shikamkono01
JF-Expert Member
- Mar 26, 2016
- 685
- 2,055
@grelish@grelish
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@grelish@grelish
afu mkuu wa wilaya ya mafia kaanza kuongea kuhusu mji wa rapta kwamba watu waende mafia wakauone nikasema huyu atakuwa kapita humu 🤣🤣Mkuu acha kuumiza kichwa
Soma story kisha mengine fanya reasonings kichwani kwako.
Hii story ina ukweli mwingi kuliko fictions.
Hapa miezi ya karibuni, serikali ilichukua hatua fulani dhidi ya bidhaa zinazohusisha bangi kwenye utengenezaji wake ambapo unaona kabisaa akina Kingai wanapitiamo hapa kusoma story pia
🤑🤝🤛"It doesn't make sense ujuane na mtu for less than a week afu akupe connection abroad tena ya drugs, no thank you."
Ukisoma vizuri utagundua haikua connection ya madawa, pale nilikua nauzwa kwenda kuhudumu kwenye mashamba ya koka na sikutarajiwa kurudi zaidi ya kufia huko nikiwa teja kabisa.
TUENDELEE KUSOMA KWA KUTULIA ZAIDI.
"It doesn't make sense ujuane na mtu for less than a week afu akupe connection abroad tena ya drugs, no thank you."
Ukisoma vizuri utagundua haikua connection ya madawa, pale nilikua nauzwa kwenda kuhudumu kwenye mashamba ya koka na sikutarajiwa kurudi zaidi ya kufia huko nikiwa teja kabisa.
TUENDELEE KUSOMA KWA KUTULIA ZAIDI.
SafiiiTuliimaliza siku nzima tukiwa ndani ya maabara ile huku Catarina ambaye anaonekana kua ndio supervisor wa maabara hiyo alisisitiza kua nitakua bora kumzidi Javier. Alidai Javier ni mvivu sana, yupo makini kwenye misosi kuliko chochote.
Javier alikua akitabasamu kwa muda wote ambao Catarina akimsema, kwa maelezo ya Catarina ni kwamba Javier alikua mvivu sana linapokuja swala la kazi lakini alikua punctual sana wakati wa misosi.
Catarina alitumia muda huo kunionyesha sample za products zinazotolewa kwenye maabara hiyo. Kwenye ile meza kubwa kulikua na chombo ambacho ndani yake kulikua na sample kadhaa zimehifadhiwa.
Kwa maelezo ya Catarina, ni kwamba kwenye maabara hiyo wanatoa cocaine katika namna mbili tofauti tofauti ambazo ni:- cocaine hydrochloride na crack,
Cocaine hydrochloride ambayo ipo katika namnaa Fulani kama unga mweupe na matumizi yake yapo ya aina nyingi lakini njia pendwa ni kupitia injection (sindano) na snorting.
Crack hii ni namna nyingine ya mzigo unaozalishwa ndani ya maabara hii. Kwa muonekano inafanana na mapande ya chumvi ya mawe inapokua maabara, kawaida Ndani yake kuna mchanganyiko wa hydrochloride, ammonia au baking soda na maji.
Namna ya matumizi mara nyingi huvutwa kama kawaida. Huvutwa kwa kuchanganya na either bangi au sigara, mara nyingi huuzwa ikiwa kwenye solid state kisha mtumiaji anaenda kuisaga yeye mwenyewe kwa matumizi.
Sasa kulingana na wataalamu wa pharmacology cocaine hydrochloride na crack zote ni kitu kimoja ila kulingana na maabara hii kuna namna zimetenganishwa kama sample tofauti tofauti.
Kwenye zile sample zilipangwa kwa namna ya viwango vya quality lakini pia bei ya product inayozalishwa kwenye maabara hiyo.
Apa kwenye quality na bei hua tunaangalia ingredients (viungo) na level of purity (kiwango cha usafi) mzigo ukiwa na makapi mengi hupungua thamani pia.
Sasa kinacholeta makapi ni zile ingredients mfano nitroglycerin (gun powder) ambayo huwekwa kwa wingi kwenye Brown cocaine au Brown sugar kama wanavyoita watoto wa mjini, kiwango cha madhara kwa mtumiaji hutegemea na hizi ingredients pia.
