Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Ni zamu ya Irene uwoya kutunukiwa tunzo ya u BOSS LADY apa bongo baada ya aliyekuwa akimiliki tunzo hiyo mwaka Jana wema sepetu kuangukia pua kama sio kichwa na kufulia , awali tunzo hyo iliwahi kumilikiwa na jackline wolper ambaye aliwahi kuwa na utajiri wa kutisha na baadae kufulia,sasa ivi unaambiwa irene ana mkwanja wa kutosha, ana miliki magari ya kifahari ambayo anadai kanunua mwenyewe, unaambiwa ivi sasa uwoya karudi kwa kasi, huku chanzo kikiaminika ni mwanaume aliye naye ambaye ana mkwanja wa kutosha.

Hivi karibuni Uwoya alikaririwa akisema kuwa hawezi kutaja kazi nyingine anayofanya na utajiri aliokuwa nao kwani wapo baadhi ya watu hawapendi kuona mmoja wao akiendelea ...Alisema kuwa pamoja na magari anayomiliki ya kifahari hawezi sema ni njia gani amepata utajiri huo.. Nimefanya Filamu kadhaa ambazo zimenipa hela na cha zaidi ni Jina ambalo limenifanya kupata Deals zingine zinazonipa Pesa..Jina langu ni Kubwa so lazima liendane na Mali ninazopata.. alisema Uwoya.
 
Mmhhhhh nyumbaa wapiii hayo magarii yenyewe ya kupewaa tu mbona hawahongwii nyumbaaa!!!!!!!!halaf utajiri wa hawa ni wa msimu tu ikiwa kiangazi wanafuliaa kwenye masikaa wanakua matajirii duuuu
 
Mmhhhhh nyumbaa wapiii hayo magarii yenyewe ya kupewaa tu mbona hawahongwii nyumbaaa!!!!!!!!halaf utajiri wa hawa ni wa msimu tu ikiwa kiangazi wanafuliaa kwenye masikaa wanakua matajirii duuuu

Hao wanaish kwa mdomo 2 hivi mwenye hela huwa hasemi bt utaona maendeleo yke 2., wapeleke ujinga hao kwa shigongo
 
Mmhhhhh nyumbaa wapiii hayo magarii yenyewe ya kupewaa tu mbona hawahongwii nyumbaaa!!!!!!!!halaf utajiri wa hawa ni wa msimu tu ikiwa kiangazi wanafuliaa kwenye masikaa wanakua matajirii duuuu

Hahaha wallah ningekukosa humu Ningetoka mwanza mpaka Dar kwa miguu!
 
Hivii warumi huyuu Uwoyaa hua anaishii kwaooo au kwakeeee,????Ndikumanaa wapiiii siku hizii
 
Last edited by a moderator:
Hahhhhahhhahhhahha hapa ndio kijiwe kikuuuuu miee muulize warumiiii yaan utanikosa potee,

Celebrities forum ni kama Maji , usipoyaoga utayanywa, hihiii, mic u sana jembe langu , yaani Niko tight ile mbaya ila soon ntarud rasmi
 
Last edited by a moderator:
Bibie watu wanaitwa mama mwenye nyumba sio mama mwenye magari hayo makopo hata watoto wanachezea tuinyeshe mijengo yako mbezi masaki magorofa kariakoo ndio tutakuita mawanamke hodari magari fyuuu
 
Celebrities forum ni kama Maji , usipoyaoga utayanywa, hihiii, mic u sana jembe langu , yaani Niko tight ile mbaya ila soon ntarud rasmi

Na usipoyanywaa lazimaa utayafuliaa tuuu na hata uyachemshee vipiii lazima yarudi kwenye ubaridiii tuuu ndioo jukwaaa hiliiii
 
Wazima humu ndani...miss u mingimingi.. umbea nautaka ila nimetingwa balaa halafu
 
Back
Top Bottom