Mugabonihela
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 306
- 1,784
- Thread starter
-
- #461
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boss Unapatikana mkoa gani nikutumie akayabagu, nimetoka nazo burundi zipo za kutosha.Samahan mkuu tunakoitoa mwenyewe stori katuma kidogo TU labda usiku Kama akituma Tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah boss wangu kwa bahati mbaya sahivi nafikiria kuifanya kwa ef 5 hivyo hii ef 3 na yenyewe itaisha muda wake. apa target yetu ni kitabu sasa tukifanya kwa buku haita make sense kabisa yaani ununue kitabu kwa buku.mi naomba weka buku buku watu wengi wata soma na itakuwa nzur zaid
Bless up mkushi a.k.a baba Manuela😂😂Daah boss wangu kwa bahati mbaya sahivi nafikiria kuifanya kwa ef 5 hivyo hii ef 3 na yenyewe itaisha muda wake. apa target yetu ni kitabu sasa tukifanya kwa buku haita make sense kabisa yaani ununue kitabu kwa buku.
Tulianza na 2000 kwa watu mia moja wa mwanzo ila tukasogeza mbele mpaka watu 150.
Kitu kizuri ni kwamba ukilipia mara moja tu imetosha, imagine unalipia simulizi ndefu kama hii kwa ef 3.
NI OFA KUBWA NAMNA GANI
lakini pia nimeahidi kwamba simulizi nitaimaliza umu umu tuwe wavumilivu tu.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Karibu sanaboss ngoja nifanye muamala wangu nipo kiti cha mbele kazi nzur
Sisi wa wasap mbona tumeipata Hadi Leo hii.Kuwen wavumilivu Bado anayepost hukotunakoichukua hajatuma had mda huu akituma tu itasogezwa aliahid leo jion ngoja tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukilipia utatumiwa kuanzia mwanzo kabisa mpaka tulipofikia leo asubuhi hii, karibu sanaTatizo nklpia ntakuwa nyuma sana au unaanzia mwanzo?
Hakuna MnamaMkuu,hardcopy ipo uniuzie?
Hardcopy ndio inaandaliwa ikiwa tayari tutasema hapahapaMkuu,hardcopy ipo uniuzie?
Kuna watu hawana shukrani mkuu. WapotezeeKama utapata muda wa kuisoma vizuri hapo mbele utagundua kwanini nimenzia nyuma sana.