Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kama wastaafu wanakuwa wazee wa hovyo hivi kukomalia mambo madogo namna hii, sijui wajukuu itakua namna gani
Hapo nae kakaa akisubiria heshima....nani wakumpa.... Story tu ana complicate kisa analifahamu eneo...halafu mtoa story hata hakusema ni ya mwaka gani...ila ndugu anataka uhalisia anao ufahamu yeye!
 
Zanzibar kuna Chumbe mbili.... moja ni kisiwa kabla ya kufika Unguja na Chumbe ya pili ipo karibu na Mbweni katika barabara ya kwenda Entebbe.

Master naona kashindwa kabisa kuelezea ni Chumbe ipi alikwenda! Kama ni Chumbe ya barabara ya kwenda Entebbe, hiyo haina msitu na bahari ipo mbali kidogo aidha eneo lote toka Chumbe hadi ufukweni kumejengwa, hivyo basi hakuna msitu wa aina ya simulizi ilivyosema.

Kwa upande wa kisiwa cha Chumbe, ni kisiwa kisichokaliwa na wenyeji, zamani wavuvi walipita hapo baada ya shughuli zao za uvuvi na ndio sababu kuna msikiti kisiwani hapo. Zaidi ya msikiti kuna mnara wa kuongezea meli na vibanda vya hoteli ya kitalii. Ni kisiwa ambacho kipo chini ya uangalizi na kinasimamiwa na kampuni binafsi!

Sijui Master alikwenda Chumbe ipi! Kama kuna mtu anajua ni vema akatufahamisha.
Wewe unataka kuhakiki yote hayo ya nini. Au wataka kwenda pia?

Tambua usemi wa Wahenga

HADITHI NJOO, UONGO NJOO, UTAMU KOLEA.

ukiondoa uongo kwenye hadithi umeondoa utamu.

Picha zote za action za kizungu utaona jamaa kamiminiwa risasi na kufa na unahuzunika jamaa kafa, hamadi movie inayofuata unamwona anaigiza kwa jina hilo hilo au lingine. Mbona halalamiki kuwa alikufaa? Sasa leo Chumbe ndio itusumbue hapa. Acha bhana utamu ukolee
 
Zanzibar kuna Chumbe mbili.... moja ni kisiwa kabla ya kufika Unguja na Chumbe ya pili ipo karibu na Mbweni katika barabara ya kwenda Entebbe.

Master naona kashindwa kabisa kuelezea ni Chumbe ipi alikwenda! Kama ni Chumbe ya barabara ya kwenda Entebbe, hiyo haina msitu na bahari ipo mbali kidogo aidha eneo lote toka Chumbe hadi ufukweni kumejengwa, hivyo basi hakuna msitu wa aina ya simulizi ilivyosema.

Kwa upande wa kisiwa cha Chumbe, ni kisiwa kisichokaliwa na wenyeji, zamani wavuvi walipita hapo baada ya shughuli zao za uvuvi na ndio sababu kuna msikiti kisiwani hapo. Zaidi ya msikiti kuna mnara wa kuongezea meli na vibanda vya hoteli ya kitalii. Ni kisiwa ambacho kipo chini ya uangalizi na kinasimamiwa na kampuni binafsi!

Sijui Master alikwenda Chumbe ipi! Kama kuna mtu anajua ni vema akatufahamisha.
Umeuliza ni mwaka gani yalimkuta hayo kabla ya yote.
 
Back
Top Bottom