Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Tunaendelea wazee wa kazi,

Ramani niliyopewa na Shahzad ilikua na visiwa vingi vidogo vidogo japo na vikubwa vilikuwepo pia ndani yake.

Kwa mujibu wa ramani hiyo ili kufika rapta nilitakiwa kwanza kabisa kufika kisiwa kimoja ambacho kilikuwa ni miongoni mwa visiwa vikubwa kwenye ramani ile.

Naam bila shaka kisiwa kile ndio eneo kilipo kisiwa cha mafia kwa sasa kwenye bahari hii yetu ya Indi. Hivyo basi Shahzad alidai safari yangu itaanzia pwani ya Dar es salaam na kisha nitatimkia mafia.

kwanini nitaanzia pwani ya Dar es salaam, ni kwa sababu kwenye ramani ile kuna eneo pia liliwekwa alama iliyoonyesha kuna maeneo kwenye pwani ya Dar es salaam kuna vitu vya msingi ndani yake.

Shahzad alidai yeye wakati anakuja bongo alitarget rapta peke yake na sio sehemu nyingine. Na hivyo basi baada ya kuwa amesharudi kwao ndipo akagundua kwenye ramani ile kuna maeneo mengine yaliwekwa alama za kuonyesha uwepo wa mali.

Kwa bahati mbaya sana yeye hakudili au hakujihusisha na maeneo hayo, yeye aliwekeza nguvu zote akili pamoja na pesa kwenye mji mmoja tu ulioitwa rapta.

Hivyo basi alisisitiza pia kama kuna uwezekano tupitie Kwanza pwani ya Dar es salaam ili kutafuta eneo hilo ambalo lipo miongoni mwa maeneo yaliyowekewa alama na ndugu zake.

Maelezo mengi yaliyohusu alama zile kwenye ramani yaliandikwa kwa lugha ya kwao hivyo ilikua ngumu kuitafsiri. Lakini Shahzad alisema kwa uwepo wa uyo bwana mwingine kazi haitakua ngumu kwa upande wangu.

Kiukweli sikua tayari kusikia story za uwepo wa huyo mtu mwingine aliyekuwa anatajwa na Shahzad kwenye misheni yangu.

Ila nilishindwa kukataa papo hapo nilikua nasubiri tumalize kila kitu ndipo nitafute gia ya kumkataa huyo chalii yake.

MIMI: mzee mbona hii ramani ina visiwa vingi namna hii.

SHAHZAD: hahahahah ahaha kumbe bado hujatembea pwani ya Tanganyika wewe, we mzanzibari wa wapi ndugu yangu.
Hiyo ramani ni ya pwani yote ya Africa mashariki kuanzia somalia mpaka mwanzoni mwa Mozambique.
Nikwambie tu mjukuu wangu kuwa bahari ina mambo mengi kiasi kwamba ata wanaojiita wataalamu wana kubali hawaijui bahari kabisa.
Na kama wanaijua basi kwenye asilimia 100 wao ujuzi wao hauwezi kufikia ata asilimia 7 kwa wanachojua kuhusu bahari.

Shahzad alionekana kuijua sana bahari au niseme tu alionekana kuwa na taarifa nyingi zinazohusu bahari hususani ile bahari ya sham.

Lakini aliendelea kusema kwenye bahari zote kunavimbwanga lakini Atlantic na Indian ocean hizi zimezidi vituko.

Apa shahzad alisema kwakua ndio ninaanza kucheza na bahari basi hana haja ya kuniambia mengi kwani kwa anavyoniona anahisi nitaogopa na kutokuendelea na misheni.

Ila alisema watu nitakao washirikisha nihakikishe nachukua wazoefu wanaoyajua maji ya bahari na viumbe wengine waliomo ndani yake.

Kuna muda alisema ndani ya bahari hususani bahari ya Atlantic na bahari ya Indi. kuna sehemu ata sheria za physics hazifanyi kabisa kabisa, yaani hakuna cha relativity, quantum mechanics wala sijui ujinga gani.

Yaani hayo maeneo hayazitambui sheria za wafizikia kabisa kabisa na ndio maana mpaka leo wataalamu watakueleza mengi kuhusu anga pekee na sio bahari.

Kwa mujibu wa shahzad alisema kwakua nimetaka kujihusisha na bahari basi hakuna namna nitaacha kuzihusisha roho zisizoonekana kwenye ulimwengu huu wakawaida isipokua baharini pekee.


Kwakua Shahzad alikua ameanza kuielezea bahari hususani bahari ya Indi na Atlantic nilimuuliza kama amewahi kusafiri njia zote hizo ambazo yeye amedai ni hatari sana yaani Atlantic na Indi.

Alisema amepita njia zote hizo enzi za ujana wake wakati bado anapambana kabla ata ya kuoa marehemu mke wake.

Nilimuuliza mzee kuhusu eneo linaloitwa Bermuda triangle huko baharini, lakini kwa majibu yake alisema hajawahi kukutana na eneo hilo kwenye maisha yake ya bahari.

Kuna story nyingi zinadai Bermuda triangle ni eneo huko kwenye bahari ya Atlantic, eneo hilo mara nyingi linaaminika kumeza meli na ndege zote zinazokatisha kwenye pembe tatu hizo za bahari ya Atlantic.

Ila shahzad yeye anasema hakuwahi kukutana na eneo hilo kwenye maisha yake ya safari za Atlantic. Na mimi nilimuuliza hivyo makusudi kwani sio mara moja nimekua nikisikia story zinazohusu eneo hilo.

Ila Shahzad kuna kitu alikisema,

Alisema kwenye hizi bahari mbili kuna sehemu za hatari sana ambazo kuzitambua kunahitaji msaada wa roho nyingine.

Na apa ndipo unapokuja umuhimu wa pete ile aliyonionyesha sikuile wakati anatoa zile artifacts.

Alisema hujawahi kusikia kuna vitu au watu wanapotea baharini na hawaonekani tena kwenye ulimwengu wetu huu wa nyama.


Alisema sehemu hizo bwana ndio zilezile ambazo ata sheria za physics hazifanyi kazi, yaani kila kinachosogelea hapo huvutwa na hakiwezi kutoka tena.

Kiuhalisia ni kwamba hakuna kinachoonekana kwenye eneo hilo ata mwanga wenyewe hauonekani ahahahah hahahha.

Yaani kwa lugha rahisi ata mwanga ukienda hapo haurudi, waliosoma soma physics si mnajua kuwa ili uweze kukiona kitu basi ni lazima mwanga uwe unatoka kwenye hicho kitu.

Sasa basi kwenye maeneo hayo ata mwanga ukienda hautoki, utaona nini eti? Mzee alidai kila kitu husimama kikifika apo mpaka muda husimama eti, yaani kuna uwezekano ukiingia umo usizeeka karne karne

Kwa mantiki hiyo sisi tuliosoma physics maana yake eneo hilo escape velocity ni infinity.
OTEA NI WAPI HAPO. hahah haha

Binafsi nilihisi hiyo ndio Bermuda triangle yenyewe lakini mzee aliikataa Bermuda akasema hajui kuhusu hiyo kitu hivyo hataki kuwa muongo.

Alichokijua yeye ni hicho alichonieleza na kama nitajikita baharini na nitakua na msaada wa nishati za roho alizozisema basi nitaona alichoniambia.

Nilianza kuhisi kama mzee ananitengenezea mazingira ya kuingia kwenye ulimwengu wa giza usioonekana.

