Siku ukivababikiziwa kesi na polisi kisha ukaacha mkeo na watoto ukafungu ndipo utakapo tambua kuwa polisi sio mtuTafuta hela dogo maisha ni mafupi. Cha msingi asiwe kazipata kwa kuua mtu.
Wewe unazungumzia huyo na kusahau mafisadi papa nani atawachunguza? Unajua mali wanazomiliki nje ya nchi? Ukipata fursa itumie becouse 1 day you will leave this world behind.
Wachaga ni wezi
Over
Watu waliopiga kwenye DP ndio wanasababisha mambo kuwa magumu. Maana wamepiga kwenye large scale basisNaunga mkono hoja, achunguzwe na aeleze mali kazitowa wapi, watu kama huyo ndiyo wanafanya maisha ya watu kuwa magumu na ndiyo wanaofanya uhalifu na magendo vishamiri.
Anatabia hizi anazozungumza mtoa mada?Huyu jamaa nampatapata
Ila mwacheni ale kwa urefu wa kamba yake
Maana nchi hii kila mtu anakula
Ova
Inasikitisha sana kwa kweliYaani siku hizi Tz mtu unahukumiwa kwa unachopata na siyo jinsi unavyokipata.
Sasa mtu kupokea rushwa imekua ni life style na inabidi asifiwe
Siyo awamu ni awamu zoteAwamu hii kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake
Ndg Wana jamvi,
Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.
Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.
Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.
Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
Hii ni mbaya sana, Mungu atusaidie kwa kweli. Sasa ukishawabandikia watu kesi na kununua hizo gari zitakusaidia nini? Utu ni muhimu sana kuliko kitu.Madereva wanalia kwa kubambikiwa kesi za mirungi, Ngoja likukute utajua MUSHI , uliza Madereva wenyewe watakwambia vilipo vyao
Kwahiyo ANGEKUWA kabila jingine. Ungesema achunguzwe?Huyo jamaa ni mchaga. Wachaga ni watafutaji! Acha uboya , piga kazi dogo!!!
Hata mwizi ni mtafutaji ujueHuyo jamaa ni mchaga. Wachaga ni watafutaji! Acha uboya , piga kazi dogo!!!