Product ya kwanza iliitwa FISH SCALE COCAINE, hii ni pure cocaine ambayo purity level (viwango vya usafi) ni zaidi ya 90% yaani hakuna impurities kabisa kwenye mzigo huu na hii ndio cocaine ghali zaidi kwenye maabara hii. It is more powerful more expensive and harder to obtain hii yenyewe inang'aa sana kwa muonekano.
Product ya pili ilikua ni BROWN COCAINE ambayo ilikua ni mchanganyiko wa cocaine, amphetamine na nitroglycerin (gunpowder). Huu ni mchanganyo hatari zaidi kwani unaweza kupelekea mtumia kupatwa na madhara kama heart attack au stroke. Ile rangi wa Brown husababishwa na kuwepo kwa gunpowder kwenye mchanganyo huo.
Product ya tatu kuzalishwa kwenye maabara ile kulingana na maelezo ya Catarina ilikua ni CRACK COCAINES, hii kama nilivyoielezea hapo awali kama inafanana na crystals sometimes kama chumvi ya mawe.
Hii ndio low purity form of cocaine ( ina makapi mengi) viwango vya usafi ni sifuri kabisa kwani ndani yake kuna baking soda, maji na uchafu mwingine mwingi. Kawaida inakua na muonekano wa njano au brown inasemekana kua more addictive ukilinganisha na nyingine.
Catarina alinifundisha mambo mengi sikuile mwisho wa siku kichwa kilichoka sana kwani baada ya kugundua uwezo wangu alitaka tumalize ile orientation ndani ya siku moja.
Wakati naendelea na Catarina, Javier na Manuela walikua bize kusafisha baadhi ya apparatus kwani ilionekana siku inayofata kutakua na kazi kubwa. Nilichogundua kufanya kazi ndani ya ile maabara nilitakiwa nishukuru sana kwani hakukua na majukumu mazito ukilinganisha na wale wa mashambani.
Ila kuwepo maabara tatizo ni moja tu, kuwa teja ni kugusa hivyo nilidhamiria kuongea vizuri na Javier ili anielekeze ni kwa namna gani amefanikiwa katika hilo.
Tulitoka nje na Catarina kwa dhumuni la kunionyesha mazingira mengine ya nje ya jengo hilo la maabara. Nje hakukua na vitu vingi saaana zaidi ya sewage systems ambayo zilijengwa kwa mtindo wa kisasa zikitiririsha maji kwenye bonde hilo kuelekea mto haullaga.
Upande wa pili kuvuka sewage systems kulikua na jengo lingie refu lakini halikufikia lile la maabara kwa ukubwa. Jengo lile lilitumiwa kwa ajili ya packing ya mzigo uliokua tayari kusafirishwa, ni jengo ambalo lilikua na mfumo madhubuti wa umeme na hii ilimaanisha watu wa packing wakija hufanya kazi 24 hours.
Mazingira ya nje yalikua mazuri mno na nilivutiwa na kijani kibichi iliyotawalaa maeneo ya kuzunguka bonde lile. Kulikua na hewa safi na ya asili hakikaka taratibu nilijikuta nasahau dhiki za ile safari ya kufika hapo.
Nilimueleza Catarina hisia zangu juu ya uoto ule wa asili na hali ya hewa ya eneo lile. Catarina alitabasamu kwa muda kisha akaniambia kuwa miaka 10 nyuma eneo hilo lilikua bora kuliko hivi sasa.
Kwa maelezo ya Catarina ni kwamba maeneo ya kuzunguka bonde hilo kumekua na shughuli nyingi zinazopelekea (deforestation) ukataji wa miti. Hivyo hali ya hewa inabadilika taratibu sana tofauti na ilivyokua miaka ya nyuma. Aliendelea kusema kwamba wao ni miongoni mwa watu wanaopambana sana kuhakikisha mazingira ya eneo hilo yanatunzwa kwani wakulima wadogo wadogo ndio hufanya shughuli zao kienyeji bila kujali mazingira.
Kwa kuendelea kuchafua mazingira na kukata miti hovyo kungepelekea serikali ya Peru ku draw attention kwenye ukanda huo hivyo shughuli zao zingekua ngumu kuendelea.
Ilionekana wazi kuna viongozi wakubwa wa Peru na Bolivia wanajua au wanahusika na mashamba hayo ambayo yapo huko haullaga.