Kuna jambo lingine aliliongea kuhusu bahari ya Indi, alisema tunajua pacific ndio bahari kubwa na yenye kina kirefu kisha inafuata Atlantic kama sikosei, lakini sasa bahari ya Indi pamoja na kua ni ya tatu ndani yake imehifadhi mambo mengi sana.

Alidai nitayaona nikianza kuzamia kwenda huko, apa alisema kuzamia baharini ni ulevi mkubwa sana yaan endapo nikianza tu basi nitatumia muda mwingi kwenye maisha yangu kuwa chini ya bahari.


Alisema usishangae watu wanatoka nchi moja kwenda nchi nyingine kwa lengo la shughuli hiyo ya uzamiaji tu.

Apa alisema bahari hii ya Indi ndani yake kulikua na mabara,

Hhhhhmmm sikumuelewa


Mzee alidai hii bahari tunayoiona kuanzia coco beach kuja DP WORLD kurasini na kisha ikasambaa kwingineko duniani. Eti Bwana Ndani yake kuna mabara yaliyomezwa wakati Dunia inakatika vipande vipande ili kutengeneza haya mabara ya sasa.

Yaani kuna muda Shahzad niliona ananipanga kabisa ila nikawa namvumilia kwa kua ni mtu mzima sana siwezi kumpinga waziwazi.

Sasa kwa logic ya Shahzad ni kwamba kuna mapande makubwa ya ardhi ambayo yapo baharini na yalikatika kwa zaidi ya miaka billion 3.5 iliyopita.

Kama alichokua anakisema mzee ni cha kweli basi mzee kichwa chake kimehifadhi mengi mno.

Hakika siku hiyo mzee alinipa mengi japo mengi hayo yalikua na vitisho ndani yake na kuna muda nilihisi nisichukue pete yake kwani inaweza kuwa na mabalaa zaidi.

Au naweza kuivaa alafu nikifika deep sea jamaa wajue mi mwenzao maana ata huyu shahzad nilishanza kupoteza imani nae.

Baada ya story nyingi nakua ameshanikabidhi ramani rasmi alisema tunaweza kwenda msikitini kwakua muda umefika.

Lakini kabla hatujaenda huko alisisitiza kua ramani ile kama sitoifanyia chochote yaani kama misheni ikishindikana basi nitairudisha pale mwaka wowote Kwani familia yake tayari imeshanitambua.

Alidai yeye tayari yupo maji ya jioni naweza kuanza safari nisifike ata airport ya Dar es salaam nikasikia amekwisha kuaga Dunia.

Siunajua tena wazee ambao umri umeenda sana wanavyopenda kujitabiria kifo.

Shahzad alisema tukifika msikitini na kurudi nyumbani basi yule bwana aliyeongea nae kuhusu kufuatana na mimi ata kua tayari ameshafika nyumbani apo.
 
Kwa mujibu wa shahzad ni hivi hapo kabla, yaani alikua akizingumzia millions of years ago ( mamilioni ya miaka huko nyuma) idadi ya visiwa haikuwa sawa na ya leo. Alidai dunia au bahari ilikua na visiwa vingi sana kwa Wakati huo lakini kadili siku zinavyoenda ndio visiwa vinapungua.

Nilimuuliza kwanini visiwa vipungue nini kinasababisha kutoweka kwake,

Shahzad alisema niwe mpole kwani atanipa majibu ya kilakitu kinachonitatiza kuhusu bahari, kwanza alisema kuzama kwa mji wa rapta bado controversial sana kwa upande wake.

Na alidai atanipa sababu kwanini ni controversial, kuna kitu gani kinachomfanya aendelee kuona kuna utata kwenye sababu za kuzama kwa mji huo.

Shahzad alitangulia kusema kuwa kuna uwezekano mpaka tukifika mwishoni mwa dunia hii basi tusiwe na kisiwa chochote au tukawa na visiwa vichache sana kwenye dunia hii.

Apa alinipa mfano tu kwamba kwa miaka ya hivi karibuni chunguzi zimebaini kuwa mpaka kufikia mwaka 2050 kuna uwezekano kwenye uso wa dunia hii kusiwe na mji unaojulikana kama jakarta.

Kwa wasio ujua mji huu wa jakarta, huu ni mji mkuu wa Indonesia unaopatikana kwenye kisiwa cha java huko kusini mashariki mwa bara Asia.

Sasa basi wajuzi wa mambo wanadai kuna uwezekano mkubwa mpaka kufika mwaka 2050 mji huu kuwa umeshazama baharini. Lakini sio Jakarta pekee ipo miji mingine ila Jakarta inatajwa kwa sababu ya speed yake ya uzamaji kuwa kubwa kuzipita speed za miji mingine ambayo iko pwani au ata visiwani pia.
Sababu zinazopelekea mji huu kuzama ndizo hizohizo zilizozamisha baadhi ya visiwa na miji kadhaa huko nyuma.

Shahzad alitaja sababu kubwa mbili ambazo ni kuongezeka kwa kina cha bahari pamoja na mafuriko RISING SEA LEVELS AND FREQUENT FLOODING.

Kitu kimoja kikubwa Kinachosababisha kuongezeka kwa kina cha bahari ni hili ongezeko la joto duniani maarufu kama global warming ambalo ndio hupelekea mabadiliko ya hari ya hewa.

Ongezeko hilo la joto ndio linalopelekea kuyeyuka kwa barafu iliyoenea duniani kote ( ice sheets) na mwisho wa siku kuyeyuka kwa barafu hiyo ndio kunaongeza kina cha bahari.



Au kwa lugha nyingine rahisi zaidi tunaweza kusema ndio kunapelekea kuongezeka kwa maji baharini. Sasa basi maji yanavyoongezeka baharini ndipo kuna baadhi ya features zinapotezwa pia baharini.

Maji yanapoongezeka baharini ndipo tunakutana na mafuriko ya mara kwa mara yanayopelekea mmong'onyoko kwenye sehemu za pwani au ata kwenye visiwa.

Mmong'onyoko huu ukiendelea baada ya muda mrefu zaidi ndipo tunapopoteza baadhi ya features kwenye uso wa dunia au baharini.

Kuna sehemu ambazo serikali zao zimeongeza umakini kwenye suala hili wao wameamua kujenga zile kuta za baharini ili kuzuia mmong'onyoko huo. Serikali ya Indonesia ni miongoni mwa walioamua kutekeleza project hiyo ili tu kunusuru mji wao wa Jakarta.

Ukijaribu kurudi nyuma zaidi ya miaka 6500 huko tafiti zinasema bahari haikua imejaa kama tunavyoiona ilivyo leo hii.

Kwa mantiki hiyo basi kuna maeneo bahari inasogea kila uchao, na sababu ya kusogea huko ni maji yanavyoongezeka kwa speed ya hatari kutokana na kuyeyuka kwa barafu au ice sheet iliyopo kwenye kingo mbalimbali za dunia.

Tukirudi kwenye mji wa rapta, Bwana mzee shahzad alisema ni kweli kabisa kulingana na takwimu alizozikuta wanadai kunakipindi dunia ili experience ongezeko kubwa la maji kupitia simulizi za kale.

Lakini Shahzad hataki kuamini ongezeko hilo ndilo limepelekea kuzamishwa kwa mji huo japo vyanzo vyake vinadai kulikua na mafuriko ya mara kwa mara kwenye ukanda huo wote kuzunguka pwani ya Azania.

