mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
- Thread starter
- #101
hivi wewe kima unajitambua kweli au
Another frustrated & confused cat.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi wewe kima unajitambua kweli au
Ney mwenyewe alituambia ana bilioni mara nyumba kajenga kwa milioni 75 wakati nyumba za milioni kumi tena kwa kudunduliza..!!mimi na hisi nirahisi kuitaja pesa yetu hovyohovyo sababu haina thamani tenaSio kila mtu anayekupinga anakuchukia.. Mjifunze hilo kwanza, Billion 8 bakini mkiziongelea ila hiyo pesa huyo dogo hana.. Billion 8 angekaa kwenye nyumba kama ile uko porini?? Umeona nyumba na magari wanayopush yule dogo mnaija wa 5 star music?? Mtu ana ki BMW hajakibadilisha mwaka wa tatu huu na nyumba ya kawaida kabisa inaitwa Ikulu alafu mnadanganya ana Billion 8
Debe tupu hupiga kelele(mayowe)Pesa ya mboga hiyo ..mi ninayo mara mbili yake
Kumbe wewe ni mdada mi nilidhani naongea na wakiume mwenzangu ??Dada mbona unatokwa povu jingi sana kwa maisha ya mtu mwingine??
Kuwa nazo au kutokuwa nazo ni swala moja,lakini nakushangaa unavyojenga hoja za kuonyesha kabisa una chuki zilizokuzidi dhidi yake na ulikuwa unatafuta pa kuzitolea na ndio leo umepapata,kijana fanya kazi acha kuchukia ya wenzako.Maneno makali ndo yapi??
Huyo mnaemuita domo hana ujanja wa kuwa hata na mil 1
Labda izo bilioni 8.6 za kuchapisha tandale
Wewe mvivu wakuzitafuta ndio umeziona nyingi sana na ndio maana unapinga bila kuleta ushahidi wa unachokijua wewe.hivi unaijua pesa inayo ongelewa hapa au unataka kubishana
Huna akili weweWewe mvivu wakuzitafuta ndio umeziona nyingi sana na ndio maana unapinga bila kuleta ushahidi wa unachokijua wewe.
Kumbe umepinga ukiwa huzijui mali zake ???Mali gani hizo?
Hongera wewe mwenye akili unayedhani utafanikiwa kwa kutuletea chuki zako hapa,fanya kazi na bilioni utaona hela ya dagaa acha chuki pambana na maisha yako.Huna akili wewe
Kasema umemuona live au kasema kwenye blog jamii ya magazeti pendwando kasema io n yake kama tyga ana chini ya io bas mond kamzid
Hili ndio ulitakiwa kulijua kwanza kabla ya kupinga, kumbe umepinga wakati hujui lolote kumuhusu yeye halafu wajiona mjanja ........Tafuta pesa kijana hata ukisikia watu wanataja mabilioni utahisi unatajiwa tsh.100/= tu.Ana vitega uchumi gani?? Hiyo nyumba ya porini na ile pale Africana ambazo total equity yake haifiki hata Million 300 kwa pamoja.. Na wewe ulivyo mpuuzi unakubali anafanya show 104 za kulipwa Million 50 kwa miaka miwili mfululizo.. Jerk!?!?!?
copy and paste inawazuzua sana vijanaAnother frustrated & confused cat.
Hivi bro umeisoma hii habari kweli .......... maana kilichoandikwa na ulichokichangia ni tofauti kabisa.nikawaida yake kila akichemka kimataifa huko ili arudi nyumbani kupigana vijembe na kina Wema sepetu lazima atengeneze story..!!! 8bilions kirahisi tu