Nilimuuliza Catarina kuhusu soko la products zinazotolewa pale, bila kuchelewa alijibu kuwa wao hawahusiki kabisa na mambo ya soko kwani tayari kuna watu wa marketing ambao ndio wanajua kilakitu kuhusu soko.
Kikubwa anachojua yeye soko lao ni America ya kaskazini na ulaya na Asia wa uchache. Lakini pia alinionya kuendelea kuuliza maswali hovyo kama nitafanya hivyo kumuuliza kila mtu au kutaka kujua kila kitu kwa haraka naweza kuingia kwenye matatizo.
Bila shaka nilimuelewa Catarina anamaanisha nini, wakati wote huo nikiwa na Catarina alikua bize na sigara kwa kweli alikua mvutaji mkubwa. Nilihisi bado nahitaji kujua mengi kuhusu Catarina na Manuela nilikua kila nikimuangalia Catarina kuna kitu kinaniambia nahitaji kuendelea kuwa karibu zaid.
Sikuona haja ya kuendelea na maswali mengi zaidi kwani ata yeye alishanionya juu ya kuuliza maswali, ata hivyo kuuliza uliza maswali mengi haikua desturi yangu ila kuna muda nilitakiwa kufanya hivyo kutokana na ugeni wa mazingira hayo.
Baada ya muda alikuja bwana Javier akiwa na Manuela ambao wote kwa pamoja tuliungana kwenye meza moja iliyokua nje ya mazingira hayo na kuendelea na soga.
Wakati tunaendelea na stories, nilijiuliza ukiwa hapo mishahara tunalipwaje? Na matumizi tunafanyaje? Lakini baada ya kukumbuka onyo ya Catarina sikuona haja ya kuuliza hivyo nilitunza maswali yangu yote.
Niliamini Javier ndie mnyonge wangu ambae atajibu maswali yangu yote hapo baadae.
Nilijikuta nimekua na amani sana baada ya kuungana na kampani hiyo mpya kwenye maisha yangu. Javier alikua ana m-care sana Manuela ambaye mara zote nilipomuangalia usoni sura yake ilionekana wazi kama imebeba mengi mno.
Manuela alikua dhaifu mno kutokana na hali yake ya uteja, hauweza kufanya kazi yoyote ile iliyotumia nguvu hivyo Javier alipenda kuwa nae karibu na wanashirikiana mambo mengi.
Kwa haraka niligundua Catarina alikua na control kubwa kwenye maisha ya Manuela kwani yeye ndio aliamua ni muda gani wa Manuela wa sniff (kunusa cocaine) na ni kiasi gani ampe.
Kitendo cha Manuela kuwepo maabara pale ndio kilimpa favor ya kutumia high purity and expensive cocaine. Lakini kama angetumia aina nyingine ambazo zinakua contaminated kwa kiasi kikubwa asinge kua pale mpaka muda huo kwani alitumia kwa kiasi kikubwa sana.
Tukiwa pale tunaendelea na mazungumzo, niligundua kitu tofauti kutoka kwa Manuela kwani alikua kimya sana.
Alianza kutapika mfululizo huku akiwa anatokwa jasho jingi mno kiasi kwamba t-shirt yake yote ililowa. Aliporudi tulipokua tumeketi alionekana kutetemeka especially Upande wa mikono yote ilikua inatetemeka.
Catarina alinyanyuka na kuelekea Upande wa pili wa maabara hiyo na kuingia kwenye kamsitu kadogo jirani na maabara ile.
Javier alisema kinachomtokea Manuela ni arosto hivyo Catarina alikua anaenda kwenye ghetto lao kwa ajili ya kuchukulia unga ili arudi kwenye equilibrium. Catarina ndio alikua anajua dozi ya rafiki ake huyo na alifanya hivyo kwani angempa uhuru wa kutumia anavyotaka ingekua hatari.
Ingekua hatari sana kwakua upatikanaji wa dawa hizo kwa eneo hilo ulikua mrahisi sana hivyo ingeweza kumpelekea overdose na mpaka kufa.
Mabinti hawa wawili walikua wanaishi nyumba moja ambayo ilikua karibu kabisa na maabara hiyo pembezoni mwa mto. Nyumba ile ilijengwa kwa mbao lakini hii ya kwao ilikua tofauti na zile za kule kwetu tunapokaa mimi na bwana Javier.
