Tigo habar nyingine binamu , mi nilionjaga siku moja aiseeh nkajisemea moyon Clement alikuwa ana haki ya kumwagia madame mpunga wa maana aiseeh , japokuwa sasa ivi nimestaafu
Hakuna Shida Ila nimesema kesho nna Gem !
Baada ya hapo itabidi nikuvutie pumzi ya maana !
Kama siku moja hivi au unataka niunganishie bila kupumzika hata one day !
lusungo nianze Mara ngapi! Kwani hujaona tangazo... nimesema IPO sealed imewekwa sokoni rasmi kuanzia Leo... wahi kabla haijafunguliwa na wenzioUkianza kazi huo mtandao niarifu nianze kuutumia....
moyo wangu umewaka kama nini kuisikia habari hiyo nipo tayari kuuza shama ili kununua vocha yake
usinikose nusuuzepo roho mie....
Tigo habar nyingine binamu , mi nilionjaga siku moja aiseeh nkajisemea moyon Clement alikuwa ana haki ya kumwagia madame mpunga wa maana aiseeh , japokuwa sasa ivi nimestaafu
Sharti la mwisho inabid uanze mazoez ya kufanya threesome
Hakuna Shida Ila nimesema kesho nna Gem !
Baada ya hapo itabidi nikuvutie pumzi ya maana !
Kama siku moja hivi au unataka niunganishie bila kupumzika hata one day !
Mimi mwenyewe nasubir hyo tigo Day
Alitombw@ mara moja akaanza kusumbua anataka tena ma dolali, unaambiwa ukishapewa dozi moja tu bhaas unarud kwenu kwa mtogoli , ila bata za kufa mtu unazipata na raha zote za dunia ndani ya siku zisizozid mbili.
Ni wewe huyu huyu ulieingia humu kwa mikwara ya thread za jehanam???Hahahaha Tigo tamu jamani
Ni zamu ya Irene uwoya kutunukiwa tunzo ya u BOSS LADY apa bongo baada ya aliyekuwa akimiliki tunzo hiyo mwaka Jana wema sepetu kuangukia pua kama sio kichwa na kufulia , awali tunzo hyo iliwahi kumilikiwa na jackline wolper ambaye aliwahi kuwa na utajiri wa kutisha na baadae kufulia,sasa ivi unaambiwa irene ana mkwanja wa kutosha, ana miliki magari ya kifahari ambayo anadai kanunua mwenyewe, unaambiwa ivi sasa uwoya karudi kwa kasi, huku chanzo kikiaminika ni mwanaume aliye naye ambaye ana mkwanja wa kutosha.
, Hivi karibuni Uwoya alikaririwa
akisema kuwa hawezi kutaja kazi nyingine
anayofanya na utajiri aliokuwa nao kwani wapo
baadhi ya watu hawapendi kuona mmoja wao
akiendelea ...Alisema kuwa pamoja na magari
anayomiliki ya kifahari hawezi sema ni njia gani
amepata utajiri huo..Nimefanya Filamu kadhaa
ambazo zimenipa hela na cha zaidi ni Jina
ambalo limenifanya kupata Deals zingine
zinazonipa Pesa..Jina langu ni Kubwa so lazima
liendane na Mali ninazopata..alisema uwoya.
Daaah kitu imestuka ghafla usinitanie aisee Mimi penda sana tigo
Ni wewe huyu huyu ulieingia humu kwa mikwara ya thread za jehanam???
he he he nicheke ninenepe....
Kumbee nawe muasisii wa tigooo aiseeee