Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

⚑πŸ₯‚
 
OUT OF TOPIC:
Tumpigieni KURA UMUGHAKA aweze Kushinda kwenye Mashindano ya Jamii Forum Entertainment. Hii ndo njia ya kumlipa kwa jinsi anavotuburudisha. Mpaka sshv tumepiga kura watu 14 tu, please Lets Support him.

 
Nzuri
 
Kuna watu wana kipaji cha kusave kutimiza malengo.
Lakini we UMUGHAKA unawezaje kuishi bia demu? Zaidi ya yule Monica mchawi kule

Kuna watu wana kipaji cha kusave kutimiza malengo.
Lakini we UMUGHAKA unawezaje kuishi bia demu? Zaidi ya yule Monica mchawi kule kijijini hujawahi simulia kuhusu mwanamke mwingine
Madem hawakuwahi kuwa sehemu ya maisha yangu katika utafutaji japo nimekuwa nao kadhaa ila huwa sitaki sana kusimulia mambo ya mademu,nikimaliza hii stori nadhani sasa nitaanza kusimulia ya demu wangu Shamima wa Tanga alivyo fanya nikafeli shule,humo kuna kila kitu na kama wewe ni mpenzi wa migegeduo basi utafurahi na roho yako,endelea kusubiri!
 
Nshakupigia kura
 
Bro story haiendelei usiku huu?
 
Hapo kulipia chumba hela yote mie nisingeweza kulipa ,chumba kimoja godoro neti ya hema ndoo ya maji maisha yanasonga. Hela nyingi nawekeza nifanye biashara
 
Leta hiyo ya kukunjana πŸ˜‚..hii ya Sasa weka kapuni
 
Jinsi ulivyo tapeliwa hiyo 9M umenikumbusha nilivyompa mtu 500k aipeleke mahali nikampa na elf 15 ya nauli japo nauli ilikua hata elfu 3 inatosha kufika njian akaichezea kamari akaliwa yote alafu akanipigia simu kwa simu ya kuazima akanimbia "Bro naomba kama una elfu mbili nitumie nikifika huko tutaongea"

Nikamuulize hela imefika? Akanijibu usiwe na haraka bro we nitumie elfu mbili nije nikuelezee vizuri kwa simu hutanielewa.

Nilimpa jibu moja tu "usirudi nitakuua"
 
Umesahau jana kuna mtu anaitwa dr namugari alisema umughaka ni mtu wa hovyo kuliko wote labda apigiwe kura ya mtu mzembe kabisa maana katika story zake zote yeye ndio anakuwa mhanga mara zote. Mtanzania Mnyonge22
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…