Hii ilikua na viwango vya juu at least ukilinganisha na zote kwenye eneo hilo. Sababu kubwa ya umalidadi wa jengo hilo lililokua linakaliwa na Catarina na mwenzie emanuela, lilikua pia linatumiwa kama stores ya products zote zinazotokea maabara kwa ajili ya kusafirishwa.
Baada ya muda Catarina alirudi akiwa ameshika kitu mkononi na kumpatia Manuela, Manuela alipokea kwa pupa sana na kisha akatokomea upande mwingine kutoka pale tulipokua tumekaa.
Upande alioelekea ni ule upande uliokua na jengo la pili linalotumiwa na baadhi ya watu ambao huletwa apo kwa ajili ya packaging.
Watu wa packing wanakua wapo special na hufika apo baada ya kua maabara imekamilisha tayari mzigo. Na wao huandaa mzigo huo kwa ajili ya kusafirishwa, mara nyingi mzigo huo hupimwa kabla ya packaging na muhusika mkuu apa anakuaga Miguel pamoja na Daniel wao ndio huratibu mchakato huu.
Sababu ya kupimwa mzigo kabla ya packing ni kutafuta uhalisia wa kiwango kilichozalishwa kutoka maabara na mzigo uliosafirishwa kuwafikia watu wa marketing.
Kwa wastani ni kuwa kg 400 za majani ya koka (coca leaves) zinatumika kuzalisha kilo moja (1) ya coca paste na wakati huo huo inaweza kuzalisha kg 0.5 cocaine hydrochloride.
Mara nyingi wanaotumika kupack mzigo baada ya kua umepimwa wanakua ni wadada special ambao wapo kwa ajili ya kazi hiyo. Wadada hao hutokea jiji moja linaitwa Lima na wengine hutokea Arequipa.
Kwa stories za javier ni kwamba hao wadada wanakuaga ni warembo sana kwakua nipo hapo nitawaona siku mzigo ukiwa tayari.
Hivyo basi mara nyingi kama watu hao wa packing hawapo ndipo Manuela hupenda kulitumia eneo hilo tulivu kwa ajili ya shughuli zake za sniffing.
Bwana Javier ni moja ya watu waliofurahia uwezo wangu kwani ilionekana ninaenda kubeba majukumu mengi na kumpunguzia sehemu kubwa ya majukumu yake.
0623329512 Whatsapp
NB: Wanaoisomea kwa whatapp wapo mbele zaidi
(2000 wanalipia kwa simulizi yote)
Nilishaahid kumaliza simulizi hivyo lazima itaisha tu pamoja na kwamba watu wanaongea sana. Binafsi napenda wanaokosoa kwa kujenga lakini pia wapo wanaokosoa kwa kutaka kujua zaidi,Una moyo mkuu sana mkuu. Kuna wapuuzi wengi sana wanakutikisa ila umebakia imara
SawaNilishaahid kumaliza simulizi hivyo lazima itaisha tu pamoja na kwamba watu wanaongea sana. Binafsi napenda wanaokosoa kwa kujenga lakini pia wapo wanaokosoa kwa kutaka kujua zaidi,
sio tunaongea sana.punguza mashauz.unaandika kimaringo sana.Nilishaahid kumaliza simulizi hivyo lazima itaisha tu pamoja na kwamba watu wanaongea sana. Binafsi napenda wanaokosoa kwa kujenga lakini pia wapo wanaokosoa kwa kutaka kujua zaidi,
Ni kweli mkuu ila Samahani sana, nina majukumu mengine mengi hivyo sio muda wote nakaa chini ku recall matukio na kuyaandika kikubwa tuvumiliane tu na mzigo utaisha boss.sio tunaongea sana.punguza mashauz.unaandika kimaringo sana.
fatemeh alisema kwa tabia zangu hizi za kujifanya kidume mwenye uchu kumbe ni bora Javier angeniacha jamaa wanishughulikie.Ghorofa ile ilikua na zaidi ya floors 24, kwani mimi na fatemeh tulishuka au tuliishia flow hiyo ya 24 lakini bado kulikua na floor nyingine kwenda juu zaidi. Na Ndani ya floor hiyo ndipo kulipokua na apartment aliyokua akiishi fatemeh.
