Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Umeuona ubuyu?

duh hatari sana ubuyu unawashaje sasa?mwe hatar sana hii wanataka kuhalalisha kijanja...btw who z this mchafuzi wa kimataifa?ndo mana mbuta alivokua anampiga picha alivoenda katika show alikua hatak kabisa pic kumbe ana yake...mfyuuuu
 
Last edited by a moderator:
Dear nimerejea mchana huu ngoja niweke mambo sawa ntakutafutaa..

Halafu ubuyu mbona mumeo hunipi? Haya nakuhitaji PM fastaaaa

Dear si nimeona umetumiwa na sharobaro!!!
Hebu jitahidi unione fasta maana am dying to hug you...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…