Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Am team Kiba, i always get angry....Get inspired....or get angry......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Am team Kiba, i always get angry....Get inspired....or get angry......
Huo utajiri una manufaa gani kwenye nchi iliyo top five ya nchi maskini duniani????
Hahahahahah kwa hiyo wewe wakenya umewaona ndio mfano wa watu wa maana kwako alafu unamdharau Diamond!! Kweli dunia haiishi maajabu.
Nimeshakwambia maisha umeyakosea mwenyewe usimlaumu mtu unajitesa bure kuchukia watu.
Hahahahahah kwa hiyo wewe wakenya umewaona ndio mfano wa watu wa maana kwako alafu unamdharau Diamond!! Kweli dunia haiishi maajabu.
Nimeshakwambia maisha umeyakosea mwenyewe usimlaumu mtu unajitesa bure kuchukia watu.
ndo kasema io n yake kama tyga ana chini ya io bas mond kamzid4 milion $ unataka kusema diamond ana pesa kuliko tyga? ni swali tu nimeulza nataka kujua so kwa ubaya
Siku hiizi ...Hivi kutamka Bilioni ni kurahisi sana eti!!!
halafu na wewe acha uboya unauliza pato la taifa limeongezeka vp kupitia jamaa???Halafu we bwana post zako ni za kitoto sana
Mwenzako ameuliza pato la taifa limeongezekaje hapo??
We unasema awaulize mengi na bakhresa
Ninyi ndo mnaofanya wakenya wazidi kuja kuwatawala hapo hapo kwenu
Nimepitia posts za watu wengi humu jamii, lakini kijana umebarikiwa roho mbaya kupita kiasi. Inaonyesha hufurahishwi hata kidogo na maendeleo ya nduguzo wa damu kwa hoja hizo hizo.Huo utajiri una manufaa gani kwenye nchi iliyo top five ya nchi maskini duniani????
Huo utajiri una manufaa gani kwenye nchi iliyo top five ya nchi maskini duniani????
Umetumwa? Mi nina experience na interview za wasanii hasa wanapotakiwa kutaja gharama za video wanazoshoot South, networth n.k huwa wana mtindo wakufanya multiplication kwenye original figure ili ku-deceive public na kucreate attention tuwaone special sana,
kwa taarifa yako tu Diamond wala msanii yoyote wa Bongo hakuna anayefikisha walau 3bil. Damn
Umemaliza kesi mkuuUmetumwa? Mi nina experience na interview za wasanii hasa wanapotakiwa kutaja gharama za video wanazoshoot South, networth n.k huwa wana mtindo wakufanya multiplication kwenye original figure ili ku-deceive public na kucreate attention tuwaone special sana,
kwa taarifa yako tu Diamond wala msanii yoyote wa Bongo hakuna anayefikisha walau 3bil. Damn
Hahahahahah kwa hiyo wewe wakenya umewaona ndio mfano wa watu wa maana kwako alafu unamdharau Diamond!! Kweli dunia haiishi maajabu.
Nimeshakwambia maisha umeyakosea mwenyewe usimlaumu mtu unajitesa bure kuchukia watu.
Kwa asie jua pesa ana dhani billion ni pesa ya masihara lkn swali linakuja je, mziki unalipa kiasi hicho? ana assets zipi japo za billion 2?Kuna watu wanadhani billioni ni kitu rahisi sana kuwa nacho achana na hiyo billion 8 wanayodanganya nayo..
Show moja Diamond akiwa nje ya nchi analipwa Million 50.. Tufanye anafanya show nje ya nchi week zote 52 za mwaka, hiyo ni Billion 2.5 kwa mwaka, tufanye kafanya hizo show miaka miwili mfululizo inatupa Billion 5.. Anasema Vodacom walimpa Million 800, DSTV nao tufanye Million 100, Uber Million 100, Tomato Million 100, Caller tunes Billion 1.. Hapo Jumla tunapata Billion 7.1.. Na hapo hatujaweka matumizi yoyote.. Sasa hizo billion 8.6 katolea wapi.. Billion kuimiliki msifikiri mchezo.. Angekuwa anamiliki Billion 8 asingetembelea kile kigari kwa miaka mitatu sasa..
Kuna watu wanadhani billioni ni kitu rahisi sana kuwa nacho achana na hiyo billion 8 wanayodanganya nayo..
Show moja Diamond akiwa nje ya nchi analipwa Million 50.. Tufanye anafanya show nje ya nchi week zote 52 za mwaka, hiyo ni Billion 2.5 kwa mwaka, tufanye kafanya hizo show miaka miwili mfululizo inatupa Billion 5.. Anasema Vodacom walimpa Million 800, DSTV nao tufanye Million 100, Uber Million 100, Tomato Million 100, Caller tunes Billion 1.. Hapo Jumla tunapata Billion 7.1.. Na hapo hatujaweka matumizi yoyote.. Sasa hizo billion 8.6 katolea wapi.. Billion kuimiliki msifikiri mchezo.. Angekuwa anamiliki Billion 8 asingetembelea kile kigari kwa miaka mitatu sasa..
halafu na wewe acha uboya unauliza pato la taifa limeongezeka vp kupitia jamaa???
Kama wew ukirusha tu hela mpesa serikali inachukua chao je unazani voda wanavotumia nyimbo za diamond kwny miito serikali haipati chao?
Diamond anamajumba kibao unadhani hayalipii kodi? gar yake ilikua na platenumber jina, hujui kuwa alikua analipa ml.5,?
Hivi hujui kuwa mziki wa bongo unaliongezea pato taifa? hasa huyo diamond? na juzkat hujaskia madawati 600? acha usennge!
Hivi unaweza kutuambia sababu ya kuongea maneno makali kiasi hiko ni ipi, hii ya bil 8 au ........ hapa tunalumbana kwa hoja si matusi.Humu ndani kuna malofa sana yani sijui huwa wanawashwa anakurupuka tu mtu anasema bilioni 8