Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Mkuu acha kuumiza kichwa
Soma story kisha mengine fanya reasonings kichwani kwako.

Hii story ina ukweli mwingi kuliko fictions.

Hapa miezi ya karibuni, serikali ilichukua hatua fulani dhidi ya bidhaa zinazohusisha bangi kwenye utengenezaji wake ambapo unaona kabisaa akina Kingai wanapitiamo hapa kusoma story pia
afu mkuu wa wilaya ya mafia kaanza kuongea kuhusu mji wa rapta kwamba watu waende mafia wakauone nikasema huyu atakuwa kapita humu 🤣🤣
 
"It doesn't make sense ujuane na mtu for less than a week afu akupe connection abroad tena ya drugs, no thank you."

Ukisoma vizuri utagundua haikua connection ya madawa, pale nilikua nauzwa kwenda kuhudumu kwenye mashamba ya koka na sikutarajiwa kurudi zaidi ya kufia huko nikiwa teja kabisa.


TUENDELEE KUSOMA KWA KUTULIA ZAIDI.
 
Baada ya Shahzad kumaliza maelezo yale yaliyohusu namna gani ya kufika kwenye mji huo kupitia ramani ile. Alianza kutupa story za mzee Schulz na harakati zake za kuitafuta rapta akiwa Tanganyika ya enzi hizo.

Mzee shahzad akiwa Tanganyika hakuwa amekaa hivi hivi uku akiseti mipango yake ya kuzamia mji wa rapta. La hasha!!! Akiwa Tanganyika mzee shahzad na mke wake walikua ni miongoni mwa wafanya biashara wakubwa Ndani ya jiji la mzizima.

Ukiacha wahindi kadhaa waliomiliki maduka makubwa na mfumo mzima wa biashara nchini Tanganyika. Basi waliofuata hakuna namna utawaacha washiraz wa bara na visiwani ambao nao pia kwa sehemu kubwa walimiliki mifumo mingi ya biashara.

Shahzad alikua ni miongoni mwa washiraz wachache waliomiliki biashara kubwa nchini kwa enzi hizo kabla ya uhuru.

Akiwa kwenye biashara zake za siku zote siku moja shahzad alikutana na bwana mmoja mjerumani aliyejitambulisha kwa jina moja tu la seabot, seabot alikua ni mjerumani aliyekua anaishi Tanganyika kwa miaka mingi hapo kabla na muda wote alijichimbia mkoa wa lindi wilaya ya nachingwea.

Seabot alikua anafika Dar es salaam mara chache sana kwa ajili ya kufanya shopping ya vitu ambavyo kwa maeneo ya lindi mjini ilikua ngumu kuvipata.

Shahzad hakuwahi kujua kwanini seabot alijichimbia maporini huko miaka yote hiyo. Lakini baada ya kufahamiana na kutambulishana seabot alimueleza Shahzad kuhusu uwepo wa Schulz mkoa huko.

Kwa maelezo ya seabot ni kwamba Schulz aliishi kwa rafiki ake seabot uku akiwa anaendelea na uchunguzi wake wa kuutafuta mji wa rapta.

Swali la kwanza la Shahzad kwa seabot lilikua ni kwanini huyo Schulz asikae dar es salaam au ata maeneo mengine ya karibu mfano kilwa na sio kwenda kuishi mbali hivyo ( nachingwea).

Kwa mujibu wa seabot ni kwamba Schulz alienda kukaa kwa seabot mara kadhaa ambazo alikua anahitaji kupumzika lakini mara nyingi anakua sehemu moja maarufu kama muhoro huko lufiji na wakati mwingine anakua kilwa.

Sasa basi baada ya seabot kukutana na shahzad aliomba awakutanishe wawili hawa ili wasaidiane kwenye kile kinachotafutwa kwani seabot aliona kabisa matumaini ya kuupata mji huo kwa Schulz peke yake asinge weza.
Mpaka Wakati huo Seabot hakuweza kufahamu kwamba wawili hao walishawahi kukutana hapo kabla. Na ilibidi Shahzad amueleze ukweli bwana seabot kuwa alishawahi kukutana na Schulz wakiwa huko Tehran miaka kadhaa nyuma.

Pia alimueleza kuwa yeye ndiye aliyempa Schulz habari hizo zilizohusu mji huo.

Kuanzia hapo seabot alimuomba sasa awakutanishe ili wasaidiane, lakini kwa mujibu wa shahzad hakua tayari kushirikiana na Schulz kwa madai ya kwamba alishamjua ni mtu wa aina gani.

na in case wakapata chochote basi Schulz asinge shindwa kumtoa mwenzie roho ili tu mali zile azimiliki yeye mwenyewe.

Alichokifanya Shahzad kwa Wakati huo ni kumpa bwana seabot maelezo ya namna gani ataweza kufika hapo kwa kua yeye mpaka wakati huo alishakua ameenda tayari awamu ya kwanza na kufanya survey.

Alichokua anasubiri ni kwenda safari nyingine ambayo ndio ilikua ya kwenda kuchukua au kufungasha mizigo au mali zilizokua huko bila ya kujua kuna changamoto kadhaa.

Kwanini Shahzad alitoa maelekezo kirahisi hivyo kwa seabot ili yakamfikie Schulz na Schulz afike huko kwa wepesi, kilichotokea ni kwamba Shahzad alikua anaamini kwa jinsi kule Ndani kulivyo Schulz asingeweza kufanya chochote au kutoka na chochote.

Wajermani walikua na utaalamu kwenye mali kale zilizoachwa na ndugu zao pekee enzi za German East Africa. Lakini kwenye mali zilizoachwa na wengine au ata kutelekezwa na wengine basi wajermani hawakua na ujanja.
Na shahzad alishalijua hilo mapema sana ndio maana alitoa maelekezo ya kufika huko kirahisi sana kwa bwana seabot.

Shahzad hakua tayari kukutana na Schulz au kushirikiana na Schulz kwani tayari alishamjua ni mtu wa aina gani.

Lakini pia mbali na hayo tayari alisha ahidiana na yule bwana wa ushelisheli kuhusu kushirikiana kwenda huko hivyo hakua tayari kumuhusisha na Schulz.

Kwa mujibu wa seabot Schulz alifanikiwa kufika rapta, lakini baada ya kuzamia na kufika huko alichokuta ni vitu viwili tu.

Kwanza Schulz alifanikiwa kuona kuta nene zilizo mong'onyoka na kudondoka kutokana na maji yaliyokua yamezunguka kuta hizo.
Na Schulz ni miongoni mwa watu waliokubali kuwa mji huo ni mji wa kale kutokana na kile alichokiona huko au kutokana na jinsi mawe ya ukuta ule yalivyoonyesha kuwa ni yamebebana kwa karne na Karne.

Hilo lilikua ni jambo la kwanza kuliona Schulz akiwa uko underground chini kabisa ya bahari iliyozunguka maeneo ya Mafia. Na kwa bahati mbaya Schulz hakuona chochote kile kilichoonekana kufanana na mali au artifacts kale.