Tulipofika ndani ya apartment hiyo fatemeh aliniambia hapo ni kwake hivyo naweza kumpumzika kwa amani kabisa kwani nipo sehemu salama.
Mandhari ya apartment hiyo ilinivutia sana kiukweli kwani palikua pametulia mno hakukua na kelele wala movements za watu za hapa na pale.
Ukiwa ndani ya apartment hiyo unaweza kuuangalia mji wote na shughuli zote zilizokua zikiendelea mjini hapo. Fatemeh alinionyesha chumba ambacho nitalala siku zote nikiwa hapo kabla ya kurudi bongo na alisema ameagiza aletewa kila kitu cha msingi kiichotakiwa kuwepo ndani hivyo ikitokea yeye hayupo nitaweza kupata kila kitu ndani na sitakuwa na haja ya kutoka ndani umo.
MIMI: Why do you live on your own without siblings?
( Kwanini unaishi mwenyewe hauna ndugu?)
FATEMEH: you should be my brother, how do you think
( Tufanye uwe kaka yangu basi, unaonaje)
Kwa majibu yale niligundua hakua na ndugu kabisa ndio maana alikua pale akiishi peke yake.
MIMI: you can't be my sister
( Hahahahah huwezi kuwa dada yangu)
FATEMEH: why
( Kwanini)
MIMI: you already sucked my dick
( Unakuaje dada yangu wakati tayari umeshanyonya ****)
Jibu langu lilimfanya awe na ki aibu cha kike na kilimpelekea kupoteza utulivu kabisa.
FATEMEH: now.....!!!! who can we be if not brother and sister
( Sasa tunaweza kuwa nani kama sio kaka na dada)
MIMI: lovers
( Wapenzi)
Fatemeh hakujibu chochote zaidi aliniangalia tu na kusimama kuelekea kwenye chumba chake. Mpaka hapo niligundua fatemeh na ujanja wake hakuwahi kuwa na interaction na wanaume.
Wale wanaume alio interact nao ni wale waliohusisha mambo ya kazi pekee lakini mbali na hapo kuna uwezekano mkubwa hakua ata na rafiki wa kiume.
Hivyo apo nilitamani sana kujua story ya maisha yake huko nyuma, yaani alisoma vipi na alikulia wapi na kuzaliwa wapi.
Kutokujiamini kwake niligundua tulipokua ndani kwani hakua na utulivu kabisa ata kuniangalia usoni hakuweza kabisa. Jambo hilo ndio lililo nipelekea nazidi kujua weakness yake na mimi kumkazia sana usoni tunapokua kwenye maongezi hali iliyomfanya kukosa utulivu kabisa.
Baada ya kuona mwenzangu amenikimbia pale sitting room kutokana na maneno yangu ambayo yalimkosesha amani. Na mimi nilielekea kwenye room ambayo niliambiwa ndio nitaitumia siku zote nitakapo kuwa eneo hilo.
Cha kwanza kabisa ilikua ni kuoga, wakati nipo bafuni niliskia kama kengele ya mlangoni ina bisha hapo nilijua kuna mgeni amefika eneo hilo.
Wakati naendelea na kuoga na mlango wa chumba changu ulifunguliwa japo sikujua ni nani ameingia mi niliendelea na shughuli zangu chooni.
Nilipotoka kuoga nilikuta mfuko mkubwa wa plastic ukiwa kitandani, ndani ya mfuko ule kulikua na nguo mbali mbali zikiwemo na kanzu pia. Hapo niligundua aliyekua anapiga hodi ya kengele ndiye aliyekua amekuja na mzigo huo wa nguo.
Kwenye zile nguo zote zilizokuwepo eneo lile niliona ngoja nivae kanzu kwani kwenye maisha yangu sikuwahi kuvaa vazi hilo kabisa hivyo niliona wakati huo ni wakati sahihi kabisa kujaribu vazi hilo.
Baada ya kutupia kanzu yangu ambayo ilionekana ni ghali sana mjini pale, nilijisogeza mpaka sitting room ambapo nilimkuta fatemeh akibeba baadhi ya mizigo iliyoletwa hapo akiipeleka jikoni na stores.
