Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

My feet we nenda kale matunda yako kimasiara huko acha kuwatisha watu humu ,huna mamla wala uwezo was kufanya hvyo [emoji41]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Bila shaka wewe ndie Kilieri mwenyewe maana unaandika Kilevi Levi sana,unashobokea story za watu kindezi afu unajiita Dr? Mkuu ficha ujinga wako na ujuaji wako mwenzako Popoma hana Amani wiki ya pili hii
 
Kama ulifanya kazi pale dege karibu na cheka uko vzr
Muda siiyo mrefu nitashare picha ya majengo hayo kwa wasiofahamu ,kipindi Cha jiwe Kama yalitelekezwa HV



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Bila shaka wewe ndie Kilieri mwenyewe maana unaandika Kilevi Levi sana,unashobokea story za watu kindezi afu unajiita Dr? Mkuu ficha ujinga wako na ujuaji wako mwenzako Popoma hana Amani wiki ya pili hii
Naona Popoma mmemtendea ubaya tayari ,,😂😂 nyie watu sio waungwana kabisa😂
 
Wewe jamaaaa,hivi hii story Ni ya kweli au kufunga?
Asante kwa burudani
 
Pole sana bro, shusha vitu
 
Kuna watu wana kipaji cha kusave kutimiza malengo.
Lakini we UMUGHAKA unawezaje kuishi bia demu? Zaidi ya yule Monica mchawi kule kijijini hujawahi simulia kuhusu mwanamke mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…