Jambo la pili kuliona Schulz hakuna aliyelijua kwani ata seabot mwenyewe hakuambiwa na mwenzie. Kilichofanyika ni kwamba Schulz alimwambia tu seabot kwamba pale rapta hakuna chochote na kama kitakuwepo basi kuna nguvu na roho za ziada zinahitajika kupata ilichopo pale.


Schulz aliona nini? Lilikua ni swali langu kwenda kwa shahzad,

Lakini Shahzad alisema tuendelee, na kuhusu alichokiona Schulz atakiona yeyote ambae ataenda pale kwa nia ovu ya kuiba urithi ule uliokuwepo pale.

Kwanini Shahzad anatumia neno kuiba, mwenye mali ile ni nani hasa?

Kwa mujibu wa shahzad ni kwamba wenye mali ile ya rapta ni wafalme wa bahari wenyewe na ndio waliouficha mji huo kutoka kwenye macho ya kawaida ya binadamu na pia kutoka kwenye uso wa dunia.

Kuna muda kumuelewa Shahzad ilikua ngumu sana kwani alikua anazunguka zunguka sana bila kunyoosha mambo.

Mpaka hapo alikua ameanza kunivuruga, sasa kama Schulz alikua anaiba na mimi si nitakua naiba pia na kuna tofauti gani kati yangu na Schulz.

Kwa alichokisema shahzad ni kwamba tofauti yangu mimi na Schulz ni kwamba mi nitaenda pete ambayo itanipa utambulisho.

Na apo shahzad aliongeza kitu kuwa kuna mambo mawili, jambo la kwanza kutambulika na jambo la pili uwezo wa kuondoka na kile kilichopo japo alisema zile million tonnes za gold kule chini hakuna wa kumaliza.

Kwa mujibu wa shahzad pia alisema history ya afrika kwa sehemu kubwa ipo chini ya ardhi, hizi historical sites chache tunazoziona afrika hususani Tanganyika ni sehemu ndogo sana ya history nzima ya Tanganyika au afrika kwa ujumla.

Rehman yeye mda wote alikua ni msikilizaji mkubwa hakupenda kuongea chochote na kikubwa alichokuwa anasubiri yeye ni safari tu na sio vitisho vya Shahzad.

MIMI: lakini mzee wangu wewe ulienda na pete kwanini hukutoka na chochote.

SHAHZAD: hahah ahaha hahaha aaaa siri ya jandoni inabaki jandoni, we pambania malengo yako kwanza una uhakika gani kama sikutoka na chochote.

Hapo nikaikumbuka kauli yake ya kwamba kuna millions of tonnes ambazo si rahisi kuzimaliza kwa namna yeyote ile.

Nikajiongeza tu kuwa kuna uwezekano alitoka na chochote lakini pia bado kuna mzigo wa kufa mtu umebaki huko chini.

Shahzad alidai kwamba toka kuzama kwa mji huo hakuna mtu mweusi yoyote aliyejaribu kufika huko chini kwa nia ya kutaka kubeba mali ile. Hivyo alikua ana sapoti kwa asilimia kubwa sana safari yangu akiamini naweza rudi na matokea mapya.

Apa Alidai kwakua mji ule uliozama wenyeji wa kwanza kabisa walikua ni watu weusi basi kuna uwezekano warithi wa mali ile wanaotambulika wanatakiwa kuwa watu wenye kutokea nasaba za weusi pia.

MIMI: hivi mzee kilichopo kwenye mji ule ni dhahabu pekee, na imetunza kwenye mazingira gani miaka yote hiyo na hii pete itanipa ishara gani kuhusu iliko mali?

Nilipenda kutumia kiswahili kuuliza maswali kwakua ndani ya maswali yale nilihusisha pete ambayo shahzad hakutaka Rehman aifahamu.
SHAHZAD: ukiwa na hiyo pete mara tu atakapokaribia eneo lile au ufalme ule utahisi kitu cha tofauti sana kwenye mwili wako. Mji ule umezungushiwa ukuta kwenye mipaka yake na ukiwa na pete hiyo ukikaribia mipaka basi utaweza kuona njia zote na kila kitu.

MIMI: je!! Pete hii inafanya kazi baharini peke

SHAHZAD: hahahaha ahahaha nilisahau kitu cha msingi sana tena kwa jinsi wewe ulivyo na roho ndogo na nyepesi hii pete vaa ukiwa unaanza uzamiaji tu.

Muda wote huo mi naongea na shahzad Rehman alikua bize kuisoma upya ramani ile na kuna muda alimuuliza kitu shahzad kutoka kwenye Raman ile. Na shahzad aliendelea kumpa maelekezo kwa sehemu zote ambazo aliona zinampa changamoto Rehman.
Mwisho kabia mzee alisema nahitaji kupumzika sasa na tunaweza kuondoka, binafsi nilichokifanya ni kuchuka address ya Rehman na kumwambia tutawasiliana baadae.

Shahzad nilimwambia kabla ya kuondoka nitarudi tena kumuaga hivyo hizo siku kabla ya kuja kumuaga nitakua najiandaa na safari. Kuhusu Rehman nilimuomba tukutane ili tupange bajeti na mikakati mingine mingi.

Japo Rehman Alidai ya kwamba ili kufanya bajeti sahihi tulitakiwa kufika kwenye field kwanza na kuona ni miundo mbinu ipi itatumika tukiwa apo.

Tulikubaliana hivyo na mimi nikawa wa kwanza kuondoka eneo hilo nikimuacha shahzad na Rehman wakiendelea na maongezi yao.


Fatemeh kama kawaida mda wote alikua ananisubiri ili tuweze kuondoka wote kurudi nyumbani. Nilimueleza kuhusu Rehman na nikamwambia nimechukua address yake hivyo kabla ya safari itabidi tuonane.

Kwa mujibu wa fatemeh alidai mpaka alipofikia wakati huo Rehman hakua mtu m'baya katika misingi inayoijua yeye.

Labda aendelee na uchunguzi wake mwingine na amuangalie kwa upande mwingine, kwani alidai jina lake pia lipo kwenye list ya wafungwa waliwahi kufungwa kwenye gereza kubwa kwenye nchi hiyo.

Muda wote huo nilikua naisubiri report ya fatemeh kutokana na kile alichoniambia asubuhi ya siku hiyo kwamba alikua anaenda kukutana na director ili amjibu baadhi ya maswali yake.

Fatemeh alisema tufike nyumbani kwanza, lakini kwa taarifa fupi mpaka muda huo alishajua ni namna gani kifo cha Gatkuoth kilitokea na ni kweli Javier hajahusika kabisa wahusika wakuu walikua ni MOIS.


KWANINI MOIS WALIMUUA GATKUOTH?

