..... Ni kama mgodi kutokuuvuna mgodi leo na kuondoa hizo dhahabu na kuzivaa haimaanishi hapo chini hakuna dhahabu....

Ngoja nikupe tu wazo Hivi unadhani ni fedha kiasi gani itabidi uzitoe ili uweze kumiliki tu sehemu kama Bariadi, Maswa au hata tuseme Timbuktu ? (Huwezi sababu hizi sehemu ni priceless)..., Ingawa Apple ukifika dau tu kwa Shareholders wanakupa chako na ku-shake your hand.....
 
Utajiri wa kweli ni haki, amani na furaha binafsi ya mtu anavyovipata kupitia Roho Mtakatifu. Haya, linapokuja kwenye mambo ya msingi kama hayo mtu mtu anayemiliki au kufanya kazi Apple anaweza kuwa maskini sana kuliko yule anayemiliki au kufanya kazi kwenye genge la matunda chini ya mwembe.

Omba Mungu akunyime vyote lakini akupe utajiri wa vya rohoni.

Haya mawazo yakimasikini ndio mana wa Africa hatuendelei
 
Waambie watuonyeshe hizo pesa. Isijekuwa km Magufuli, eti tunajenga na kununua ndege kwa pesa yetu wenyewe...
Kampuni ya Apple ambayo inatengeneza bidhaa za iPhones na Mac imekuwa kampuni ya kwanza kufikia thamani ya dola trilioni 3 katika soko la hisa

Thamni hiyo ni kubwa kuzidi hata Pato la Ndani la Afrika(GDP) ambalo ni dola trilioni 2.6

Kampuni hiyo imefanikiwa kukua kwa kasi ndani ya miezi 16 ambapo #COVID19 imekuwa ikisumbua dunia
 
Juha mmoja anaropoka zisi is dona kantre! Hicho ni kikampuni kimoja tu ndani ya the real donor country!
maskini huwa wanawaza uduni tu,wanapenda sana misaada hata kwa gharama ya malinda
 
Utajiri wa kweli ni haki, amani na furaha binafsi ya mtu anavyovipata kupitia Roho Mtakatifu. Haya, linapokuja kwenye mambo ya msingi kama hayo mtu mtu anayemiliki au kufanya kazi Apple anaweza kuwa maskini sana kuliko yule anayemiliki au kufanya kazi kwenye genge la matunda chini ya mwembe.

Omba Mungu akunyime vyote lakini akupe utajiri wa vya rohoni.
Maneno ya kufarijiana masikini.
 
Utajiri ni Pesa ?

Na Rutuba, Mazao, Maziwa, Bahari na Mito yenye chakula mfano samaki ni umasikini ? Kwahio nchi ni Tajiri kutokana na kuwa na Rasilimali Watu na Ardhi (Real Estate) hii iwe kesho, au keshokutwa bado itakuwa valuable sababu ndio source of wealthy..... Ni kama mgodi kutokuuvuna mgodi leo na kuondoa hizo dhahabu na kuzivaa haimaanishi hapo chini hakuna dhahabu....

Ngoja nikupe tu wazo Hivi unadhani ni fedha kiasi gani itabidi uzitoe ili uweze kumiliki tu sehemu kama Bariadi, Maswa au hata tuseme Timbuktu ? (Huwezi sababu hizi sehemu ni priceless)..., Ingawa Apple ukifika dau tu kwa Shareholders wanakupa chako na ku-shake your hand.....
Kama havitumiki havina thamani thus tunajenga nyumba juu ya dhahabu.
Kuwa na raslimali tele huku unakosa basic needs sio sawa
 
Kama havitumiki havina thamani thus tunajenga nyumba juu ya dhahabu.
Kuwa na raslimali tele huku unakosa basic needs sio sawa
Long term wealthy na short time Partying.......

Unaweza ukatumia hizo resources ukakata miti yote.., ukavua samaki wote na mwisho wa siku wajukuu zako wakafa njaa (kwa ufujaji wako na kutokuwa sustainable)

Nchi ambayo ina asset ya ardhi hence inaweza kulima na kujilisha na kutumia hio miti kujenga kibanda cha malazi bila kusahau hata kuvaa ngozi ili kupata mavazi kamwe huwezi kuwaita ni masikini.... Hata kama wenyewe wameridhika wajukuu zao watakuwa na nyezo za kuweza kupata their basic needs.... Nakuacha na msemo wa Wahenga Red Indians..... (Huenda ndio ukajua true / real wealthy) na sio advertised marketed abstract so called utajiri...

When the last tree has been cut down, the last fish caught, the last river poisoned, only then will we realize that one cannot eat money.
 
Makampuni mengi ya USA ni overvalued.
Stock market has been manipulated, especially after Trump became president!!
 
Kampuni ya Apple ambayo inatengeneza bidhaa za iPhones na Mac imekuwa kampuni ya kwanza kufikia thamani ya dola trilioni 3 katika soko la hisa

Thamni hiyo ni kubwa kuzidi hata Pato la Ndani la Afrika(GDP) ambalo ni dola trilioni 2.6

Kampuni hiyo imefanikiwa kukua kwa kasi ndani ya miezi 16 ambapo #COVID19 imekuwa ikisumbua dunia
Unashindwa kutofatutisha Kati ya GDP na market capitalisation.

GDP ni actual cash, market capitalisation ni value ya company kwenye soko.

Yaani mfano unanyanya Debe moja mtu anaweza Kuzi value kutokana na soko kua Debe ni laki moja, lakini ukiambiwa utoe hiyo laki mfukoni huwezi mpaka uuze sijui utamuuzia Nani. Apple haina hata cash reserve ya $500B Ila Africa inayo.


GDP na market cap ni tofauti. Kilichopo ni figures Ila sio actual.
 
Back
Top Bottom