Kwanini Shahzad hataki kuamini, Kwanza kabisa anadai kuna taarifa zinakinzana kuhusu kuzama kwa baadhi ya miji ukiwemo huo wa rapta.

Zipo taarifa zinazodai mji huo kwanza kabisa ulivamiwa na kisha ukateketezwa,

" je! Kama ulivamiwa unadhani mali zitaendelea kuwepo" lilikua ni swali lililotoka kwangu.

Shahzad hakutaka kujibu aliniambia nimuache aendelee.

Licha ya hilo wazo la kuvamiwa na falme zilizokua pinzani kwa Wakati huo wapo waliodai kuwa mji huo ulikumbwa na majanga ya asili. Hivyo basi Baadhi wapo waliofanikiwa kuukimbia mji huo huku wengi wakifia ndani ya mji huo.

Maswali yalikua mengi sana apa na mwisho Shahzad aliniomba tufike msikitini kwanza kisha baada ya hapo tutarudi kuendelea na mipango mingine ya siku hiyo.

Shahzad aliniambia kuna uwezekano mkubwa wa kukutana na yule Bwana mkubwa mwingine ambae nitatakiwa kwenda nae kwenye misheni hiyo huko Tanzania.

Kama kawaida linapokuja swala la msikitini sikua mgeni tena yaani nilikua tayari nimeanza kuwa mzoefu tena wa viwango vya juu.

Mpaka wakati huo wenyeji wangu ambao ni Shahzad na mjukuu wake hawajawahi kujua kama sikua muislam toka nifike kwenye mji huo.

Tukiwa msikitini tunaendelea na Salah nilijaribu kukaa kwa machale yaani kwa maana ya kwamba nilikua nikijaribu kupepesa macho huku na kule kuangalia kama kuna mtu yeyote nitakuwa na mashaka nae.

Nilikua nikifanya hivyo kutafuta uwepo wa mtu ambaye alionekana kunifuatilia kwenye kila nyendo na mizunguko yangu ya maisha ya kila siku. Lakini kiukweli sikufanikiwa kuhisi uwepo wa yeyote ambae alionekana kunifuatilia kwenye maeneo yale.

Salah iliisha na tulitoka nje ya msikiti huo, tukiwa nje sikuwa mbali kutoka eneo alilokuwepo mzee wangu shahzad. Nilimuona shahzad akizungumza na kijana mmoja mwenye asili ya ki-asia na bila shaka nafsi iliniambia huyo ndiye aliyekua akizungumziwa na mzee shahzad hapo kabla.

Nilijisogeza mpaka hapo kwenye eneo alilokuwepo mzee huyo shahzad na kijana yule,

Nilipowakaribia tu, mzee alionyesha tabasamu kubwa usoni na kisha kwa bashasha sana akanitambulisha kwa yule jamaa kwa kutumia lugha ya kiingereza.

SHAHZAD: mustapha this is Rehman
( Mustapha huyu anaitwa Rehman)
And Rehman this is mustapha.
( Lakin pia bwana Rehman huyu anaitwa mustapha)

Alimuelekeza kila kitu kuhusu ujio wangu kwenye mji huo na ni wapi nilikua natokea madhumuni ya safari hiyo na kila alichokijua kuhusu mimi.


Huyu Rehman yeye kwa bahati mbaya sana hakuwahi kufika bongo ila alidai alikua na ndugu wanaishi mombasa hivyo alipanga kwanza kufika mombasa ndio kisha atue bongo.

Kwa haraka haraka nilimuona Rehman kama mshkaji mmoja mstaarabu sana asie na makuu kabisa. Nadhani ustaarabu wake ulichangia na kushika kwake dini na tabia zile za kufanya ibada five times a day ( Salah tano ).

Basi bwana tulifahamiana vizuri na Rehman, huyu bwana alijitambulisha tena vizuri zaidi ata na mimi pia nilifanya Hivyo hivyo na kisha tukaanza safari ya kurudi nyumbani kwa shahzad.

Muonekano wa Rehman kuna muda ulinistua kidogo kwani alikua tofauti kabisa na baadhi ya washiraz niliowaona kwenye mji huo. Yeye alikua mkamamavu sana na alijiamini kwa kiasi kikubwa sana yaani kupita maelezo.

Kuna muda wakiwa wanaongea na shahzad nilikua nasikia neno NEDAJA, nilitamani kumuuliza Shahzad ila nilipiga kimya kama ilivyo kawaida yangu ya kutokupenda kuuliza uliza maswali mengi.

Tukiwa tunakaribia nyumbani gari ile ambayo ndio ilikua inanitembeza kwenye mizunguko yangu ya kila siku niliiona ikija kwa mbele yetu na ikatupita. Hivyo iliwahi kufika nyumbani kwa shahzad kabla yetu sisi, tulipofika kwa shahzad nilimkuta fatemeh akiwa amefika tayari kwenye eneo hilo.

Bila shaka nilijua gari ile ndio ili mleta eneo lile,.lakini kama ilikua ghafla sana yaani sikuwa nimetarajia ujio wa fatemeh kwenye eneo lile kwa nyakati zile.

Nilimsogelea fatemeh mpaka eneo alilopo, mpaka hapo nilihisi labda kilichomleta haraka haraka ni uwepo wa jamaa yule mpya aliyeitwa Rehman. kwani nilikua naamini kama sio fatemeh mwenyewe basi kuna watu walikua karibu sana na mimi kujua kila ninae kutana nae.

Fatemeh alisalimiana na shahzad pamoja na Rehman kisha akabaki na mimi tukiongea mawili matatu pale nje.

SHAHZAD: kijana njoo ndani tumalize mazungumzo huyo si unalala nae kila siku.

Shahzad aliongea kwa kiswahili makusudi akiamini pale hakuna anaejua lugha ile zaidi ya mimi na yeye tu.

FATEMEH: what does your grandfather mean?
( Anamaanisha nini huyo Babu yako)


Fatemeh aliuliza kutaka kujua shahzad alikua anamaanisha nini kwa kile alichokiongea, nilimwambia kuwa tayari nimesha muelekeza kwamba muda wangu wa kuwepo Tehran umeisha natakiwa kurudi bongo.

Hivyo apa ananiambia nifanye haraka ili tukamalize mazungumzo,

FATEMEH: hhhhhmmm has he not spoken any nonsense about me?
( Hajaongea ujinga wowote kuhusu mimi)

MIMI: He said I should leave you because every day we are together in the same roof, same bedroom even the sama bedsheet.
( Niliongeza mbwembwe kidogo apa nikamwambia Shahzad anadai nikuache niende Ndani kwani kila siku tupo wote kwenye nyumba moja chumba kimoja Mpaka shuka tunatumia moja.)

Fatemeh alinikumbusha kuhusu kukutana na watu wapya ila nilimueleza kuwa kuna scenario kama zile nawezaje kukataa kukutana na watu wapya.

Alinielewa na akaniambia kuwa jamaa yule hana shida kabisa Kwani ni mtu aliyewahi kuhudumu kwenye jeshi la maji la nchi hiyo.

ISLAMIC REPUBLIC OF IRAN NAVY ndio jina la jeshi hilo la maji lakini wengi hupenda kutumia neno NEDAJA kwa muda mchache sana fatemeh alikua tayari ana details zote zinazomuhusu Rehman.

