HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Hapo nae kakaa akisubiria heshima....nani wakumpa.... Story tu ana complicate kisa analifahamu eneo...halafu mtoa story hata hakusema ni ya mwaka gani...ila ndugu anataka uhalisia anao ufahamu yeye!Kama wastaafu wanakuwa wazee wa hovyo hivi kukomalia mambo madogo namna hii, sijui wajukuu itakua namna gani
Mkuu soma story achana na mambo ya chumbe, master hatakuwa na muda wa kukujibu akianza kuachia epsode. Kumbuka yule ni mkurya, hanaga time za kupoteza kuhangaika na mtu.Naona unaanza ligi....
Wacha nimsubiri Master, nipate jibu alikwenda Chumbe ipi!
Bwashee mtu kuwa mzee haimaanishi kuwa kakua, anaweza zeeka na mimvi kama E L bado akawa na akiri ya kitoto kukomalia jambo kitoto kama huyo mzee mstaafu anavyoongozwa na utoto toto.Kama wastaafu wanakuwa wazee wa hovyo hivi kukomalia mambo madogo namna hii, sijui wajukuu itakua namna gani
Naona unambeza Master... Anyway miye nipo namsubiri! Jumatatu sio mbali...Mkuu soma story achana na mambo ya chumbe, master hatakuwa na muda wa kukujibu akianza kuachia epsode. Kumbuka yule ni mkurya, hanaga time za kupoteza kuhangaika na mtu.
Wewe unataka kuhakiki yote hayo ya nini. Au wataka kwenda pia?Zanzibar kuna Chumbe mbili.... moja ni kisiwa kabla ya kufika Unguja na Chumbe ya pili ipo karibu na Mbweni katika barabara ya kwenda Entebbe.
Master naona kashindwa kabisa kuelezea ni Chumbe ipi alikwenda! Kama ni Chumbe ya barabara ya kwenda Entebbe, hiyo haina msitu na bahari ipo mbali kidogo aidha eneo lote toka Chumbe hadi ufukweni kumejengwa, hivyo basi hakuna msitu wa aina ya simulizi ilivyosema.
Kwa upande wa kisiwa cha Chumbe, ni kisiwa kisichokaliwa na wenyeji, zamani wavuvi walipita hapo baada ya shughuli zao za uvuvi na ndio sababu kuna msikiti kisiwani hapo. Zaidi ya msikiti kuna mnara wa kuongezea meli na vibanda vya hoteli ya kitalii. Ni kisiwa ambacho kipo chini ya uangalizi na kinasimamiwa na kampuni binafsi!
Sijui Master alikwenda Chumbe ipi! Kama kuna mtu anajua ni vema akatufahamisha.
Nakubali kabisaBwashee mtu kuwa mzee haimaanishi kuwa kakua, anaweza zeeka na mimvi kama E L bado akawa na akiri ya kitoto kukomalia jambo kitoto kama huyo mzee mstaafu anavyoongozwa na utoto toto.
Sema hata wapumbaf pia huwa wanazeeka ni haki yao kikatibaHapo nae kakaa akisubiria heshima....nani wakumpa.... Story tu ana complicate kisa analifahamu eneo...halafu mtoa story hata hakusema ni ya mwaka gani...ila ndugu anataka uhalisia anao ufahamu yeye!
😂😂😂😂 hii nchi uhuru umezidi mkuu au sio?Mtu X anakwambia story ni ya kweli afu anatokea bwege Y anakwambia sio ya kweli utadhani yeye ni X.. Hii nchi hii [emoji119][emoji23]
Umeuliza ni mwaka gani yalimkuta hayo kabla ya yote.Zanzibar kuna Chumbe mbili.... moja ni kisiwa kabla ya kufika Unguja na Chumbe ya pili ipo karibu na Mbweni katika barabara ya kwenda Entebbe.
Master naona kashindwa kabisa kuelezea ni Chumbe ipi alikwenda! Kama ni Chumbe ya barabara ya kwenda Entebbe, hiyo haina msitu na bahari ipo mbali kidogo aidha eneo lote toka Chumbe hadi ufukweni kumejengwa, hivyo basi hakuna msitu wa aina ya simulizi ilivyosema.
Kwa upande wa kisiwa cha Chumbe, ni kisiwa kisichokaliwa na wenyeji, zamani wavuvi walipita hapo baada ya shughuli zao za uvuvi na ndio sababu kuna msikiti kisiwani hapo. Zaidi ya msikiti kuna mnara wa kuongezea meli na vibanda vya hoteli ya kitalii. Ni kisiwa ambacho kipo chini ya uangalizi na kinasimamiwa na kampuni binafsi!
Sijui Master alikwenda Chumbe ipi! Kama kuna mtu anajua ni vema akatufahamisha.
Si anataka na yeye aende kujiokotea jini. Watu hua wanaanzia
Aliishia 16IPO sehemu ya ngapi nikasome maana mi comment mingi sana
Sasa sijui IPO page namba ngapi? MkuuAliishia 16