makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Upuuzi tu, kuna mambo ya msingi zaid ya kujadili n kufikiri kuliko hii kitu, awe nazo asiwe nazo mie sioni tatzo juu ya hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli za watu waliokata tamaa ya maishaHuo utajiri una manufaa gani kwenye nchi iliyo top five ya nchi maskini duniani????
Hahahaha you made my nightTangu wameanza kuongeza sifuri, sitakaa nimuamini msanii yeyote
Tangu wameanza kuongeza sifuri, sitakaa nimuamini msanii yeyote
Ikiwemo weweKauli za watu waliokata tamaa ya maisha
Kwani usipoamini unampunguzia nini kwa mfano ????
Na kutoboa pia mazee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umesahauKwanza ndo wanasababisha vijana wageukie ushoga kwa kupenda kujilamba lamba midomo na kuvaa kata K
Na kutoboa pia mazee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umesahau
3 zote hizo mkuu mbona unaenda mbali sana hata ukiwatia wote kwenye kapu moja hata nusu ya hizo hawafikii