Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuonyesha makalio jukwaaniKwanza ndo wanasababisha vijana wageukie ushoga kwa kupenda kujilamba lamba midomo na kuvaa kata K
Za ZimbabweLabda kama ni bilion 8.6 za somalia.
Hauna manufaa yoyote.Huo utajiri una manufaa gani kwenye nchi iliyo top five ya nchi maskini duniani????
Samahani blaza hizo takwimu umezipata wapi.? Punguza Porojo blazaHuo utajiri una manufaa gani kwenye nchi iliyo top five ya nchi maskini duniani????
Mali gani hizo?Na kweli inawezekana ikawa hata 1m hana bank/nyumbani,lakini yeye hakusema zipo bank/nyumbani ila kasema MALI ANAZOMILIKI NI ZENYE THAMANI YA $ 4M.
hivi unaijua pesa inayo ongelewa hapa au unataka kubishanaWewe unayempinga ndio utuambie sisi,kwa jinsi unavyovijua anavyomiliki ndio sababu unapinga lakini kumbe wewe unapinga bila kuwa na ushahidi wa unachokipinga ????
Hivi unaweza kutuambia sababu ya kuongea maneno makali kiasi hiko ni ipi, hii ya bil 8 au ........ hapa tunalumbana kwa hoja si matusi.
Umetajataja mi-namba kibao lakini hoja ziro, kwa jinsi ulivyoandika inaonyesha kuwa unadhani anamiliki bil 8 basi zipo cash benki/nyumbani na pia kwa jinsi unavyoonyesha uelewa wako ni kuwa hazifanyii kitu zipo tu anazichungulia hakuna alichowekeza si ndio ............. halafu hapo kwenye gari kutembelea miaka mitatu ndio ungejiuliza kwenye hiyo mi-namba yako ulizoziorodhesha kazifanyia nini kama gari anaitumia kwa miaka mitatu sasa ?????
Kuonyesha makalio jukwaani
Kumekuwepo na tetesi nyingi kuhusu utajiri wa Diamond umefikia kiasi gani. Hilo ni swali ambalo hajawahi kulijibu kwa uhakika zaidi ya kutoa tu hints na kuwaacha wanaouliza kubaki na majibu yao wenyewe vichwani.
Lakini kupitia kipindi maalum cha kituo cha runinga cha E!TV, E Vip kilichorushwa Jumapili ya June 26, tunaweza kusema walau kwa uhakika staa huyo ana utajiri mkubwa kiasi gani. Diamond ana utajiri wa dola milioni 4 za Kimarekani ambao kwa shilingi ya Tanzania ni zaidi ya bilioni 8.6.
Si kitu kinachoshangaza tena kwa Diamond kutokana na hatua aliyofikia akiwa msanii anayelipwa fedha nyingi zaidi Tanzania kwa sasa. Fedha zake nyingi zinatokana na show zake zisizokauka za ndani na nje ya nchi, mikataba ya ubalozi na matangazo kutoka makampuni kama Vodacom, Cocacola, DSTV na Red Gold. Hivi karibuni alipata deal jingine la kutangaza huduma ya taxi ya Uber.
Pia amekuwa akiingiza fedha nyingi kupitia biashara ya nyimbo zake hasa miito ya simu, malipo ya mirabaha kutoka nchi za jirani kama Kenya bila kusahau biashara za mtandaoni zikiwemo Youtube.
Uwekezaji wake kwenye label ya WCB ni kitu kingine kikubwa ambacho kitaanza kumuingizia fedha nyingi siku za usoni. Hadi sasa amesaini wasanii wanne wakiwemo Rich Mavoko, Raymond, Harmonize na dada yake Queen Darleen.
Lakini pia staa huyo anafahamika kwa kuwekeza zaidi fedha kwenye ardhi na nyumba huku akidaiwa kumiliki maeneo mengi jijini Dar es Salaam.
Kama ni habari za kweli huo ni utajiri wake, sio wa Watanzania jamani mbona wagumu kuelewa?Huo utajiri una manufaa gani kwenye nchi iliyo top five ya nchi maskini duniani????
Kwa hiyo ukiwa wake nchi/ hainufaiki???Kama ni habari za kweli huo ni utajiri wake, sio wa Watanzania jamani mbona wagumu kuelewa?
Baba yake unamaanisha?Kwa hiyo ukiwa wake nchi/ hainufaiki???
Kuna haja gani ya kuwa na billions of money wakati mzazi wako akiwa mgonjwa humkumbuki????
Hahahaha mkuu maneno makali sanaNimepitia posts za watu wengi humu jamii, lakini kijana umebarikiwa roho mbaya kupita kiasi. Inaonyesha hufurahishwi hata kidogo na maendeleo ya nduguzo wa damu kwa hoja hizo hizo.
Hakika wewe ni mtu mbaya sana.
Point nzuri sana mkuu.Kwa hiyo ukiwa wake nchi/ hainufaiki???
Kuna haja gani ya kuwa na billions of money wakati mzazi wako akiwa mgonjwa humkumbuki????