Nusu ya maajabu ya pete ya shahzad yanapatikana pia kwenye ngozi na mifupa ya mnyama anayeitwa NGEKEWA,

Watu wa mali kale na madini nadhani mnanielewa, kwa upande wetu huu wa East Africa maeneo tunayompata NGEKEWA ni kwenye misitu ya kongo pekee. Huku ndipo kuna wataalamu wa kumtega ili kumpata mzima mzima, sitangazi biashara ila kwa anaejua matumizi ya ngozi na mifupa ya mdudu huyu atajua nachomaanisha.

Njoo kule Whatsapp kama unamjua huyu mdudu na unataka kumtumia.
 
"It doesn't make sense ujuane na mtu for less than a week afu akupe connection abroad tena ya drugs, no thank you."

Ukisoma vizuri utagundua haikua connection ya madawa, pale nilikua nauzwa kwenda kuhudumu kwenye mashamba ya koka na sikutarajiwa kurudi zaidi ya kufia huko nikiwa teja kabisa.


TUENDELEE KUSOMA KWA KUTULIA ZAIDI.
🤑🤝🤛
 
Una moyo mkuu sana mkuu. Kuna wapuuzi wengi sana wanakutikisa ila umebakia imara
"It doesn't make sense ujuane na mtu for less than a week afu akupe connection abroad tena ya drugs, no thank you."

Ukisoma vizuri utagundua haikua connection ya madawa, pale nilikua nauzwa kwenda kuhudumu kwenye mashamba ya koka na sikutarajiwa kurudi zaidi ya kufia huko nikiwa teja kabisa.


TUENDELEE KUSOMA KWA KUTULIA ZAIDI.
 
Tuliimaliza siku nzima tukiwa ndani ya maabara ile huku Catarina ambaye anaonekana kua ndio supervisor wa maabara hiyo alisisitiza kua nitakua bora kumzidi Javier. Alidai Javier ni mvivu sana, yupo makini kwenye misosi kuliko chochote.

Javier alikua akitabasamu kwa muda wote ambao Catarina akimsema, kwa maelezo ya Catarina ni kwamba Javier alikua mvivu sana linapokuja swala la kazi lakini alikua punctual sana wakati wa misosi.

Catarina alitumia muda huo kunionyesha sample za products zinazotolewa kwenye maabara hiyo. Kwenye ile meza kubwa kulikua na chombo ambacho ndani yake kulikua na sample kadhaa zimehifadhiwa.

Kwa maelezo ya Catarina, ni kwamba kwenye maabara hiyo wanatoa cocaine katika namna mbili tofauti tofauti ambazo ni:- cocaine hydrochloride na crack,

Cocaine hydrochloride ambayo ipo katika namnaa Fulani kama unga mweupe na matumizi yake yapo ya aina nyingi lakini njia pendwa ni kupitia injection (sindano) na snorting.

Crack hii ni namna nyingine ya mzigo unaozalishwa ndani ya maabara hii. Kwa muonekano inafanana na mapande ya chumvi ya mawe inapokua maabara, kawaida Ndani yake kuna mchanganyiko wa hydrochloride, ammonia au baking soda na maji.

Namna ya matumizi mara nyingi huvutwa kama kawaida. Huvutwa kwa kuchanganya na either bangi au sigara, mara nyingi huuzwa ikiwa kwenye solid state kisha mtumiaji anaenda kuisaga yeye mwenyewe kwa matumizi.


Sasa kulingana na wataalamu wa pharmacology cocaine hydrochloride na crack zote ni kitu kimoja ila kulingana na maabara hii kuna namna zimetenganishwa kama sample tofauti tofauti.

Kwenye zile sample zilipangwa kwa namna ya viwango vya quality lakini pia bei ya product inayozalishwa kwenye maabara hiyo.

Apa kwenye quality na bei hua tunaangalia ingredients (viungo) na level of purity (kiwango cha usafi) mzigo ukiwa na makapi mengi hupungua thamani pia.

Sasa kinacholeta makapi ni zile ingredients mfano nitroglycerin (gun powder) ambayo huwekwa kwa wingi kwenye Brown cocaine au Brown sugar kama wanavyoita watoto wa mjini, kiwango cha madhara kwa mtumiaji hutegemea na hizi ingredients pia.

Product ya kwanza iliitwa FISH SCALE COCAINE, hii ni pure cocaine ambayo purity level (viwango vya usafi) ni zaidi ya 90% yaani hakuna impurities kabisa kwenye mzigo huu na hii ndio cocaine ghali zaidi kwenye maabara hii. It is more powerful more expensive and harder to obtain hii yenyewe inang'aa sana kwa muonekano.

Product ya pili ilikua ni BROWN COCAINE ambayo ilikua ni mchanganyiko wa cocaine, amphetamine na nitroglycerin (gunpowder). Huu ni mchanganyo hatari zaidi kwani unaweza kupelekea mtumia kupatwa na madhara kama heart attack au stroke. Ile rangi wa Brown husababishwa na kuwepo kwa gunpowder kwenye mchanganyo huo.

Product ya tatu kuzalishwa kwenye maabara ile kulingana na maelezo ya Catarina ilikua ni CRACK COCAINES, hii kama nilivyoielezea hapo awali kama inafanana na crystals sometimes kama chumvi ya mawe.

Hii ndio low purity form of cocaine ( ina makapi mengi) viwango vya usafi ni sifuri kabisa kwani ndani yake kuna baking soda, maji na uchafu mwingine mwingi. Kawaida inakua na muonekano wa njano au brown inasemekana kua more addictive ukilinganisha na nyingine.

Catarina alinifundisha mambo mengi sikuile mwisho wa siku kichwa kilichoka sana kwani baada ya kugundua uwezo wangu alitaka tumalize ile orientation ndani ya siku moja.

Wakati naendelea na Catarina, Javier na Manuela walikua bize kusafisha baadhi ya apparatus kwani ilionekana siku inayofata kutakua na kazi kubwa. Nilichogundua kufanya kazi ndani ya ile maabara nilitakiwa nishukuru sana kwani hakukua na majukumu mazito ukilinganisha na wale wa mashambani.

Ila kuwepo maabara tatizo ni moja tu, kuwa teja ni kugusa hivyo nilidhamiria kuongea vizuri na Javier ili anielekeze ni kwa namna gani amefanikiwa katika hilo.

Tulitoka nje na Catarina kwa dhumuni la kunionyesha mazingira mengine ya nje ya jengo hilo la maabara. Nje hakukua na vitu vingi saaana zaidi ya sewage systems ambayo zilijengwa kwa mtindo wa kisasa zikitiririsha maji kwenye bonde hilo kuelekea mto haullaga.

Upande wa pili kuvuka sewage systems kulikua na jengo lingie refu lakini halikufikia lile la maabara kwa ukubwa. Jengo lile lilitumiwa kwa ajili ya packing ya mzigo uliokua tayari kusafirishwa, ni jengo ambalo lilikua na mfumo madhubuti wa umeme na hii ilimaanisha watu wa packing wakija hufanya kazi 24 hours.

Mazingira ya nje yalikua mazuri mno na nilivutiwa na kijani kibichi iliyotawalaa maeneo ya kuzunguka bonde lile. Kulikua na hewa safi na ya asili hakikaka taratibu nilijikuta nasahau dhiki za ile safari ya kufika hapo.