FATEMEH: mashaallah!!!.... You look amazing today
( Mashaallah, umependeza sana)
Pia aliuliza kwanini nimechagua kuvaa kanzu wakati zilikuwepo nguo za kibrazamen mfano t-shirt na jinsi na kadet pia. Jibu langu liikua ni lilelile sikuwahi kuvaa kanzu hivyo basi nilitaka kujua ninaonekana vipi.
Nilianza kumsaidia fatemeh kubeba mizigo hiyo kupeleka store na jikoni, wakati tunaendelea na ubebaji niliuliza ni nani aliyekua akibisha hodi ya kengele.
Kwa majibu yake ni watu wa delivery na hao ndio watu pekee ambao hufika hapo kwani hakuna mtu mwingine yoyote ambaye anaweza kufika hapo ukizingatia hakuwahi kuwa na ndugu au kuwajua ndugu zake kabisa.
Hata hivyo fatemeh alionekana kufurahia uwepo wangu Ndani ya nyumba ile niligundua hilo baada ya kusikia kauli yake. Alisema kwa miaka kadhaa toka atoke kituo cha nursery imam Ali amekua akiishi peke yake ndani ya nyumba hiyo.
Lakini siku hiyo alikua ni mwenye faraja baada ya kuona tupo wawili tunabadilishana mawazo na kupiga stories mbalimbali japo kuna muda story zangu zinamkera.
Alidai nimeshindwa kumsoma yeye ni mtu wa aina gani kwani nimekuwa nikitanguliza tamaa ya ngono sana wakati yeye hakua na mawazo hayo.
Lakin pia alidai hakuwahi kuwa na mahusiano ya karibu na mwanaume wa aina yoyote mpaka kufikia umri huo. Hivyo basi kulingana na maisha aliyolelewa mpaka kufikia hapo mimi ndio mwanaume aliyewahi kuwa nae karibu mpaka kufikia hatua ya kushika maungo yangu.
Hivyo alitanguliza kusema sababu kubwa ya kunizoea mpaka kufikia hatua hiyo imesababishwa na namna tulivyoanza mazoea hayo tukiwa haullaga.
MIMI: ok....! that's why miss aparecida Said I'm very lucky man
( Ndio maana aparecida alisema nina bahati sana)
Since I very lucky man, i can get your virginity too
fatemeh alisema kwa tabia zangu hizi za kujifanya kidume mwenye uchu kumbe ni bora Javier angeniacha jamaa wanishughulikie.
Hapo niligundua anachukizwa na maneno yangu ya kufosi kula tunda kwani yeye hakuwa na mawazo hayo kabisa. Muda wote tukiwa ndani fatemeh alikua amefunika kichwa, sasa nilishangaa sana kwani hapo mwanzo tukiwa haullaga hakuwa vile kabisa.
MIMI: why you still covering yourself, you didn't do that when we were in haullaga.
( Mbona bado unajifunika wakati hukufanya hivyo tukiwa haullaga. Kama umeamua kujifunika jifunike tukiwa nje huku ndani niache nifurahie urembo wako)
Apa sasa fatemeh alijibu kwamba Kule haullaga alikua ni Manuela ila huku Tehran nipo na fatemeh binti wa ki-shia ambayo hapitwi na swala kabisa.
Hapa pia nilimuuliza kama yeye ni mtu wa swala ilikuaje akawa anatumia dawa za kulevya akiwa haullaga tena alikua teja kabisa.
Majibu ya fatemeh yalikua mepesi mno, alisema next time atanieleza ni nini kilikua kinafanyika pale ila ukweli ni kwamba kwenye maisha yake hakuna kilevi alichowahi kutumia mpaka anafikia umri huo.
Ni wazi fatemeh hakupenda kujibu maswali yaliyohusu taaluma yake ya ujasusi lakini pia taaluma yake ya udukuzi kwani maswali mengi aliyaacha na kusema ata nieleza kiundani hapo baadae kwani bado hakua ameniamini kiasi hicho licha ya kua na taarifa zangu za kutosha.
Muda huu tulishamaliza kuweka sawa mizigo yote kuanzia jikoni mpaka store hivyo tulikua wote tupo jikoni tukiendelea na mapishi. Mtoto wa kibongo sikua nyuma sana yaani yeye akishika nyanya mimi nashika kitunguu.
