Utajiri wa Diamond Platinumz wafikia Billion 8.6 za Kitanzania

Utajiri wa Diamond Platinumz wafikia Billion 8.6 za Kitanzania

Kwa asie jua pesa ana dhani billion ni pesa ya masihara lkn swali linakuja je, mziki unalipa kiasi hicho? ana assets zipi japo za billion 2?
Wewe unayempinga ndio utuambie sisi,kwa jinsi unavyovijua anavyomiliki ndio sababu unapinga lakini kumbe wewe unapinga bila kuwa na ushahidi wa unachokipinga ????
 
Kuna watu wanadhani billioni ni kitu rahisi sana kuwa nacho achana na hiyo billion 8 wanayodanganya nayo..

Show moja Diamond akiwa nje ya nchi analipwa Million 50.. Tufanye anafanya show nje ya nchi week zote 52 za mwaka, hiyo ni Billion 2.5 kwa mwaka, tufanye kafanya hizo show miaka miwili mfululizo inatupa Billion 5.. Anasema Vodacom walimpa Million 800, DSTV nao tufanye Million 100, Uber Million 100, Tomato Million 100, Caller tunes Billion 1.. Hapo Jumla tunapata Billion 7.1.. Na hapo hatujaweka matumizi yoyote.. Sasa hizo billion 8.6 katolea wapi.. Billion kuimiliki msifikiri mchezo.. Angekuwa anamiliki Billion 8 asingetembelea kile kigari kwa miaka mitatu sasa..
Umetajataja mi-namba kibao lakini hoja ziro, kwa jinsi ulivyoandika inaonyesha kuwa unadhani anamiliki bil 8 basi zipo cash benki/nyumbani na pia kwa jinsi unavyoonyesha uelewa wako ni kuwa hazifanyii kitu zipo tu anazichungulia hakuna alichowekeza si ndio ............. halafu hapo kwenye gari kutembelea miaka mitatu ndio ungejiuliza kwenye hiyo mi-namba yako ulizoziorodhesha kazifanyia nini kama gari anaitumia kwa miaka mitatu sasa ?????
 
Naona unamtetea

Haya basi mpe na mkate kabisa aumege
Inaonyesha unaozoefu mkubwa sana wa kutetea,na sehemu zote ulizotetea uliambulia kumegwa mkate na ndio maana sasa umejiapiza ni kuponda tu ukidhani na hapa utamegwa mkate wako kama ulivyokuwa unamegwa zamani.
 
Dimond ndo mdudu gani??

Yani kabisa unabinya pua kumsifia mtu

Wakenya wanawadharau kwasababu nyie wambea sana, halafu hampendi kazi mnapenda ngono na pombe

Endelea kumsifua ukiona haitoshi mpe na tigo
Una matatizo makubwa mawili.. Ushamba na dhiki.

Ni mshamba mpaka unaona hao wala sukuma wiki na chang'aa wa kibera ni watu wa maana mno kiasi wakikudharau unaona umepoteza kitu kikubwa sana kwenye maisha yako.

Kingine ni dhiki ndio inakusumbua, dhiki ikishaamia kwenye ubongo haya ndio matokeo yake. Unaishi maisha ya majuto na ya kukosa kila ulichoitaji. Matokeo yake sasa stress unaamishia kwa yoyote yule anayeonyesha kufanya vizuri kwenye maisha.

Cha kkushauri hiyo bil 8 ipunguze mpaka ifike pesa itayokupa amani rohoni kisha uendelee na shughuli zako kwa amani.
 
Ukuyikhipha ulimi lwakho imbongolo yami dai endala ... izinja lokho !! Dogs ukwenza lokho .... kukhona yini inja dai .... kodwa unawo wonke charecteristics a dai inja , ngaphandle ukwethembeka !!
 
Ali Kiba Ana utajiri wa dola nyingi kuliko huo. Yaani Diamond hajamfikia hata robo ysje.
 
Utajir wako wewe mleta mada ni kiasi gani??

Na kwanin upo hapa unatetea utajir wa watu wengine????

All things comes to an end.... #over
 
Bil 8.6 alafu unakaa porini kule madale, ukuta wenyewe umipitiwa na mtaro wa mto. Sisi tunaokaa mjini tunashingap?? Acheni utani pesa haijifichi bhana. Superstar mwenye pesa hawezi ishi kiswahil ivyo hata gari mpya tu hana sembuse nyumba mjini??
kijana aliyeleta hii habari akili hana hata moja msamehe bure tu
 
Hahahahahah kwa hiyo wewe wakenya umewaona ndio mfano wa watu wa maana kwako alafu unamdharau Diamond!! Kweli dunia haiishi maajabu.

Nimeshakwambia maisha umeyakosea mwenyewe usimlaumu mtu unajitesa bure kuchukia watu.
hivi wewe kima unajitambua kweli au
 
Umetajataja mi-namba kibao lakini hoja ziro, kwa jinsi ulivyoandika inaonyesha kuwa unadhani anamiliki bil 8 basi zipo cash benki/nyumbani na pia kwa jinsi unavyoonyesha uelewa wako ni kuwa hazifanyii kitu zipo tu anazichungulia hakuna alichowekeza si ndio ............. halafu hapo kwenye gari kutembelea miaka mitatu ndio ungejiuliza kwenye hiyo mi-namba yako ulizoziorodhesha kazifanyia nini kama gari anaitumia kwa miaka mitatu sasa ?????

Ana vitega uchumi gani?? Hiyo nyumba ya porini na ile pale Africana ambazo total equity yake haifiki hata Million 300 kwa pamoja.. Na wewe ulivyo mpuuzi unakubali anafanya show 104 za kulipwa Million 50 kwa miaka miwili mfululizo.. Jerk!?!?!?
 
Umetumwa? Mi nina experience na interview za wasanii hasa wanapotakiwa kutaja gharama za video wanazoshoot South, networth n.k huwa wana mtindo wakufanya multiplication kwenye original figure ili ku-deceive public na kucreate attention tuwaone special sana,

kwa taarifa yako tu Diamond wala msanii yoyote wa Bongo hakuna anayefikisha walau 3bil. Damn
3 zote hizo mkuu mbona unaenda mbali sana hata ukiwatia wote kwenye kapu moja hata nusu ya hizo hawafikii
 
Halafu we bwana post zako ni za kitoto sana

Mwenzako ameuliza pato la taifa limeongezekaje hapo??

We unasema awaulize mengi na bakhresa

Ninyi ndo mnaofanya wakenya wazidi kuja kuwatawala hapo hapo kwenu
Onyesha pale huyo unayemtetea alipoandika "Pato la taifa limeongezekaje?"
 
Back
Top Bottom