Nilimueleza Catarina hisia zangu juu ya uoto ule wa asili na hali ya hewa ya eneo lile. Catarina alitabasamu kwa muda kisha akaniambia kuwa miaka 10 nyuma eneo hilo lilikua bora kuliko hivi sasa.

Kwa maelezo ya Catarina ni kwamba maeneo ya kuzunguka bonde hilo kumekua na shughuli nyingi zinazopelekea (deforestation) ukataji wa miti. Hivyo hali ya hewa inabadilika taratibu sana tofauti na ilivyokua miaka ya nyuma. Aliendelea kusema kwamba wao ni miongoni mwa watu wanaopambana sana kuhakikisha mazingira ya eneo hilo yanatunzwa kwani wakulima wadogo wadogo ndio hufanya shughuli zao kienyeji bila kujali mazingira.

Kwa kuendelea kuchafua mazingira na kukata miti hovyo kungepelekea serikali ya Peru ku draw attention kwenye ukanda huo hivyo shughuli zao zingekua ngumu kuendelea.

Ilionekana wazi kuna viongozi wakubwa wa Peru na Bolivia wanajua au wanahusika na mashamba hayo ambayo yapo huko haullaga.

Nilimuuliza Catarina kuhusu soko la products zinazotolewa pale, bila kuchelewa alijibu kuwa wao hawahusiki kabisa na mambo ya soko kwani tayari kuna watu wa marketing ambao ndio wanajua kilakitu kuhusu soko.

Kikubwa anachojua yeye soko lao ni America ya kaskazini na ulaya na Asia wa uchache. Lakini pia alinionya kuendelea kuuliza maswali hovyo kama nitafanya hivyo kumuuliza kila mtu au kutaka kujua kila kitu kwa haraka naweza kuingia kwenye matatizo.

Bila shaka nilimuelewa Catarina anamaanisha nini, wakati wote huo nikiwa na Catarina alikua bize na sigara kwa kweli alikua mvutaji mkubwa. Nilihisi bado nahitaji kujua mengi kuhusu Catarina na Manuela nilikua kila nikimuangalia Catarina kuna kitu kinaniambia nahitaji kuendelea kuwa karibu zaid.

Sikuona haja ya kuendelea na maswali mengi zaidi kwani ata yeye alishanionya juu ya kuuliza maswali, ata hivyo kuuliza uliza maswali mengi haikua desturi yangu ila kuna muda nilitakiwa kufanya hivyo kutokana na ugeni wa mazingira hayo.

Baada ya muda alikuja bwana Javier akiwa na Manuela ambao wote kwa pamoja tuliungana kwenye meza moja iliyokua nje ya mazingira hayo na kuendelea na soga.

Wakati tunaendelea na stories, nilijiuliza ukiwa hapo mishahara tunalipwaje? Na matumizi tunafanyaje? Lakini baada ya kukumbuka onyo ya Catarina sikuona haja ya kuuliza hivyo nilitunza maswali yangu yote.

Niliamini Javier ndie mnyonge wangu ambae atajibu maswali yangu yote hapo baadae.

Nilijikuta nimekua na amani sana baada ya kuungana na kampani hiyo mpya kwenye maisha yangu. Javier alikua ana m-care sana Manuela ambaye mara zote nilipomuangalia usoni sura yake ilionekana wazi kama imebeba mengi mno.

Manuela alikua dhaifu mno kutokana na hali yake ya uteja, hauweza kufanya kazi yoyote ile iliyotumia nguvu hivyo Javier alipenda kuwa nae karibu na wanashirikiana mambo mengi.

Kwa haraka niligundua Catarina alikua na control kubwa kwenye maisha ya Manuela kwani yeye ndio aliamua ni muda gani wa Manuela wa sniff (kunusa cocaine) na ni kiasi gani ampe.

Kitendo cha Manuela kuwepo maabara pale ndio kilimpa favor ya kutumia high purity and expensive cocaine. Lakini kama angetumia aina nyingine ambazo zinakua contaminated kwa kiasi kikubwa asinge kua pale mpaka muda huo kwani alitumia kwa kiasi kikubwa sana.


Tukiwa pale tunaendelea na mazungumzo, niligundua kitu tofauti kutoka kwa Manuela kwani alikua kimya sana.

Alianza kutapika mfululizo huku akiwa anatokwa jasho jingi mno kiasi kwamba t-shirt yake yote ililowa. Aliporudi tulipokua tumeketi alionekana kutetemeka especially Upande wa mikono yote ilikua inatetemeka.

Catarina alinyanyuka na kuelekea Upande wa pili wa maabara hiyo na kuingia kwenye kamsitu kadogo jirani na maabara ile.

Javier alisema kinachomtokea Manuela ni arosto hivyo Catarina alikua anaenda kwenye ghetto lao kwa ajili ya kuchukulia unga ili arudi kwenye equilibrium. Catarina ndio alikua anajua dozi ya rafiki ake huyo na alifanya hivyo kwani angempa uhuru wa kutumia anavyotaka ingekua hatari.
Ingekua hatari sana kwakua upatikanaji wa dawa hizo kwa eneo hilo ulikua mrahisi sana hivyo ingeweza kumpelekea overdose na mpaka kufa.

Mabinti hawa wawili walikua wanaishi nyumba moja ambayo ilikua karibu kabisa na maabara hiyo pembezoni mwa mto. Nyumba ile ilijengwa kwa mbao lakini hii ya kwao ilikua tofauti na zile za kule kwetu tunapokaa mimi na bwana Javier.

Hii ilikua na viwango vya juu at least ukilinganisha na zote kwenye eneo hilo. Sababu kubwa ya umalidadi wa jengo hilo lililokua linakaliwa na Catarina na mwenzie emanuela, lilikua pia linatumiwa kama stores ya products zote zinazotokea maabara kwa ajili ya kusafirishwa.

Baada ya muda Catarina alirudi akiwa ameshika kitu mkononi na kumpatia Manuela, Manuela alipokea kwa pupa sana na kisha akatokomea upande mwingine kutoka pale tulipokua tumekaa.
Upande alioelekea ni ule upande uliokua na jengo la pili linalotumiwa na baadhi ya watu ambao huletwa apo kwa ajili ya packaging.

Watu wa packing wanakua wapo special na hufika apo baada ya kua maabara imekamilisha tayari mzigo. Na wao huandaa mzigo huo kwa ajili ya kusafirishwa, mara nyingi mzigo huo hupimwa kabla ya packaging na muhusika mkuu apa anakuaga Miguel pamoja na Daniel wao ndio huratibu mchakato huu.

Sababu ya kupimwa mzigo kabla ya packing ni kutafuta uhalisia wa kiwango kilichozalishwa kutoka maabara na mzigo uliosafirishwa kuwafikia watu wa marketing.