Sikujua ametumia mda gani kuzitafuta lakini alichoniambia ni kwamba si mtu mbaya kwangu hivyo niende nikawasikilize na tumalizane kabisa yeye ananisubiri tuondoke.


Apa fatemeh alikazia kwa kusema wanamashaka na maofisa wengi wa jeshi na vyombo vingine vya usalama vya nchi hiyo kutumiwa na majasusi wa Mossad.

Fatemeh alisema kuna battle moja kubwa sana ya kiinteligensia inayoendelea kimya kimya kati ya Mossad na MOIS.

Na inasemekana Mossad wamepandikiza watu wao wengi Ndani ya MOIS jambo linalofanya ata MOIS kutokuwa shirikisha baadhi ya ma agent kwenye kila misheni. Yaani apa alimaanisha kuwa kuna misheni za MOIS zinafanywa na wachache sana wanaozijua ni directors na baadhi ya watu wanaoamini sana.

Nilirudi ndani kukaa na shahzad, ambae nilimkuta akimuelekeza Rehman nini cha kufanya kwenye ramani ile.

Apo niligundua kwanini sasa shahzad anamuelekeza Rehman kuhusu jinsi ya kufika kwenye mji huo kutumia Raman ile. Ni kwakua Rehman alikua askari wa maji kulingana na maelezo machache ya fatemeh.

Lakini mpaka wakati huo, Shahzad alisema mimi nikiwa kama kiongozi wa msafara ule natakiwa kujua pia muelekeo wetu japo sina ujuzi wa kusoma ramani hususani ramani za baharini.

Lakini alisisitiza jambo moja tu, yaani nisimwambie Rehman chochote kuhusu pete aliyonikabidhi inafanya kazi gani, alidai ata kwenye familia baba hulinda mji kwa kutumia mbinu nyingi pasi na watoto kujua lolote.

Hivyo alimaanisha mimi nilikua kama baba ambae napaswa kulinda mji kuhakikisha watoto wana lala na wanaamka salama kabisa bila kujua ni kiasi gani mama ame sacrifice maisha.

Kuna muda nilihisi kengele ya hatari kwenye pete ile ila nikasema kimoyomoyo kuwa UCHAWI HAUENDI KWA MENTALI.


Whatsapp 0623329512 tumebaki na episodes 2 tu kumaliza simulizi huko Whatsapp.

Ila mzigo humu utaisha pia tuwe na uvumilivu tu.
 
Kwa mujibu wa shahzad ni hivi hapo kabla, yaani alikua akizingumzia millions of years ago ( mamilioni ya miaka huko nyuma) idadi ya visiwa haikuwa sawa na ya leo. Alidai dunia au bahari ilikua na visiwa vingi sana kwa Wakati huo lakini kadili siku zinavyoenda ndio visiwa vinapungua.

Nilimuuliza kwanini visiwa vipungue nini kinasababisha kutoweka kwake,

Shahzad alisema niwe mpole kwani atanipa majibu ya kilakitu kinachonitatiza kuhusu bahari, kwanza alisema kuzama kwa mji wa rapta bado controversial sana kwa upande wake.

Na alidai atanipa sababu kwanini ni controversial, kuna kitu gani kinachomfanya aendelee kuona kuna utata kwenye sababu za kuzama kwa mji huo.

Shahzad alitangulia kusema kuwa kuna uwezekano mpaka tukifika mwishoni mwa dunia hii basi tusiwe na kisiwa chochote au tukawa na visiwa vichache sana kwenye dunia hii.

Apa alinipa mfano tu kwamba kwa miaka ya hivi karibuni chunguzi zimebaini kuwa mpaka kufikia mwaka 2050 kuna uwezekano kwenye uso wa dunia hii kusiwe na mji unaojulikana kama jakarta.

Kwa wasio ujua mji huu wa jakarta, huu ni mji mkuu wa Indonesia unaopatikana kwenye kisiwa cha java huko kusini mashariki mwa bara Asia.

Sasa basi wajuzi wa mambo wanadai kuna uwezekano mkubwa mpaka kufika mwaka 2050 mji huu kuwa umeshazama baharini. Lakini sio Jakarta pekee ipo miji mingine ila Jakarta inatajwa kwa sababu ya speed yake ya uzamaji kuwa kubwa kuzipita speed za miji mingine ambayo iko pwani au ata visiwani pia.
Sababu zinazopelekea mji huu kuzama ndizo hizohizo zilizozamisha baadhi ya visiwa na miji kadhaa huko nyuma.

Shahzad alitaja sababu kubwa mbili ambazo ni kuongezeka kwa kina cha bahari pamoja na mafuriko RISING SEA LEVELS AND FREQUENT FLOODING.

Kitu kimoja kikubwa Kinachosababisha kuongezeka kwa kina cha bahari ni hili ongezeko la joto duniani maarufu kama global warming ambalo ndio hupelekea mabadiliko ya hari ya hewa.

Ongezeko hilo la joto ndio linalopelekea kuyeyuka kwa barafu iliyoenea duniani kote ( ice sheets) na mwisho wa siku kuyeyuka kwa barafu hiyo ndio kunaongeza kina cha bahari.



Au kwa lugha nyingine rahisi zaidi tunaweza kusema ndio kunapelekea kuongezeka kwa maji baharini. Sasa basi maji yanavyoongezeka baharini ndipo kuna baadhi ya features zinapotezwa pia baharini.

Maji yanapoongezeka baharini ndipo tunakutana na mafuriko ya mara kwa mara yanayopelekea mmong'onyoko kwenye sehemu za pwani au ata kwenye visiwa.

Mmong'onyoko huu ukiendelea baada ya muda mrefu zaidi ndipo tunapopoteza baadhi ya features kwenye uso wa dunia au baharini.

Kuna sehemu ambazo serikali zao zimeongeza umakini kwenye suala hili wao wameamua kujenga zile kuta za baharini ili kuzuia mmong'onyoko huo. Serikali ya Indonesia ni miongoni mwa walioamua kutekeleza project hiyo ili tu kunusuru mji wao wa Jakarta.

Ukijaribu kurudi nyuma zaidi ya miaka 6500 huko tafiti zinasema bahari haikua imejaa kama tunavyoiona ilivyo leo hii.

Kwa mantiki hiyo basi kuna maeneo bahari inasogea kila uchao, na sababu ya kusogea huko ni maji yanavyoongezeka kwa speed ya hatari kutokana na kuyeyuka kwa barafu au ice sheet iliyopo kwenye kingo mbalimbali za dunia.

Tukirudi kwenye mji wa rapta, Bwana mzee shahzad alisema ni kweli kabisa kulingana na takwimu alizozikuta wanadai kunakipindi dunia ili experience ongezeko kubwa la maji kupitia simulizi za kale.

Lakini Shahzad hataki kuamini ongezeko hilo ndilo limepelekea kuzamishwa kwa mji huo japo vyanzo vyake vinadai kulikua na mafuriko ya mara kwa mara kwenye ukanda huo wote kuzunguka pwani ya Azania.

Kwanini Shahzad hataki kuamini, Kwanza kabisa anadai kuna taarifa zinakinzana kuhusu kuzama kwa baadhi ya miji ukiwemo huo wa rapta.

Zipo taarifa zinazodai mji huo kwanza kabisa ulivamiwa na kisha ukateketezwa,

" je! Kama ulivamiwa unadhani mali zitaendelea kuwepo" lilikua ni swali lililotoka kwangu.