Yeye akishika mafuta mimi nashika mwiko au kijiko, yote hiyo niliifanya kuhakikisha naendelea kutengeneza ukaribu nae kwani Imani yangu ya kula tunda ilirudi upya kabisa.
Kwa asilimia fulani nilifanikiwa kwani tukiwa jikoni tulikua close sana yaani ukaribu uliongezeka lakini pia alikua huru ukilinganisha na masaa machache yaliyopita.
Lakini pia niligundua ata yeye kuna vitu alikua anavitamani sana ila alishindwa kuweka wazi labda kutokana na msimamo wa dini yake au labda maadili ya kazi yake.
Wakati huo nikiwa na fatemeh pia niligundua kuwa ni mtu aliyewahi kuishi maisha ya upweke ulipitiliza hapo kabla. Kwani kitendo cha kutokua na wazazi wala ndugu basi ni dhahiri aliishi maisha ya upweke sana kuanzia utoto wake mpaka anafikia utu uzima huo.
Ni wazi kampani yangu ilimfanya kujiona sasa ni mtu mwenye rafiki wa karibu lakini pia alijiona wa thamani kwa kuwa na mtu wa kubadilishana nae mawazo.
Licha ya hivyo katabia kangu ka kufosi kula tunda kalimfanya na yeye ajione mwanamke ambaye anavutia mbele ya wanaume. Kwani ilionekana wazi watu anaofanya nao kazi wasingeweza kumchombeza kwa namna yoyote ile.
MIMI: can I see your childhood memories like photos?
( Naweza kuona kumbukumbu zako za utotoni kama picha na vingine, niliongezea hapo kwamba anaonekana enzi za utoto wake alikua very cute girl)
FATEMEH: Even my self wish I could see them
( Hata Mimi pia natamani ningeziona)
Kwa majibu hayo nilijua kabisa ni wazi ata yeye hakuwahi kuona picha zake za utoto.
Lakini pia niliwaza inawezekana fatemeh akawa na story ngumu sana inayohusu maisha yake. Hapo niimuomba anipe at least nusu ya story ya maisha yake mpaka anafika umri huo.
Sura ya fatemeh iliongezeka upole na majonzi kwa wakati mmoja, alibeba msosi ambao ulikua tayari na mimi nilibeba msosi pia tukaelekea mezani sehemu ya dinning table.
Tukiwa dinning fatemeh aliuliza kuwa nataka kusikia story ya maisha yake kuanzia wapi. Kwani yeye mwenyewe haujui mwanzo wake zaidi anachokumbuka ni maisha yake kuanzia kituo cha nursery imam Ali.
Nyuma ya hapo hakuna anachokumbuka, yaani hajui alizaliwa wapi? Baba yake ni nani, mama yake ni nani wala hajui ndugu lakini pia hajui alifikaje kituoni hapo.
Mlezi wake wa kwanza aliyempokea kituoni hapo alikufa kwa kuwekewa sumu aina ya Botulinum inayotokana na bakteria wanaofahamika kama anaerobic.
Lakini kwa upande wake ana amini kuuwawa kwa mlezi huyo kulisababishwa na yeye mwenyewe yaani fatemeh ndio aliyepelekea kuuwawa kwa mlezi huyo.
Fatemeh aliligundua hilo baada ya uchunguzi wake binafsi alioufanya baada ya kuwa ametoka kwenye kituo hicho. Na ni kupitia uchunguzi huo ndio aligundua kutumika kwa sumu hiyo kwenye mauaji ya mlezi huyo.
Ni taasisi au idara ya MOIS ndio iliyomtoa fatemeh kwenye kituo hicho na kumpeleka kwenye kituo kingine baada ya kugundua uwezo wake mkubwa wa darasani.
Wakati tunaendelea na story zile ilionekana wazi kama fatemeh hakuwahi kuulizwa swali lolote kuhusu maisha yake hapo nyuma. Lakini pia niligundua kuna siri kubwa iliyopo nyuma ya maisha yake, na kuna uwezekano mkubwa kuwa siri hiyo inafichwa na either serikali ya Iran au ata yeye mwenyewe.
0623329512 ( Whatsapp) kama ukihitaji kusogea mbele zaidi kwa kutumia PDF ( BUKU TATU TU!)
bandari haijauzwa mama yupo kazini,
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app