Kwa wastani ni kuwa kg 400 za majani ya koka (coca leaves) zinatumika kuzalisha kilo moja (1) ya coca paste na wakati huo huo inaweza kuzalisha kg 0.5 cocaine hydrochloride.
Mara nyingi wanaotumika kupack mzigo baada ya kua umepimwa wanakua ni wadada special ambao wapo kwa ajili ya kazi hiyo. Wadada hao hutokea jiji moja linaitwa Lima na wengine hutokea Arequipa.

Kwa stories za javier ni kwamba hao wadada wanakuaga ni warembo sana kwakua nipo hapo nitawaona siku mzigo ukiwa tayari.

Hivyo basi mara nyingi kama watu hao wa packing hawapo ndipo Manuela hupenda kulitumia eneo hilo tulivu kwa ajili ya shughuli zake za sniffing.

Bwana Javier ni moja ya watu waliofurahia uwezo wangu kwani ilionekana ninaenda kubeba majukumu mengi na kumpunguzia sehemu kubwa ya majukumu yake.

0623329512 Whatsapp

NB: Wanaoisomea kwa whatapp wapo mbele zaidi
(2000 wanalipia kwa simulizi yote)
Safiii
 
Nilishaahid kumaliza simulizi hivyo lazima itaisha tu pamoja na kwamba watu wanaongea sana. Binafsi napenda wanaokosoa kwa kujenga lakini pia wapo wanaokosoa kwa kutaka kujua zaidi,
sio tunaongea sana.punguza mashauz.unaandika kimaringo sana.
 
TUNAENDELEA WAKUU

Kwa mujibu wa fatemeh ni kwamba taarifa iliyomuhusu Rehman ilimchanganya sehemu moja tu, Kwanza Rehman alionekana ni askari wa kikosi cha wanamaji nchini Iran yaani NEDAJA kama nilivyotangulia kusema hapo awali.

NEDAJA ni jina la Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran au wengine huita ISLAMIC REPUBLIC OF IRAN NAVY.

Jambo jingine lililomchanganya fatemeh ni kwamba Rehman huyohuyo kwa kipindi hicho hicho alionekana kutumiakia kifungo kwenye gereza moja maarufu na kubwa nchini humo.

Tehran central prison au fashafuyeh ndilo gereza alilosemekana kuwepo bwana Rehman wakati huo huo kuna taarifa zilikua zinadai jamaa alikua ni mwanamaji wa Iran.
Taarifa hizi alizipata fatemeh baada ya uchunguzi wake wa masaa machache kabla sijakutana na Rehman, je alijuaje kama kuna mtu naenda kukutana nae anaitwa Rehman kwa kweli sikujua mpaka muda huo.

Na ata ujio wake fatemeh kuja pale kwa shahzad ni baada ya kukadilia au kujua muda ambao Rehman ata kuja pale kuonana na sisi. Ila kilichonifurahisha ni kimoja tu baada ya kudai Rehman hakua mtu m'baya kabisa labda akiendelea na uchunguzi kama atagundua madudu mengine yanayomuhusu Rehman.

Kitengo na taaluma ya fatemeh ni vitu vilivyomfanya aweze ku access taarifa nyingi zilizohusu nchi na wananchi kwa ujumla. Huku akizipata taarifa za aina zote yaani zile taarifa za siri na zisizo na siri na wakati mwingine za halali na zisizo halali.


Fatemeh alisema niendelee kumpa muda atakuja na file lote la bwana Rehman kuhusu alipoanzia yaani kuzaliwa mpaka kufika pale alipo.

Alidai ni lazima afanye hivyo kwani kama safari ya kuelekea bongo na yeye atahusika hawezi kufuatana na mtu asiye mjua ukizingatia yeye ni mtu nyeti sana kwa idara yake.

Mpaka hapo nilishaanza kuona dalili zote za kurejea bongo nikiwa na mrembo fatemeh kwani ni kama alikua akifanya maandalizi hayo japo hakuniweka wazi moja kwa moja.

Sikujua unyeti wa fatemeh upo wapi kwenye idara yake lakini nilichokiona ni kama fatemeh alikua mtu mmoja untouchable sana kwenye idara hiyo. Na hilo niligundua baada ya kujua kama kwenye jengo lile 90% walikua ni watumishi wa idara hiyo na ni kama walikua wana keep distance na fatemeh kiasi kwamba hawakuweza kumzoea kabisa.

Tulipofika home akili yangu ilikua inawaza mambo mawili tu yaani habari za fatemeh Kuhusu kile alichoenda kuongea na director wake na aligundua nini kwenye kifo cha Gatkuoth.

Bila kusahau nilihitaji pia kumsisitiza afuatilie taarifa za Rehman ili tuwe na uhakika kuhusu mtu tunae enda kushirikiana nae huko rapta.

Tulipokaa tu baada ya kufika Ndani swali langu la kwanza lilikua ni kutaka kujua kilichojili baada ya kuonana na director.

Mara nyingi fatemeh hakupendelea kuzungumza mengi yaliyohusu idara yake nadhani ilikua ni desturi ya watumishi wengi wa hizi idara za inteligensia.

Hivyo namna ambayo fatemeh aliitumia kujibu maswali yangu haikua namna ya moja kwa moja, yaani fatemeh alitumia njia za mkato mno kujibu maswali yangu kiasi kwamba binafsi nilitakiwa kujiongeza ili kupata majibu ya maswali hayo.

Nilipo muuliza kuhusu kile alichokiongea na director Kuna mfano mmoja fatemeh aliutumia ambao wenyewe haukuhitaji akili kubwa ili kuelewa alikua akimaanisha nini,

Fatemeh alisema nchi kwa kawaida inafananishwa na nyumba yenye familia kubwa Ndani yake, kwenye nyumba hiyo lazima kutakua na mkuu wa mji au baba kwa jina lingine.

Sasa basi baba ndio kwa kawaida anahusika na mambo yote ya msingi kwenye jumba huku jukumu la ulinzi likiwa ndio jukumu kubwa na la msingi kwa familia yake.

Eeh ndio hivyo mzee, ata mwanamke anapoolewa kikubwa cha kwanza anachojihakikishia kwa mwanaume wake ni ulinzi na usalama wake.

Hivyo basi kama baba wa familia jukumu kubwa na la msingi ni kwamba unatakiwa kuhakikisha familia inakua secured by any means.

Sasa baba wa familia analinda vipi mji wake dhidi ya kila aina ya adui anayetazamiwa kuleta hofu kwenye familia yake.

Apa bwana kwenye ulinzi huo ni kwamba kuna aina kuu mbili za ulinzi dhidi ya mji au familia kulingana na maelezo ya fatemeh,

Aina ya kwanza kabisa Kuna ulinzi usiooonekana kwa macho ya kawaida yani kwa jina jingine huitwa INVISIBLE SECURITY

Aina ya pili ni ulinzi unaojulikana kama VISIBLE SECURITY huu wenyewe ni ulinzi wa kawaida kabisa unaonekana kwa kila anaesogelea familia au mji husika

Tusijasahau sana apa ni wakati fatemeh anajaribu kunielezea ulinzi wa nchi lakini alitumia mfano wa nyumba au mji huku akisema baba wa familia ndio anajukumu hilo la kuhakikisha familia inakua secured muda wote.