Shahzad hakutaka kujibu aliniambia nimuache aendelee.

Licha ya hilo wazo la kuvamiwa na falme zilizokua pinzani kwa Wakati huo wapo waliodai kuwa mji huo ulikumbwa na majanga ya asili. Hivyo basi Baadhi wapo waliofanikiwa kuukimbia mji huo huku wengi wakifia ndani ya mji huo.

Maswali yalikua mengi sana apa na mwisho Shahzad aliniomba tufike msikitini kwanza kisha baada ya hapo tutarudi kuendelea na mipango mingine ya siku hiyo.

Shahzad aliniambia kuna uwezekano mkubwa wa kukutana na yule Bwana mkubwa mwingine ambae nitatakiwa kwenda nae kwenye misheni hiyo huko Tanzania.

Kama kawaida linapokuja swala la msikitini sikua mgeni tena yaani nilikua tayari nimeanza kuwa mzoefu tena wa viwango vya juu.

Mpaka wakati huo wenyeji wangu ambao ni Shahzad na mjukuu wake hawajawahi kujua kama sikua muislam toka nifike kwenye mji huo.

Tukiwa msikitini tunaendelea na Salah nilijaribu kukaa kwa machale yaani kwa maana ya kwamba nilikua nikijaribu kupepesa macho huku na kule kuangalia kama kuna mtu yeyote nitakuwa na mashaka nae.

Nilikua nikifanya hivyo kutafuta uwepo wa mtu ambaye alionekana kunifuatilia kwenye kila nyendo na mizunguko yangu ya maisha ya kila siku. Lakini kiukweli sikufanikiwa kuhisi uwepo wa yeyote ambae alionekana kunifuatilia kwenye maeneo yale.

Salah iliisha na tulitoka nje ya msikiti huo, tukiwa nje sikuwa mbali kutoka eneo alilokuwepo mzee wangu shahzad. Nilimuona shahzad akizungumza na kijana mmoja mwenye asili ya ki-asia na bila shaka nafsi iliniambia huyo ndiye aliyekua akizungumziwa na mzee shahzad hapo kabla.

Nilijisogeza mpaka hapo kwenye eneo alilokuwepo mzee huyo shahzad na kijana yule,

Nilipowakaribia tu, mzee alionyesha tabasamu kubwa usoni na kisha kwa bashasha sana akanitambulisha kwa yule jamaa kwa kutumia lugha ya kiingereza.

SHAHZAD: mustapha this is Rehman
( Mustapha huyu anaitwa Rehman)
And Rehman this is mustapha.
( Lakin pia bwana Rehman huyu anaitwa mustapha)

Alimuelekeza kila kitu kuhusu ujio wangu kwenye mji huo na ni wapi nilikua natokea madhumuni ya safari hiyo na kila alichokijua kuhusu mimi.


Huyu Rehman yeye kwa bahati mbaya sana hakuwahi kufika bongo ila alidai alikua na ndugu wanaishi mombasa hivyo alipanga kwanza kufika mombasa ndio kisha atue bongo.

Kwa haraka haraka nilimuona Rehman kama mshkaji mmoja mstaarabu sana asie na makuu kabisa. Nadhani ustaarabu wake ulichangia na kushika kwake dini na tabia zile za kufanya ibada five times a day ( Salah tano ).

Basi bwana tulifahamiana vizuri na Rehman, huyu bwana alijitambulisha tena vizuri zaidi ata na mimi pia nilifanya Hivyo hivyo na kisha tukaanza safari ya kurudi nyumbani kwa shahzad.

Muonekano wa Rehman kuna muda ulinistua kidogo kwani alikua tofauti kabisa na baadhi ya washiraz niliowaona kwenye mji huo. Yeye alikua mkamamavu sana na alijiamini kwa kiasi kikubwa sana yaani kupita maelezo.

Kuna muda wakiwa wanaongea na shahzad nilikua nasikia neno NEDAJA, nilitamani kumuuliza Shahzad ila nilipiga kimya kama ilivyo kawaida yangu ya kutokupenda kuuliza uliza maswali mengi.

Tukiwa tunakaribia nyumbani gari ile ambayo ndio ilikua inanitembeza kwenye mizunguko yangu ya kila siku niliiona ikija kwa mbele yetu na ikatupita. Hivyo iliwahi kufika nyumbani kwa shahzad kabla yetu sisi, tulipofika kwa shahzad nilimkuta fatemeh akiwa amefika tayari kwenye eneo hilo.

Bila shaka nilijua gari ile ndio ili mleta eneo lile,.lakini kama ilikua ghafla sana yaani sikuwa nimetarajia ujio wa fatemeh kwenye eneo lile kwa nyakati zile.

Nilimsogelea fatemeh mpaka eneo alilopo, mpaka hapo nilihisi labda kilichomleta haraka haraka ni uwepo wa jamaa yule mpya aliyeitwa Rehman. kwani nilikua naamini kama sio fatemeh mwenyewe basi kuna watu walikua karibu sana na mimi kujua kila ninae kutana nae.

Fatemeh alisalimiana na shahzad pamoja na Rehman kisha akabaki na mimi tukiongea mawili matatu pale nje.

SHAHZAD: kijana njoo ndani tumalize mazungumzo huyo si unalala nae kila siku.

Shahzad aliongea kwa kiswahili makusudi akiamini pale hakuna anaejua lugha ile zaidi ya mimi na yeye tu.

FATEMEH: what does your grandfather mean?
( Anamaanisha nini huyo Babu yako)


Fatemeh aliuliza kutaka kujua shahzad alikua anamaanisha nini kwa kile alichokiongea, nilimwambia kuwa tayari nimesha muelekeza kwamba muda wangu wa kuwepo Tehran umeisha natakiwa kurudi bongo.

Hivyo apa ananiambia nifanye haraka ili tukamalize mazungumzo,

FATEMEH: hhhhhmmm has he not spoken any nonsense about me?
( Hajaongea ujinga wowote kuhusu mimi)

MIMI: He said I should leave you because every day we are together in the same roof, same bedroom even the sama bedsheet.
( Niliongeza mbwembwe kidogo apa nikamwambia Shahzad anadai nikuache niende Ndani kwani kila siku tupo wote kwenye nyumba moja chumba kimoja Mpaka shuka tunatumia moja.)

Fatemeh alinikumbusha kuhusu kukutana na watu wapya ila nilimueleza kuwa kuna scenario kama zile nawezaje kukataa kukutana na watu wapya.

Alinielewa na akaniambia kuwa jamaa yule hana shida kabisa Kwani ni mtu aliyewahi kuhudumu kwenye jeshi la maji la nchi hiyo.

ISLAMIC REPUBLIC OF IRAN NAVY ndio jina la jeshi hilo la maji lakini wengi hupenda kutumia neno NEDAJA kwa muda mchache sana fatemeh alikua tayari ana details zote zinazomuhusu Rehman.

Sikujua ametumia mda gani kuzitafuta lakini alichoniambia ni kwamba si mtu mbaya kwangu hivyo niende nikawasikilize na tumalizane kabisa yeye ananisubiri tuondoke.


Apa fatemeh alikazia kwa kusema wanamashaka na maofisa wengi wa jeshi na vyombo vingine vya usalama vya nchi hiyo kutumiwa na majasusi wa Mossad.

Fatemeh alisema kuna battle moja kubwa sana ya kiinteligensia inayoendelea kimya kimya kati ya Mossad na MOIS.

