joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mkuu kama ulikuwepo jana tu niliyasema hayoSIMBA NA YANGA NI TIMU ZA MONEY LAUNDERING
Nakupa mtaji wa elfu 40 nataka uniletee gari hiyo kama ya nifferbiasharazake hamzioni au?Sasa milioni 160 nihelanyingi?🤣🤣🤣
maskini wamwili naakili nyie
hapabongo ukijituma unaweza kununua gari hata labilioni nne nahela inabaki nyingi tuu
Na mm nimeshangaa,wabongo sisi kuendelea itatuchukua muda sana tunajua utajiri wa mtu kuliko anavyojijua yeye wivu umetujaa sana asee
mtakatisha fedha
katoa kafara
frimasoni
anauza k
hizo ndio mambo tunaamini tukiona mtu katoboa.... cha kujiuliza umeshindwa nn kufika alipofika kama mambo unayajua
Unaamini K zina thamani hivyo?Dada zangu wakimuona basi wana stress, nao wakijaribu kuanza na mtaji wa biashara wa 40elfu hawatoboi....... masocialites wengi ni wauzaji ila wao ni expensive prostitute. Nicole mwenyewe anadai kilimo kimpa nyumba na magari......... wanazani watu hawajui. Ukitaka kujua story za hawa maslay Queens wa huko social networks waliojificha kwenye biashara, uigizaji na hata mziki. Watafute madereva wa taksi wa Airports hizi hasa za Arusha na Mbeya au wafanyakazi wa hotels kubwa hizo unapewa mafaili yote.
Kuna watu huko migodini Mbeya na Arusha, kuna uwezekano washamaliza hawa maslay Queens wote wanaotrend instagram.
K zinakuwaga na thamani pindi binti awapo mbichi ila baaada ya muda umri kuenda binti hupoteza thamani na K hupoteza thamani na ndio kipindi matajiri huwagonga sana. Ila kuna matajiri hugharamia K mpaka 5mil,ukienda huko migodini mil 5 kwa wengine ni pocket money. Ila hizi hela zinazotoka na kuuza K wengi wao hawazifanyii chochote cha maana zaidi ya kuvaa nguo za brand kubwa,kumiliki simu kali,kupanga nyumba kali na kumiliki ndinga kali ila baada ya muda umri kuenda uzuri wote huanza kupotea na thamani ya K hushuka,mf Wema,Anti nk na hapo ndipo unakuja kujua maisha yao halisi.Unaamini K zina thamani hivyo?
Kwann hatuna matajiri kumi kama niffer waliotokana na uuzaji wa K
Umejuaje kama ako na mashine mnato?Sema huyo manzi atakuwa na mashine mnato ile laana.... ni mwanadada aliyeumbika haswa. Anayekojoa pale ndo anaweza kujigamba anakula matunda ya uhuru wa nchi hii. Sisi wengine bado tuko na kina Mzee Dosa Aziz tunapigania uhuru kupitia TANU. Kuhusu utajiri wake iko wazi ni Money Laundering... aombe sana asije akakosea step kwasababu atapotezwa mazima.
Hapana tuache kudanga tupambane mwaka mmoja tuwe na range😂😂Kwamba sote tudange ili tumiliki range au sijaelewa somo
Tafuta hela mkuuK zinakuwaga na thamani pindi binti awapo mbichi ila baaada ya muda umri kuenda binti hupoteza thamani na K hupoteza thamani na ndio kipindi matajiri huwagonga sana. Ila kuna matajiri hugharamia K mpaka 5mil,ukienda huko migodini mil 5 kwa wengine ni pocket money. Ila hizi hela zinazotoka na kuuza K wengi wao hawazifanyii chochote cha maana zaidi ya kuvaa nguo za brand kubwa,kumiliki simu kali,kupanga nyumba kali na kumiliki ndinga kali ila baada ya muda umri kuenda uzuri wote huanza kupotea na thamani ya K hushuka,mf Wema,Anti nk na hapo ndipo unakuja kujua maisha yao halisi.
Halafu husidanganyike na maisha ya instagram, kwani mara nyingi wanakuonyeshea vile wanavyo penda uvione,ila vile wasivyo penda ambavyo vinareflect maisha yao halisi hawawezi kukuonyeshea labda mpaka uwe na watu wa karibu wanao wafahamu.
Tafuta hela mkuuUsijilinganishe na mtoto wa kike vinginevyo DONATI yako inaenda kusambaratishwa muda si mrefu
Vp kwani nilishawahi kula kwenu? Au ndio chawa wa huyo binti?Tafuta hela mkuu
Tafuta helaVp kwani nilishawahi kula kwenu?
hizogari naweza kuziagiza hata mia 🤣 bwana mdogoNakupa mtaji wa elfu 40 nataka uniletee gari hiyo kama ya niffer
Huo sio utajiri wa kutisha karne hiiNi binti mdogo wa miaka 25 tu. Lakini kwa sasa anamiliki maduka mengi tu hapa mjini
Pia anamiliki Niffer Mall
Pia anamiliki ndinga kali za Gharama kama RangeRover Sport, RangeRover Evoque, na Range Rover vogue kwa sasa ya milioni 160 wakati mimi ndo kwanza nina Nissan duals[emoji23]
Huyu ni mfano wa kuigwa kwa wanawake wanaoishi kwa kupambana sio wanawake wengine wanaotegemea kudanga
Pia soma:Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150