samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Kuamini au kutokuamini majigambo yao si tatizo lakini shida ni pale mtu kutujengea hoja za chuki dhidi yake.Poleni mnaoamini majigambo ya wasanii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuamini au kutokuamini majigambo yao si tatizo lakini shida ni pale mtu kutujengea hoja za chuki dhidi yake.Poleni mnaoamini majigambo ya wasanii.
Umaskini wa nchi unamhusu nini,yeye ni mojawapo ya raia wachache wanaopambana na umaskini kwa dhati,wakati waliobaki wanapoteza muda kupambana nae!Huo utajiri una manufaa gani kwenye nchi iliyo top five ya nchi maskini duniani????
Hahaha Lubabangwe kwa akina nani?Jamaa kafafanua vizuri sana..ni wapuuzi wa maporini huko lubabangwe kwa akina magu..anaweza kudanganywa kwamba huyu jamaa amefika bilioni 8
Alisema anakusanya pesa anunuwe dream car yake ambayo ni Roseroyce....ambayo haijafika hata billion Moja!!!
Kwa hiyo ukiwa na pesa ni lazima ukae mbezi beach,masaki na mikocheni? We jamaa Una arguments za hovyo kweli kweli...[emoji57]
simply wasanii wanapenda show off.. kama kweli anahela asingekaa madale !!! cha kimpongeza ni kuwa anamklkki nyumba ila la bil 8 tupa kuleKwa hiyo ukiwa na pesa ni lazima ukae mbezi beach,masaki na mikocheni? We jamaa Una arguments za hovyo kweli kweli...[emoji57]
Ina maana hautuhusu si ndio? kama hautuhusu hii habari imefwata nini hapa?Umaskini wa nchi unamhusu nini,yeye ni mojawapo ya raia wachache wanaopambana na umaskini kwa dhati,wakati waliobaki wanapoteza muda kupambana nae!
Na ww umefungua thread ya nnIna maana hautuhusu si ndio? kama hautuhusu hii habari imefwata nini hapa?
hakuna mwenye bilion nane anakaa tandale kwa tumbo au manzese midiziniKwa hiyo ukiwa na pesa ni lazima ukae mbezi beach,masaki na mikocheni? We jamaa Una arguments za hovyo kweli kweli...[emoji57]
We nae sijui wa wapi...Yani uwe ata na a billion alafu unakaa tandale kwa Tumbo si utakua hamnazo.Hewa yenyewe pale ya kugombania kama mpira wa kona..Kwa hiyo ukiwa na pesa ni lazima ukae mbezi beach,masaki na mikocheni? We jamaa Una arguments za hovyo kweli kweli...[emoji57]
ahahahah kama una bil 8 ina maana unaweza kununia nyumba ya mil 300 maeneo mazuri ukizingatia yeye ni msanii!!!! sio madaleWe nae sijui wa wapi...Yani uwe ata na a billion alafu unakaa tandale kwa Tumbe si utakua hamnazo.Hewa yenyewe pale ya kugombania kama mpira wa kona..