Sasa binafsi ndio nilitafsiri kua hiyo familia ni kama nchi na baba ndio kiongozi mkuu ambae anahusika na kuhakikisha familia inakua secured muda wote.

Sasa tuanze na visible security, huu ni ulinzi wa kawaida kabisa mfano nyumbani kwenu au kwako kama baba unaweza kuweka mbwa, mgambo ukampa na kilungu au ata CCTV camera pia.

Kikubwa apa kwenye visible security ni kwamba yeyote atakae fika nyumbani apo atajua au ataona ulinzi huo na ni rahisi kwa muhalifu kupambana na visible security kuliko invisible security.

Kwa maana hiyo visible security haijawahi kuwa bora kuliko invisible security mahala popote pale, tukija kwenye mfano wetu wa nchi ambapo mimi ndio niliojiongeza.

Kwenye nchi hakuna tofauti na familia ukizungumzia nchi basi visible security ni majeshi yote ya ulinzi na usalama. Kama kutakua na radars na vingine kama hivyo basi vyote kwa pamoja vinaunda kile kinachoitwa visible security.

Aya sasa tuangalie invisible security,

Invisible security ni ulinzi ambao hatuwezi kuuona kwa macho nikimaanisha ata adui anapo panga kuvamia mji au familia hawezi kujua au kuona ni namna gani mji huo unalindwa. Na hili jambo ndilo linafanya invisible security kuwa bora zaidi kuliko visible security wakati wote.

Ubora unatokea wapi? Ni kwamba adui anayetazamiwa kuleta hofu au madhara hushindwa kuujua ubora wa ulinzi wa ngome husika. Na sio ubora tu, pia hushindwa kumjua au kujua ni namna gani ata attack mlinzi ambae hamjui wala hajawahi kumuona.

Kwenye ngazi za familia au mji ulinzi ambao ni invisible security mara nyingi huwa ni siri kati ya baba na mama au wakuu wa familia wenyewe kwa wenyewe.

Wanafamilia wengine kawaida hawahusishwi kabisa kujua nini kinaendelea kwenye invisible security au ata hao wanafamilia wanaweza wasijue kama wanalinda kwa ulinzi huo.
Huwezi kuwaambia wana familia Kuhusu invisible security Kwan kuna muda maadui hutumia weakness za baadhi ya wanafamilia ili tu kugundua au kupata info zinazohusu hiyo invisible security.

Tusijasahau sana haya ni maelezo ya fatemeh,

Anaendelea, invisible security ni very controversial na pia inatumia intelligence ya hali ya juu sana kwakua moja ya malengo ya invisible security ni kumtambua adui na kumthibiti kabla hajaleta madhara kwa familia au mji.

Hivyo basi kuendesha invisible security ni gharama kubwa na akili kubwa pamoja na usiri vinahitajika, tukirudi kwenye uhalisia hii ndio sababu inafanya watu kama ***ISS wawadharau sana wana jeshi kwani wanaamini wao ndio wa kwanza kudumisha amani.


Wanaamini hivyo kwakua tu watu wa visible security hufanya kazi mara nyingi penye machafuko au ambapo amani imepotea tayari.

Hivyo ukiona sehemu kuna machafuko maana yake invisible walishashindwa kazi ndio sababu machafuko yametokea na hapo ndipo tutawaona visible kazini.

Hivyo basi invisible security ipo kazini muda wote kuhakikisha familia inakua secured muda wote lakini visible huingia kazini rasmi mara tu amani inapokua imepotea.

Kwanini invisible security ni inahusisha usiri wa hali juu, hii ni kwasababu sio tu miiko yake bali ata technique zinazohusishwa mara nyingi hazihitaji kumshirikisha kila mtu.


Mfano tu, baba anaamua kuulinda mji dhidi ya wezi na vigagula kwa kutumia njia za kiutamaduni yaani kwenda kwa waganga wa kienyeji.

Unafikiri yale masharti ata mwambia kila mtu kwenye familia au kama kapewa kadawa ka kuweka mlango atawaambia kama kaweka kadawa. Ukiona umeambiwa basi jua na wewe ni sehemu ya mpango au ni sehemu ya wakuu wa familia.

Huu nao ni mfano tu wa invisible security kwenye jamii zetu au kwenye majumba yetu.

Haya maelezo yaliyohusu invisible security na visible security aliyatoa fatemeh baada ya kumuuliza kuhusu nini kiliendelea baada ya kukutana na director. Ila ndani yake kuna mbwembwe nyingi nimeziongeza mimi mwenyewe lakini kikubwa upate concept kuhusu nini maana ya visible security na invisible security.

Turudi kwenye invisible security na sifa zake, agents wa invisible security kuna uwezekano mkubwa sana wasijuane japo wao pia hufanya shughuli moja au shughuli yao ikawa na lengo moja.

Kwa sababu zile zile kama usiri au kucheza na psychology za adui au hata kuzuia utengenezwaji wa mamluki ndio maana kuna muda hawa agent hawajuani.

Kwa mfano baba anaweza kumuweka mtu mtaani awe anaangalia muenendo wa nyumbani kwake hususani watoto wake au atawizi wa mali zake. Lakini asimuweke mtu mmoja pekee yaani akaweka ata watu watatu na wote wasijuane lakini misheni yao ni moja.

Na bado akaendelea kupokea taarifa za usalama wa mji wake kwa watu wote watatu kwa muda tofauti tofauti.
Kwanini hufanya hivi ni kwasababu agent akiwa mmoja kuna uwezekano mkubwa akatumiwa na maadui au ata yeye mwenyewe akageuka adui hivyo basi kwa kuzuia hali kama hiyo kuna ulazima wa uwepo wa multiple agents into a single mission.

Kwanini hawa ma agents hua ni siri na kuna madhara gani endapo watajulikana,

Nchi ya Iran mara kadhaa imepitia scenario zilizohusu mauaji ya watu wake muhimu kwenye idara yake baada tu ya kuwa watu hao wamejulikana.

Na ubora wa fatemeh ulionekana kuanzia miaka ya 2012 kushuka chini ambapo mara kadhaa alifanikiwa kugundua uwepo wa virus kwenye mifumo ya nyuklia na mifumo mingine ya ulinzi ya nchi.


Kwanini fatemeh amekua mtu wa kufichwa sana na muda wote yupo under intensive care na MOIS walitumia kigezo gani kuanza kumtumia fatemeh.

ukweli ni kwamba nchi ya Iran imekua ikipoteza watu muhimu kwenye mashambulizi ya hapa na pale yanayosababishwa wa maadui zake ambao ni waisrael na wamarekani.

Nitaweka list ya ma agents waliouawa na wengine kupotea kwa sababu tu walitambulika kama ni wahudumu wa MOIS.

