Utajiri wa Diamond Platinumz wafikia Billion 8.6 za Kitanzania

Utajiri wa Diamond Platinumz wafikia Billion 8.6 za Kitanzania

simpo logic huwezi kuwa na hela ukakaa porini, what is good for him angalau anakaa hom kwake tofauti na wale magumash wengine wanaopanga afu wanasema kwao

Kikwete anakaa wap au na yeye hana hela mbona anaish msoga
 
2.Sio kila mtu anayekupinga anakuchukia.. Mjifunze hilo kwanza, Billion 8 bakini mkiziongelea ila hiyo pesa huyo dogo hana.. Billion 8 angekaa kwenye nyumba kama ile uko porini?? Umeona nyumba na magari wanayopush yule dogo mnaija wa 5 star music?? Mtu ana ki BMW hajakibadilisha mwaka wa tatu huu na nyumba ya kawaida kabisa inaitwa Ikulu alafu mnadanganya ana Billion 8.

upload_2016-6-28_13-31-52.png
 
Duniani kuna mambo! Yaani watu wako busy kuandika na kujaza page kujadili tu fulani ana hela au hana! Kweli wanaume wa Dar ni shida.....
Kwani we unazo ngapi mkuu?
Ikifika Muda na wewe tutakuongelea tu... Ila punguza wivu
 
Angekuwa nayo sidhani mama angemlalamikia halima mdee kuwa road ya kufikia home kwake ni.mbovu....nadhani angeishaiweka lami.....
 
Bilionea wa madale, hata pale mtaani kwao haongozi kwa utajiri,
 
Ni mtu mvivu tu ndiye atakuwa na mawazo ya billion 8 ni nyingi.me naamini utajili uo anao.utajili hupimwa na aset unazo miliki.kama mtu anajeuli yakuweka meno ya dhahabu kwa milioni 11,we unazani anamiliki sh ngapi?
 
Watu mnasahau kuwa utajiri wa mtu,hauanzi from no where kuna starting point..nachomanisha diamond hajaanza game mwaka jana au juzi,ana miaka karibia 7 kwenye game so kama ni savings kahifadh za kutosha, pia mtoa mada umempgia hesabu za pesa anazopata kutokana na music na endorsements,ina maana dai hana investments apart from music? nakumbuka bongo5.com kat ya mwaka 2012 au 13 walsema ana utajir za ya bilion,watu wana shares na makampuni uko,watu wana fixed assets wanazo lease per months au year znawaingzia pesa nzuri..mfano dai ana nyumba zaid ya 10,tuchukulie ana pangsha kwa 500k/mnth ina maana ana m60 per year
 
Mimi bado hajatokea mtu mwenye HOJA ya kunishawishi kweli DIAMOND hawezi kuwa na hiyo pesa, wengi wanaongea chuki tu. " Eti mwenye pesa akai Madale - je Mkapa yuko wapi ......... Au huko Madale si ndio alianza kuishi Rashid Mfaume Kawawa ............ Au Mizengo Pinda yuko wapi ???????
 
Ushauri ni kua wasanii wachanga watafute hela kwanza kabla ya kujifanya wasanii wa muziki baada ya kushindwa/kufeli kufanya vitu vingine kwenye maisha....
 
Hizo hela asingenunua bmw used
Au kujenga kule alipojenga
Akijitahidi sana atakuwa kwenye milioni 800 hapo
 
Back
Top Bottom