Na inasemekana Mossad wamepandikiza watu wao wengi Ndani ya MOIS jambo linalofanya ata MOIS kutokuwa shirikisha baadhi ya ma agent kwenye kila misheni. Yaani apa alimaanisha kuwa kuna misheni za MOIS zinafanywa na wachache sana wanaozijua ni directors na baadhi ya watu wanaoamini sana.

Nilirudi ndani kukaa na shahzad, ambae nilimkuta akimuelekeza Rehman nini cha kufanya kwenye ramani ile.

Apo niligundua kwanini sasa shahzad anamuelekeza Rehman kuhusu jinsi ya kufika kwenye mji huo kutumia Raman ile. Ni kwakua Rehman alikua askari wa maji kulingana na maelezo machache ya fatemeh.

Lakini mpaka wakati huo, Shahzad alisema mimi nikiwa kama kiongozi wa msafara ule natakiwa kujua pia muelekeo wetu japo sina ujuzi wa kusoma ramani hususani ramani za baharini.

Lakini alisisitiza jambo moja tu, yaani nisimwambie Rehman chochote kuhusu pete aliyonikabidhi inafanya kazi gani, alidai ata kwenye familia baba hulinda mji kwa kutumia mbinu nyingi pasi na watoto kujua lolote.

Hivyo alimaanisha mimi nilikua kama baba ambae napaswa kulinda mji kuhakikisha watoto wana lala na wanaamka salama kabisa bila kujua ni kiasi gani mama ame sacrifice maisha.

Kuna muda nilihisi kengele ya hatari kwenye pete ile ila nikasema kimoyomoyo kuwa UCHAWI HAUENDI KWA MENTALI.


Whatsapp 0623329512 tumebaki na episodes 2 tu kumaliza simulizi huko Whatsapp.

Ila mzigo humu utaisha pia tuwe na uvumilivu tu.
well
 
🤗
IMG_20230815_150915.jpg

😡😡😡
 
Kwa mujibu wa shahzad ni hivi hapo kabla, yaani alikua akizingumzia millions of years ago ( mamilioni ya miaka huko nyuma) idadi ya visiwa haikuwa sawa na ya leo. Alidai dunia au bahari ilikua na visiwa vingi sana kwa Wakati huo lakini kadili siku zinavyoenda ndio visiwa vinapungua.

Nilimuuliza kwanini visiwa vipungue nini kinasababisha kutoweka kwake,

Shahzad alisema niwe mpole kwani atanipa majibu ya kilakitu kinachonitatiza kuhusu bahari, kwanza alisema kuzama kwa mji wa rapta bado controversial sana kwa upande wake.

Na alidai atanipa sababu kwanini ni controversial, kuna kitu gani kinachomfanya aendelee kuona kuna utata kwenye sababu za kuzama kwa mji huo.

Shahzad alitangulia kusema kuwa kuna uwezekano mpaka tukifika mwishoni mwa dunia hii basi tusiwe na kisiwa chochote au tukawa na visiwa vichache sana kwenye dunia hii.

Apa alinipa mfano tu kwamba kwa miaka ya hivi karibuni chunguzi zimebaini kuwa mpaka kufikia mwaka 2050 kuna uwezekano kwenye uso wa dunia hii kusiwe na mji unaojulikana kama jakarta.

Kwa wasio ujua mji huu wa jakarta, huu ni mji mkuu wa Indonesia unaopatikana kwenye kisiwa cha java huko kusini mashariki mwa bara Asia.

Sasa basi wajuzi wa mambo wanadai kuna uwezekano mkubwa mpaka kufika mwaka 2050 mji huu kuwa umeshazama baharini. Lakini sio Jakarta pekee ipo miji mingine ila Jakarta inatajwa kwa sababu ya speed yake ya uzamaji kuwa kubwa kuzipita speed za miji mingine ambayo iko pwani au ata visiwani pia.
Sababu zinazopelekea mji huu kuzama ndizo hizohizo zilizozamisha baadhi ya visiwa na miji kadhaa huko nyuma.

Shahzad alitaja sababu kubwa mbili ambazo ni kuongezeka kwa kina cha bahari pamoja na mafuriko RISING SEA LEVELS AND FREQUENT FLOODING.

Kitu kimoja kikubwa Kinachosababisha kuongezeka kwa kina cha bahari ni hili ongezeko la joto duniani maarufu kama global warming ambalo ndio hupelekea mabadiliko ya hari ya hewa.

Ongezeko hilo la joto ndio linalopelekea kuyeyuka kwa barafu iliyoenea duniani kote ( ice sheets) na mwisho wa siku kuyeyuka kwa barafu hiyo ndio kunaongeza kina cha bahari.



Au kwa lugha nyingine rahisi zaidi tunaweza kusema ndio kunapelekea kuongezeka kwa maji baharini. Sasa basi maji yanavyoongezeka baharini ndipo kuna baadhi ya features zinapotezwa pia baharini.

Maji yanapoongezeka baharini ndipo tunakutana na mafuriko ya mara kwa mara yanayopelekea mmong'onyoko kwenye sehemu za pwani au ata kwenye visiwa.

Mmong'onyoko huu ukiendelea baada ya muda mrefu zaidi ndipo tunapopoteza baadhi ya features kwenye uso wa dunia au baharini.

Kuna sehemu ambazo serikali zao zimeongeza umakini kwenye suala hili wao wameamua kujenga zile kuta za baharini ili kuzuia mmong'onyoko huo. Serikali ya Indonesia ni miongoni mwa walioamua kutekeleza project hiyo ili tu kunusuru mji wao wa Jakarta.

Ukijaribu kurudi nyuma zaidi ya miaka 6500 huko tafiti zinasema bahari haikua imejaa kama tunavyoiona ilivyo leo hii.

Kwa mantiki hiyo basi kuna maeneo bahari inasogea kila uchao, na sababu ya kusogea huko ni maji yanavyoongezeka kwa speed ya hatari kutokana na kuyeyuka kwa barafu au ice sheet iliyopo kwenye kingo mbalimbali za dunia.

Tukirudi kwenye mji wa rapta, Bwana mzee shahzad alisema ni kweli kabisa kulingana na takwimu alizozikuta wanadai kunakipindi dunia ili experience ongezeko kubwa la maji kupitia simulizi za kale.

Lakini Shahzad hataki kuamini ongezeko hilo ndilo limepelekea kuzamishwa kwa mji huo japo vyanzo vyake vinadai kulikua na mafuriko ya mara kwa mara kwenye ukanda huo wote kuzunguka pwani ya Azania.

Kwanini Shahzad hataki kuamini, Kwanza kabisa anadai kuna taarifa zinakinzana kuhusu kuzama kwa baadhi ya miji ukiwemo huo wa rapta.

Zipo taarifa zinazodai mji huo kwanza kabisa ulivamiwa na kisha ukateketezwa,

" je! Kama ulivamiwa unadhani mali zitaendelea kuwepo" lilikua ni swali lililotoka kwangu.

Shahzad hakutaka kujibu aliniambia nimuache aendelee.

Licha ya hilo wazo la kuvamiwa na falme zilizokua pinzani kwa Wakati huo wapo waliodai kuwa mji huo ulikumbwa na majanga ya asili. Hivyo basi Baadhi wapo waliofanikiwa kuukimbia mji huo huku wengi wakifia ndani ya mji huo.

