Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Nimezidi kukupenda maaa unajua ninavyopenda......
Umepatia Sana kulist ninavyovitaka kwa mtiririko MWANANA...
PESA
NYUMBA
penzi.......
Nakupenda lusungo nishammwaga huyo sharobaro snipa


I love you too...
snipa anafikiri siku hizi bado mnavutiwa na zile swaga za rabamtoni na kuning'iniza SIMU kifuani mfukoni huna kitu teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
I love you too...
snipa anafikiri siku hizi bado mnavutiwa na zile swaga za rabamtoni na kuning'iniza SIMU kifuani mfukoni huna kitu teh teh teh

Mwambie warembo sie hatuli swaga tunataka wenye maheRA yaliyotunisha mifuko...
 
Last edited by a moderator:
Nimezidi kukupenda maaa unajua ninavyopenda......
Umepatia Sana kulist ninavyovitaka kwa mtiririko MWANANA...
PESA
NYUMBA
penzi.......
Nakupenda lusungo nishammwaga huyo sharobaro snipa


Daaaa ! We nimekwambia Kwangu kila kitu utapata kasoro Roho yangu tu !

Mbona haunielewi we mwanamke ! Au unapenda sana mi na ,lusungo tukigombana ?
 
Last edited by a moderator:
I love you too...
snipa anafikiri siku hizi bado mnavutiwa na zile swaga za rabamtoni na kuning'iniza SIMU kifuani mfukoni huna kitu teh teh teh


Naona unataka Nighairi kabisa !
Mana nimekuonea Huruma Nimeona tu uanze wewe sasa unaleta Jeuri !

Hapa Pesa, Nyumba, Viwanja, Mashamba, Nguo, Na kila kitu atapata ! TATIANA mama yani we hutofanya hata kazi ! Utakuwa unapumzika tu !

Huyu lusungo pesa hana anakuzuga tu hapa ! Umpe asepe zake
 
Last edited by a moderator:
Daaaa ! We nimekwambia Kwangu kila kitu utapata kasoro Roho yangu tu !

Mbona haunielewi we mwanamke ! Au unapenda sana mi na ,lusungo tukigombana ?


Mi sina tatizo dear naangalia tu nani mfuko wake umetuna zaidi. Si unajua kuwa mwenye kisu kikali ndio hula nyama!!
 
Mi sina tatizo dear naangalia tu nani mfuko wake umetuna zaidi. Si unajua kuwa mwenye kisu kikali ndio hula nyama!!


Hapa utapendezaje !
Kila kitu yaani utapata ! Sio lusungo ana shangaa shangaa tu mjini hapa !

Pesa zenyewe hana !
 
Last edited by a moderator:
Naona unataka Nighairi kabisa !
Mana nimekuonea Huruma Nimeona tu uanze wewe sasa unaleta Jeuri !

Hapa Pesa, Nyumba, Viwanja, Mashamba, Nguo, Na kila kitu atapata ! TATIANA mama yani we hutofanya hata kazi ! Utakuwa unapumzika tu !

Huyu lusungo pesa hana anakuzuga tu hapa ! Umpe asepe zake

Oooooh my God!! Who doesn't want the life Kama ya #RichKidsofBeverlyHills !

Nasogea my dear snipa itabidi lusungo asubiri Sana.
 
Last edited by a moderator:
Hapa utapendezaje !
Kila kitu yaani utapata ! Sio lusungo ana shangaa shangaa tu mjini hapa !

Pesa zenyewe hana !

Mkuu hapa nina wealth and power atà enjoy vyote TATIANA anataka vyote nguvu pamoja na PESA sio porojo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hapa nina wealth and power atà enjoy vyote TATIANA anataka vyote nguvu pamoja na PESA sio porojo


Namsubiri Aniambie anataka twende Dubai lini !

Sifanyi masyala sahizi !
 
Last edited by a moderator:
Hahaha Dubai ya zenji or? Mi simtanii TATIANA Leo hapa hotel almanusura yule msanii amkane bwana ake kwa ajili yangu hiyo cologne tu naona Dada alidata


Hahaaaa Kumbe huyo msanii alitaka ?

Muulize TATIANA, mwenzako kesho nna Gem Na star wa Bongo Movie !

Afu Dubai kuleeeee sio hapo Zanzibar ulipoishia wewe !
Hapa Pesa Uchafu !

Na zinapendwa pesa Huo Mwili Kawe security !
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom