Utajiri wa Diamond Platinumz wafikia Billion 8.6 za Kitanzania

Utajiri wa Diamond Platinumz wafikia Billion 8.6 za Kitanzania

Na akiamini atamzidishia nini kwa mfano??
Ungekisoma alichoandika hadi mimi nikauliza hivi, basi naamini kwa mtu ambaye akili zake ziko full chaji muda wote asingeniuliza upuuzi kama huu.
 
nashangaa sana watu wanaobisha bila vigezo wamebaki kusingizia mahali anapokaa na gali anaoendesha lakini ukiangalia kiuhalisia bilioni 8 kwake inawezekana kabisa kama anatunza vizuri pesa anaingiza kutoka vyanzo vyake mfano
vodacom walimlipa zaidi ya milioni 600
red gold tomato walimlipa milioni 400
dstv walimlipa milioni 150
cocacola walimlipa zaidi ya millioni 70
uber tanzania zaidi ya millioni 60
show zake za nje analipwa zaidi ya milioni 80 kwa show na anafanya show zaidi ya 20 kwa mwaka
kwa mwezi malipo ya ringtone kwa kampuni mbalimbali ya simu analipwa zaidi ya milioni 30
show kubwa za ndani analipwa zaidi ya milioni 60 mfano tigo concet alilipwa milioni 100
ana wasanii wake amewekeza karibia anaanza kuvuna harmonize, reymond na rich mavoko
ndio msanii anaeongoza kwa kulipwa mirabaha nchini kenya anakusanya mamilioni
uganda napo wameanza kumlipa
ana nyumba kadhaa jijini dsm
Sasa mtu kama huyu anakosaje bilioni 8 tangu aanze mziki kama anatunza vizuri pesa zake?
tuache kujifanya wajuaji na wakosoaji
Hizo million za endorsement mnazosema kalipwa mna uhakika amelipwa hizo pesa?? Na kama amelipwa mbona hakuna fair price mnasema tu zaidi ya kiasi fulani?? Na kama amelipwa unafikiri kodi inachukuliwa ngapi hapo?? Mbona miamala yake ya kodi TRA sio kwa mapato hayo ya hizo pesa mnazodanganyana kwenye mitandao.. Akilipwa na Uber Million 60 unazosema unafikiri zote zinaingia mfukoni mwake?? Hiyo 60 million anaweza kwenye account akaingiza 30 au 35 pekee hizo zingine zikaishia kwenye kodi na malipo kwa mameneja wake..

Na sidhani kama ni kweli Diamond ana hizo nyumba nyingi mnazosema, huo ni uzushi, Diamond sio msiri kiasi hicho ashindwe kuonyesha au kutangaza hizo nyumba nyingi mnazosema wakati endorsement huwa anawatangazia pesa alizolipwa.. Miaka kadhaa iliyopita alipewa Prado na boss mmoja akalitangaza ni la kwake mpaka alipokuja kunyang'anywa, alinunua nyumba Salasala akatangaza na kuiweka kwenye mitandao kila mtu akajua, hivi kweli mnafikiri Diamond anaweza kumiliki kitu watu wakashindwa kujua?? Kama mpaka kitanda cha mtoto wake na chumba chake kila Mtanzania anakijua kilivyo ndio anailiki majumba mengi asiyatangaze??

Jamani hizo pesa endeleeni kuzitaja tu kama ni rahisi kuzipata, na ni dhahiri mtu mwenye Billion 8 hawezi kuishi kwenye kama ile nyumba Diamond anayokaa tena ukizingatia ni Celeb mkubwa Africa yule, Mtu mwenye Billion 8 hawezi kushare gari na mpenzi wake tena BMW second hand..
 
Ungekisoma alichoandika hadi mimi nikauliza hivi, basi naamini kwa mtu ambaye akili zake ziko full chaji muda wote asingeniuliza upuuzi kama huu.

Na wewe unayeandika unyambi kama huu ndio uko full chaji??
So bure unagongwa kinyaka msewe wewe!
Kwani ushamaliza kunyonya weye au unaanza kuwa....
hizo ndo dalili kuandika hoja mbuzi na ukijibiwa kistaarabu una hemkwa!
Ulitaka nijibu unavyotaka wewe au nikutongoze?

Shenzi baga moyo wewe...
usiniletee ma. Vi ku. N. Ya na M. A. V. I. Kujamba!
 
Umesahau kutuambia na utajiri wako ni kama elfu gapi mkuu !
 