Maswali yalikua mengi sana apa na mwisho Shahzad aliniomba tufike msikitini kwanza kisha baada ya hapo tutarudi kuendelea na mipango mingine ya siku hiyo.

Shahzad aliniambia kuna uwezekano mkubwa wa kukutana na yule Bwana mkubwa mwingine ambae nitatakiwa kwenda nae kwenye misheni hiyo huko Tanzania.

Kama kawaida linapokuja swala la msikitini sikua mgeni tena yaani nilikua tayari nimeanza kuwa mzoefu tena wa viwango vya juu.

Mpaka wakati huo wenyeji wangu ambao ni Shahzad na mjukuu wake hawajawahi kujua kama sikua muislam toka nifike kwenye mji huo.

Tukiwa msikitini tunaendelea na Salah nilijaribu kukaa kwa machale yaani kwa maana ya kwamba nilikua nikijaribu kupepesa macho huku na kule kuangalia kama kuna mtu yeyote nitakuwa na mashaka nae.

Nilikua nikifanya hivyo kutafuta uwepo wa mtu ambaye alionekana kunifuatilia kwenye kila nyendo na mizunguko yangu ya maisha ya kila siku. Lakini kiukweli sikufanikiwa kuhisi uwepo wa yeyote ambae alionekana kunifuatilia kwenye maeneo yale.

Salah iliisha na tulitoka nje ya msikiti huo, tukiwa nje sikuwa mbali kutoka eneo alilokuwepo mzee wangu shahzad. Nilimuona shahzad akizungumza na kijana mmoja mwenye asili ya ki-asia na bila shaka nafsi iliniambia huyo ndiye aliyekua akizungumziwa na mzee shahzad hapo kabla.

Nilijisogeza mpaka hapo kwenye eneo alilokuwepo mzee huyo shahzad na kijana yule,

Nilipowakaribia tu, mzee alionyesha tabasamu kubwa usoni na kisha kwa bashasha sana akanitambulisha kwa yule jamaa kwa kutumia lugha ya kiingereza.

SHAHZAD: mustapha this is Rehman
( Mustapha huyu anaitwa Rehman)
And Rehman this is mustapha.
( Lakin pia bwana Rehman huyu anaitwa mustapha)

Alimuelekeza kila kitu kuhusu ujio wangu kwenye mji huo na ni wapi nilikua natokea madhumuni ya safari hiyo na kila alichokijua kuhusu mimi.


Huyu Rehman yeye kwa bahati mbaya sana hakuwahi kufika bongo ila alidai alikua na ndugu wanaishi mombasa hivyo alipanga kwanza kufika mombasa ndio kisha atue bongo.

Kwa haraka haraka nilimuona Rehman kama mshkaji mmoja mstaarabu sana asie na makuu kabisa. Nadhani ustaarabu wake ulichangia na kushika kwake dini na tabia zile za kufanya ibada five times a day ( Salah tano ).

Basi bwana tulifahamiana vizuri na Rehman, huyu bwana alijitambulisha tena vizuri zaidi ata na mimi pia nilifanya Hivyo hivyo na kisha tukaanza safari ya kurudi nyumbani kwa shahzad.

Muonekano wa Rehman kuna muda ulinistua kidogo kwani alikua tofauti kabisa na baadhi ya washiraz niliowaona kwenye mji huo. Yeye alikua mkamamavu sana na alijiamini kwa kiasi kikubwa sana yaani kupita maelezo.

Kuna muda wakiwa wanaongea na shahzad nilikua nasikia neno NEDAJA, nilitamani kumuuliza Shahzad ila nilipiga kimya kama ilivyo kawaida yangu ya kutokupenda kuuliza uliza maswali mengi.

Tukiwa tunakaribia nyumbani gari ile ambayo ndio ilikua inanitembeza kwenye mizunguko yangu ya kila siku niliiona ikija kwa mbele yetu na ikatupita. Hivyo iliwahi kufika nyumbani kwa shahzad kabla yetu sisi, tulipofika kwa shahzad nilimkuta fatemeh akiwa amefika tayari kwenye eneo hilo.

Bila shaka nilijua gari ile ndio ili mleta eneo lile,.lakini kama ilikua ghafla sana yaani sikuwa nimetarajia ujio wa fatemeh kwenye eneo lile kwa nyakati zile.

Nilimsogelea fatemeh mpaka eneo alilopo, mpaka hapo nilihisi labda kilichomleta haraka haraka ni uwepo wa jamaa yule mpya aliyeitwa Rehman. kwani nilikua naamini kama sio fatemeh mwenyewe basi kuna watu walikua karibu sana na mimi kujua kila ninae kutana nae.

Fatemeh alisalimiana na shahzad pamoja na Rehman kisha akabaki na mimi tukiongea mawili matatu pale nje.

SHAHZAD: kijana njoo ndani tumalize mazungumzo huyo si unalala nae kila siku.

Shahzad aliongea kwa kiswahili makusudi akiamini pale hakuna anaejua lugha ile zaidi ya mimi na yeye tu.

FATEMEH: what does your grandfather mean?
( Anamaanisha nini huyo Babu yako)


Fatemeh aliuliza kutaka kujua shahzad alikua anamaanisha nini kwa kile alichokiongea, nilimwambia kuwa tayari nimesha muelekeza kwamba muda wangu wa kuwepo Tehran umeisha natakiwa kurudi bongo.

Hivyo apa ananiambia nifanye haraka ili tukamalize mazungumzo,

FATEMEH: hhhhhmmm has he not spoken any nonsense about me?
( Hajaongea ujinga wowote kuhusu mimi)

MIMI: He said I should leave you because every day we are together in the same roof, same bedroom even the sama bedsheet.
( Niliongeza mbwembwe kidogo apa nikamwambia Shahzad anadai nikuache niende Ndani kwani kila siku tupo wote kwenye nyumba moja chumba kimoja Mpaka shuka tunatumia moja.)

Fatemeh alinikumbusha kuhusu kukutana na watu wapya ila nilimueleza kuwa kuna scenario kama zile nawezaje kukataa kukutana na watu wapya.

Alinielewa na akaniambia kuwa jamaa yule hana shida kabisa Kwani ni mtu aliyewahi kuhudumu kwenye jeshi la maji la nchi hiyo.

ISLAMIC REPUBLIC OF IRAN NAVY ndio jina la jeshi hilo la maji lakini wengi hupenda kutumia neno NEDAJA kwa muda mchache sana fatemeh alikua tayari ana details zote zinazomuhusu Rehman.

Sikujua ametumia mda gani kuzitafuta lakini alichoniambia ni kwamba si mtu mbaya kwangu hivyo niende nikawasikilize na tumalizane kabisa yeye ananisubiri tuondoke.


Apa fatemeh alikazia kwa kusema wanamashaka na maofisa wengi wa jeshi na vyombo vingine vya usalama vya nchi hiyo kutumiwa na majasusi wa Mossad.

Fatemeh alisema kuna battle moja kubwa sana ya kiinteligensia inayoendelea kimya kimya kati ya Mossad na MOIS.

Na inasemekana Mossad wamepandikiza watu wao wengi Ndani ya MOIS jambo linalofanya ata MOIS kutokuwa shirikisha baadhi ya ma agent kwenye kila misheni. Yaani apa alimaanisha kuwa kuna misheni za MOIS zinafanywa na wachache sana wanaozijua ni directors na baadhi ya watu wanaoamini sana.

Nilirudi ndani kukaa na shahzad, ambae nilimkuta akimuelekeza Rehman nini cha kufanya kwenye ramani ile.