Mfano 2011 July electrical engineer aliyekua akifanya kazi national security research facility aliuawa kwa kupigwa risasi na watu wawili wasiojulikana lakini wahahofiwa kuwa ni watu wa kutoka shirika la Mossad.


Baadae nakuja na list ya ma profesa na ma engineer walio uawa pamoja na udukuzi uliofanywa na Mossad juu ya mitambo ya nuclear ya Iran.

Hii yote ni series ya masimulizi aliyoyaanzisha fatemeh kabla hajanipa kile alichokipata kutoka kwa director.

TUKUMBUKE DIRECTOR NDIE SPY MASTER WA TAASISI YEYOTE YA INTELLIGENCIA.

0623329512 kwa wanaotaka muendelezo Whatsapp tunachangia buku 3 tu,

Mambo mazuri yanakuja mbele, leo tulikua mkoa wa kaskazini pemba huko micheweni kwenye bandari bubu moja hivi.
 
Ghorofa ile ilikua na zaidi ya floors 24, kwani mimi na fatemeh tulishuka au tuliishia flow hiyo ya 24 lakini bado kulikua na floor nyingine kwenda juu zaidi. Na Ndani ya floor hiyo ndipo kulipokua na apartment aliyokua akiishi fatemeh.

Tulipofika ndani ya apartment hiyo fatemeh aliniambia hapo ni kwake hivyo naweza kumpumzika kwa amani kabisa kwani nipo sehemu salama.

Mandhari ya apartment hiyo ilinivutia sana kiukweli kwani palikua pametulia mno hakukua na kelele wala movements za watu za hapa na pale.

Ukiwa ndani ya apartment hiyo unaweza kuuangalia mji wote na shughuli zote zilizokua zikiendelea mjini hapo. Fatemeh alinionyesha chumba ambacho nitalala siku zote nikiwa hapo kabla ya kurudi bongo na alisema ameagiza aletewa kila kitu cha msingi kiichotakiwa kuwepo ndani hivyo ikitokea yeye hayupo nitaweza kupata kila kitu ndani na sitakuwa na haja ya kutoka ndani umo.

MIMI: Why do you live on your own without siblings?
( Kwanini unaishi mwenyewe hauna ndugu?)

FATEMEH: you should be my brother, how do you think
( Tufanye uwe kaka yangu basi, unaonaje)

Kwa majibu yale niligundua hakua na ndugu kabisa ndio maana alikua pale akiishi peke yake.

MIMI: you can't be my sister
( Hahahahah huwezi kuwa dada yangu)


FATEMEH: why
( Kwanini)

MIMI: you already sucked my dick
( Unakuaje dada yangu wakati tayari umeshanyonya ****)

Jibu langu lilimfanya awe na ki aibu cha kike na kilimpelekea kupoteza utulivu kabisa.

FATEMEH: now.....!!!! who can we be if not brother and sister
( Sasa tunaweza kuwa nani kama sio kaka na dada)

MIMI: lovers
( Wapenzi)


Fatemeh hakujibu chochote zaidi aliniangalia tu na kusimama kuelekea kwenye chumba chake. Mpaka hapo niligundua fatemeh na ujanja wake hakuwahi kuwa na interaction na wanaume.

Wale wanaume alio interact nao ni wale waliohusisha mambo ya kazi pekee lakini mbali na hapo kuna uwezekano mkubwa hakua ata na rafiki wa kiume.

Hivyo apo nilitamani sana kujua story ya maisha yake huko nyuma, yaani alisoma vipi na alikulia wapi na kuzaliwa wapi.

Kutokujiamini kwake niligundua tulipokua ndani kwani hakua na utulivu kabisa ata kuniangalia usoni hakuweza kabisa. Jambo hilo ndio lililo nipelekea nazidi kujua weakness yake na mimi kumkazia sana usoni tunapokua kwenye maongezi hali iliyomfanya kukosa utulivu kabisa.
Baada ya kuona mwenzangu amenikimbia pale sitting room kutokana na maneno yangu ambayo yalimkosesha amani. Na mimi nilielekea kwenye room ambayo niliambiwa ndio nitaitumia siku zote nitakapo kuwa eneo hilo.

Cha kwanza kabisa ilikua ni kuoga, wakati nipo bafuni niliskia kama kengele ya mlangoni ina bisha hapo nilijua kuna mgeni amefika eneo hilo.

Wakati naendelea na kuoga na mlango wa chumba changu ulifunguliwa japo sikujua ni nani ameingia mi niliendelea na shughuli zangu chooni.

Nilipotoka kuoga nilikuta mfuko mkubwa wa plastic ukiwa kitandani, ndani ya mfuko ule kulikua na nguo mbali mbali zikiwemo na kanzu pia. Hapo niligundua aliyekua anapiga hodi ya kengele ndiye aliyekua amekuja na mzigo huo wa nguo.

Kwenye zile nguo zote zilizokuwepo eneo lile niliona ngoja nivae kanzu kwani kwenye maisha yangu sikuwahi kuvaa vazi hilo kabisa hivyo niliona wakati huo ni wakati sahihi kabisa kujaribu vazi hilo.

Baada ya kutupia kanzu yangu ambayo ilionekana ni ghali sana mjini pale, nilijisogeza mpaka sitting room ambapo nilimkuta fatemeh akibeba baadhi ya mizigo iliyoletwa hapo akiipeleka jikoni na stores.

FATEMEH: mashaallah!!!.... You look amazing today
( Mashaallah, umependeza sana)

Pia aliuliza kwanini nimechagua kuvaa kanzu wakati zilikuwepo nguo za kibrazamen mfano t-shirt na jinsi na kadet pia. Jibu langu liikua ni lilelile sikuwahi kuvaa kanzu hivyo basi nilitaka kujua ninaonekana vipi.


Nilianza kumsaidia fatemeh kubeba mizigo hiyo kupeleka store na jikoni, wakati tunaendelea na ubebaji niliuliza ni nani aliyekua akibisha hodi ya kengele.

Kwa majibu yake ni watu wa delivery na hao ndio watu pekee ambao hufika hapo kwani hakuna mtu mwingine yoyote ambaye anaweza kufika hapo ukizingatia hakuwahi kuwa na ndugu au kuwajua ndugu zake kabisa.

Hata hivyo fatemeh alionekana kufurahia uwepo wangu Ndani ya nyumba ile niligundua hilo baada ya kusikia kauli yake. Alisema kwa miaka kadhaa toka atoke kituo cha nursery imam Ali amekua akiishi peke yake ndani ya nyumba hiyo.

Lakini siku hiyo alikua ni mwenye faraja baada ya kuona tupo wawili tunabadilishana mawazo na kupiga stories mbalimbali japo kuna muda story zangu zinamkera.
Alidai nimeshindwa kumsoma yeye ni mtu wa aina gani kwani nimekuwa nikitanguliza tamaa ya ngono sana wakati yeye hakua na mawazo hayo.