Steph Curry
Sisi Watanzania ni watu wa kutojiongeza
Hizo deal zote ambazo wamezitaja hakuna mwenye uhakika kalipwa hizo hela
Hata Voda ukute hajapata zaidi ya Milioni 100
Sembuse tomato sosi
 
Ivi kwanza unajua maana ya bilioni??

Bilioni halafu unakaa madale Nyumba ya kupanga ukuta umejemgwa juu ya bomba la dawasco

Asubirie kwanza hasira ya jiji

Humu ndani huwa mnapost upupu sana

Ndo maana wakenya wanawaona kama vibwengo
Popoma ww
 
Dimond ndo mdudu gani??

Yani kabisa unabinya pua kumsifia mtu

Wakenya wanawadharau kwasababu nyie wambea sana, halafu hampendi kazi mnapenda ngono na pombe

Endelea kumsifua ukiona haitoshi mpe na tigo
Hater Sio halotel?
 
Sio kila mtu anayekupinga anakuchukia.. Mjifunze hilo kwanza, Billion 8 bakini mkiziongelea ila hiyo pesa huyo dogo hana.. Billion 8 angekaa kwenye nyumba kama ile uko porini?? Umeona nyumba na magari wanayopush yule dogo mnaija wa 5 star music?? Mtu ana ki BMW hajakibadilisha mwaka wa tatu huu na nyumba ya kawaida kabisa inaitwa Ikulu alafu mnadanganya ana Billion 8
Ulitaka ajenge uwan kwenu ndo useme mjin?
 
Kumekuwepo na tetesi nyingi kuhusu utajiri wa Diamond umefikia kiasi gani. Hilo ni swali ambalo hajawahi kulijibu kwa uhakika zaidi ya kutoa tu hints na kuwaacha wanaouliza kubaki na majibu yao wenyewe vichwani.

Lakini kupitia kipindi maalum cha kituo cha runinga cha E!TV, E Vip kilichorushwa Jumapili ya June 26, tunaweza kusema walau kwa uhakika staa huyo ana utajiri mkubwa kiasi gani. Diamond ana utajiri wa dola milioni 4 za Kimarekani ambao kwa shilingi ya Tanzania ni zaidi ya bilioni 8.6.

Si kitu kinachoshangaza tena kwa Diamond kutokana na hatua aliyofikia akiwa msanii anayelipwa fedha nyingi zaidi Tanzania kwa sasa. Fedha zake nyingi zinatokana na show zake zisizokauka za ndani na nje ya nchi, mikataba ya ubalozi na matangazo kutoka makampuni kama Vodacom, Cocacola, DSTV na Red Gold. Hivi karibuni alipata deal jingine la kutangaza huduma ya taxi ya Uber.

Pia amekuwa akiingiza fedha nyingi kupitia biashara ya nyimbo zake hasa miito ya simu, malipo ya mirabaha kutoka nchi za jirani kama Kenya bila kusahau biashara za mtandaoni zikiwemo Youtube.

Uwekezaji wake kwenye label ya WCB ni kitu kingine kikubwa ambacho kitaanza kumuingizia fedha nyingi siku za usoni. Hadi sasa amesaini wasanii wanne wakiwemo Rich Mavoko, Raymond, Harmonize na dada yake Queen Darleen.

Lakini pia staa huyo anafahamika kwa kuwekeza zaidi fedha kwenye ardhi na nyumba huku akidaiwa kumiliki maeneo mengi jijini Dar es Salaam.
Analipa kodi kiasi gani kwa mwezi au mnashabikia wakwepa kodi
 
Na wewe unayeandika unyambi kama huu ndio uko full chaji??
So bure unagongwa kinyaka msewe wewe!
Kwani ushamaliza kunyonya weye au unaanza kuwa....
hizo ndo dalili kuandika hoja mbuzi na ukijibiwa kistaarabu una hemkwa!
Ulitaka nijibu unavyotaka wewe au nikutongoze?

Shenzi baga moyo wewe...
usiniletee ma. Vi ku. N. Ya na M. A. V. I. Kujamba!
Na ndio maana nilisema "kama mtu akili zake zipo full chaji muda wote asingeuliza swali lile" na kweli akili zako haziko sawa. Mwenye akili zilizotulia hawezi kutukana mtandaoni wakati hunijui sikujui ni maandishi tu ndio yanayotuunganisha sasa ya nini hutukane ?????
 
Back
Top Bottom