Apo niligundua kwanini sasa shahzad anamuelekeza Rehman kuhusu jinsi ya kufika kwenye mji huo kutumia Raman ile. Ni kwakua Rehman alikua askari wa maji kulingana na maelezo machache ya fatemeh.

Lakini mpaka wakati huo, Shahzad alisema mimi nikiwa kama kiongozi wa msafara ule natakiwa kujua pia muelekeo wetu japo sina ujuzi wa kusoma ramani hususani ramani za baharini.

Lakini alisisitiza jambo moja tu, yaani nisimwambie Rehman chochote kuhusu pete aliyonikabidhi inafanya kazi gani, alidai ata kwenye familia baba hulinda mji kwa kutumia mbinu nyingi pasi na watoto kujua lolote.

Hivyo alimaanisha mimi nilikua kama baba ambae napaswa kulinda mji kuhakikisha watoto wana lala na wanaamka salama kabisa bila kujua ni kiasi gani mama ame sacrifice maisha.

Kuna muda nilihisi kengele ya hatari kwenye pete ile ila nikasema kimoyomoyo kuwa UCHAWI HAUENDI KWA MENTALI.


Whatsapp 0623329512 tumebaki na episodes 2 tu kumaliza simulizi huko Whatsapp.

Ila mzigo humu utaisha pia tuwe na uvumilivu tu.
Unaupiga mwingi sana Mugabonihela. Ubarikiwe
 
NB,

Kuzama au kupotea kwa mji huo wa rapta bado ni controversial sana kwakua mpaka sasa kuna nadharia mbili, nadharia hizo zinabebwa na ushahidi unaopatikana kwenye mabaki ya mji huo.

Je! Ni ushahidi wa aina gani huo na ni nadharia zipi hizo?

0623329512 ungana nasi kule Whatsapp.
 
NB,

Kuzama au kupotea kwa mji huo wa rapta bado ni controversial sana kwakua mpaka sasa kuna nadharia mbili, nadharia hizo zinabebwa na ushahidi unaopatikana kwenye mabaki ya mji huo.

Je! Ni ushahidi wa aina gani huo na ni nadharia zipi hizo?

0623329512 ungana nasi kule Whatsapp.
Unazingua wewe wala hatuji huko ukitaka uweke sawa usiweke sawa hatuna noma wala nini hatujali
 
NB,

Kuzama au kupotea kwa mji huo wa rapta bado ni controversial sana kwakua mpaka sasa kuna nadharia mbili, nadharia hizo zinabebwa na ushahidi unaopatikana kwenye mabaki ya mji huo.

Je! Ni ushahidi wa aina gani huo na ni nadharia zipi hizo?

0623329512 ungana nasi kule Whatsapp.
🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮
 
NB,

Kuzama au kupotea kwa mji huo wa rapta bado ni controversial sana kwakua mpaka sasa kuna nadharia mbili, nadharia hizo zinabebwa na ushahidi unaopatikana kwenye mabaki ya mji huo.

Je! Ni ushahidi wa aina gani huo na ni nadharia zipi hizo?

0623329512 ungana nasi kule Whatsapp.
Hao walioko whatsap nahisi wanateseka sana, kama umesema bado episode 2 iishe huko whatsap ina maana huwa huwatumii muendelezo kwa wakati maana vinginevyo ingekuwa imekwisha.

Ila kwakuwa ulisema itaisha hapa hapa basi sawa ngoja tusubiri tuone, maana naamini kwa sasa tayari unayo ni kiasi cha kuamua tu kuituma au kutokuituma hapa.
 
Hao walioko whatsap nahisi wanateseka sana, kama umesema bado episode 2 iishe huko whatsap ina maana huwa huwatumii muendelezo kwa wakati maana vinginevyo ingekuwa imekwisha.

Ila kwakuwa ulisema itaisha hapa hapa basi sawa ngoja tusubiri tuone, maana naamini kwa sasa tayari unayo ni kiasi cha kuamua tu kuituma au kutokuituma hapa.

Jamaa ni mshamba sana,mimi ndio story yake ya mwisho kuifuatilia
 
Kwa kweli nimeshakuwa'bored' [emoji19]. Mkuu malizia hii story sasa.
 
A young boy, aliyefukuzwa secondary aombe kwenda Iran kwa issue simple ya kuonana na Shahzad tena majasusi wa Iran ninaowajua kdg wamkubalie, aishi na jasus wao 1 room? asafiri na top spies of Iran kwa ndege yao achilia mbali magari yao? alipiwe everything in VIP mode kwa kazi ipi haswa???? Jasus smart amuelezee mambo mengi mpk ya chumbani easily? a cheap african boy easy to buy?

Halafu...all trip hasa za nje mhusika anafanya mambo kibao halipi hata mia, analipiwa tu?(at least mpk epispde niliyoishia) Asee ana bahati kuliko hata majasusi....

Tuisome kwa kuichukulia kama normal Riwaya tu like ya VIPEPEO WEUSI but haina uhalisia. Few aspects can be verified but the story has above 95% fiction side!

Watakaoamini kuwa ni ya kweli nao wana haki hiyo kikatiba!


Lakini nakupongeza Msimuliaji...punguza tu kuitetea kama eti ni story ya kweli, ipo vzr na inavutia wengi kusoma!

Pia una akili zaidi ya super computer kukalili series yooote ya matukio... u are good dude!
Totally I agree with you, hii naisoma tu kama story ya kutunga inayoelimisha kwa sababu imeinclude baadhi ya matukio ya kweli ambayo yapo kwenye historia au hata ukigoogle yapo.

Mwandishi katumia usanii wa matukio hayo kama fursa ya kujipenyeza kwenye matukio yaliyokwisha tokea aonekane naye alikuwepo, Nice artistic trick.

It doesn't make sense ujuane na mtu for less than a week afu akupe connection abroad tena ya drugs, no thank you.

Vipi kama kuna majasusi wa Iran Tz, na wapo mitandao ya kijamii coz lazima jasusi aijue lugha ya sehemu husika, vipi wakikutana na simulizi ya kweli inayowaanika, mpaka dakika hii ushapotezwa kitambo.
(ukweli ni kwamba majasusi wanakutumia tu, mission ikikamilika huwa wanapoteza ushahidi)
Au tuseme mtandao wa Vikrea sijui Tondar, coz mitandao ya kigaidi haipotei huwa ina mute tu siku wanakutana na hii story kitatokea nini, ingekuwa story ni kweli mpaka dakika hii ushageuziwa kibla.

Afu ukisoma sehemu anazosimulia mapenzi au romance utagundua jamaa ni mpenzi wa tamthiliya za kihindi yaani anapita mulemule.

Pia amefeli kutunza uhusika kutoka muhuni mtukutu anayekula bange, mpaka kuwa softboy romantic anayelilia na mwanamke.

Naijua bange nimeivuta nimeacha miaka kadhaa iliyopita, kabla ya hapo nilikuwa mtoto wa mama baada ya kula kijiti nikawakauzu yaani mgumu simaanishi mgomvi, ila hata baada ya kuacha nimebaki kax mgumu vilevile, siamini kama naweza kulilia na mwanamke.... maisha, (kwa waliowahi kuvuta na kuacha hapa watanielewa)

Anyway story tamu hata mi naendelea kusoma, ila kusema ni ukweli BIG NO
 
Back
Top Bottom