Lakin pia alidai hakuwahi kuwa na mahusiano ya karibu na mwanaume wa aina yoyote mpaka kufikia umri huo. Hivyo basi kulingana na maisha aliyolelewa mpaka kufikia hapo mimi ndio mwanaume aliyewahi kuwa nae karibu mpaka kufikia hatua ya kushika maungo yangu.

Hivyo alitanguliza kusema sababu kubwa ya kunizoea mpaka kufikia hatua hiyo imesababishwa na namna tulivyoanza mazoea hayo tukiwa haullaga.

MIMI: ok....! that's why miss aparecida Said I'm very lucky man
( Ndio maana aparecida alisema nina bahati sana)


Since I very lucky man, i can get your virginity too

fatemeh alisema kwa tabia zangu hizi za kujifanya kidume mwenye uchu kumbe ni bora Javier angeniacha jamaa wanishughulikie.

Hapo niligundua anachukizwa na maneno yangu ya kufosi kula tunda kwani yeye hakuwa na mawazo hayo kabisa. Muda wote tukiwa ndani fatemeh alikua amefunika kichwa, sasa nilishangaa sana kwani hapo mwanzo tukiwa haullaga hakuwa vile kabisa.

MIMI: why you still covering yourself, you didn't do that when we were in haullaga.

( Mbona bado unajifunika wakati hukufanya hivyo tukiwa haullaga. Kama umeamua kujifunika jifunike tukiwa nje huku ndani niache nifurahie urembo wako)


Apa sasa fatemeh alijibu kwamba Kule haullaga alikua ni Manuela ila huku Tehran nipo na fatemeh binti wa ki-shia ambayo hapitwi na swala kabisa.

Hapa pia nilimuuliza kama yeye ni mtu wa swala ilikuaje akawa anatumia dawa za kulevya akiwa haullaga tena alikua teja kabisa.

Majibu ya fatemeh yalikua mepesi mno, alisema next time atanieleza ni nini kilikua kinafanyika pale ila ukweli ni kwamba kwenye maisha yake hakuna kilevi alichowahi kutumia mpaka anafikia umri huo.

Ni wazi fatemeh hakupenda kujibu maswali yaliyohusu taaluma yake ya ujasusi lakini pia taaluma yake ya udukuzi kwani maswali mengi aliyaacha na kusema ata nieleza kiundani hapo baadae kwani bado hakua ameniamini kiasi hicho licha ya kua na taarifa zangu za kutosha.
Muda huu tulishamaliza kuweka sawa mizigo yote kuanzia jikoni mpaka store hivyo tulikua wote tupo jikoni tukiendelea na mapishi. Mtoto wa kibongo sikua nyuma sana yaani yeye akishika nyanya mimi nashika kitunguu.

Yeye akishika mafuta mimi nashika mwiko au kijiko, yote hiyo niliifanya kuhakikisha naendelea kutengeneza ukaribu nae kwani Imani yangu ya kula tunda ilirudi upya kabisa.

Kwa asilimia fulani nilifanikiwa kwani tukiwa jikoni tulikua close sana yaani ukaribu uliongezeka lakini pia alikua huru ukilinganisha na masaa machache yaliyopita.

Lakini pia niligundua ata yeye kuna vitu alikua anavitamani sana ila alishindwa kuweka wazi labda kutokana na msimamo wa dini yake au labda maadili ya kazi yake.
Wakati huo nikiwa na fatemeh pia niligundua kuwa ni mtu aliyewahi kuishi maisha ya upweke ulipitiliza hapo kabla. Kwani kitendo cha kutokua na wazazi wala ndugu basi ni dhahiri aliishi maisha ya upweke sana kuanzia utoto wake mpaka anafikia utu uzima huo.

Ni wazi kampani yangu ilimfanya kujiona sasa ni mtu mwenye rafiki wa karibu lakini pia alijiona wa thamani kwa kuwa na mtu wa kubadilishana nae mawazo.

Licha ya hivyo katabia kangu ka kufosi kula tunda kalimfanya na yeye ajione mwanamke ambaye anavutia mbele ya wanaume. Kwani ilionekana wazi watu anaofanya nao kazi wasingeweza kumchombeza kwa namna yoyote ile.

MIMI: can I see your childhood memories like photos?
( Naweza kuona kumbukumbu zako za utotoni kama picha na vingine, niliongezea hapo kwamba anaonekana enzi za utoto wake alikua very cute girl)

FATEMEH: Even my self wish I could see them
( Hata Mimi pia natamani ningeziona)

Kwa majibu hayo nilijua kabisa ni wazi ata yeye hakuwahi kuona picha zake za utoto.

Lakini pia niliwaza inawezekana fatemeh akawa na story ngumu sana inayohusu maisha yake. Hapo niimuomba anipe at least nusu ya story ya maisha yake mpaka anafika umri huo.

Sura ya fatemeh iliongezeka upole na majonzi kwa wakati mmoja, alibeba msosi ambao ulikua tayari na mimi nilibeba msosi pia tukaelekea mezani sehemu ya dinning table.

Tukiwa dinning fatemeh aliuliza kuwa nataka kusikia story ya maisha yake kuanzia wapi. Kwani yeye mwenyewe haujui mwanzo wake zaidi anachokumbuka ni maisha yake kuanzia kituo cha nursery imam Ali.

Nyuma ya hapo hakuna anachokumbuka, yaani hajui alizaliwa wapi? Baba yake ni nani, mama yake ni nani wala hajui ndugu lakini pia hajui alifikaje kituoni hapo.

Mlezi wake wa kwanza aliyempokea kituoni hapo alikufa kwa kuwekewa sumu aina ya Botulinum inayotokana na bakteria wanaofahamika kama anaerobic.

Lakini kwa upande wake ana amini kuuwawa kwa mlezi huyo kulisababishwa na yeye mwenyewe yaani fatemeh ndio aliyepelekea kuuwawa kwa mlezi huyo.


Fatemeh aliligundua hilo baada ya uchunguzi wake binafsi alioufanya baada ya kuwa ametoka kwenye kituo hicho. Na ni kupitia uchunguzi huo ndio aligundua kutumika kwa sumu hiyo kwenye mauaji ya mlezi huyo.

Ni taasisi au idara ya MOIS ndio iliyomtoa fatemeh kwenye kituo hicho na kumpeleka kwenye kituo kingine baada ya kugundua uwezo wake mkubwa wa darasani.

Wakati tunaendelea na story zile ilionekana wazi kama fatemeh hakuwahi kuulizwa swali lolote kuhusu maisha yake hapo nyuma. Lakini pia niligundua kuna siri kubwa iliyopo nyuma ya maisha yake, na kuna uwezekano mkubwa kuwa siri hiyo inafichwa na either serikali ya Iran au ata yeye mwenyewe.

0623329512 ( Whatsapp) kama ukihitaji kusogea mbele zaidi kwa kutumia PDF ( BUKU TATU TU!)

bandari haijauzwa mama yupo kazini,

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
fatemeh alisema kwa tabia zangu hizi za kujifanya kidume mwenye uchu kumbe ni bora Javier angeniacha jamaa wanishughulikie.

Hahahaaa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom