Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani


Kulikuwa hakuna Mpesa?
 
Tumpigieni KURA UMUGHAKA ili aweze Kushinda kwenye Mashindano ya Jamii Forum Entertainment. Hii ndo njia ya kumlipa kwa jinsi anavotuburudisha. please Lets Support him apate Moyo wa kuendelea kutuburudisha.

 
Hili neno aisee, jamaa anastahili kura zetu.
 
Deejay waleteeeeeee
 
Ameshapita tayari aseme kingine, aya mkuu UMUGHAKA lete vitu when you’re available
 
Mkuu,hawa waajiriwa wa mwisho wa mwezi alaf hana mishe yyte ya nje alaf kazi haina namna ya upigaji,900k haigawanyiki,,kama unabisha jaribu kupiga hesabu,
Kama yuko na familia ya watoto kwanzia wawili basi itakuwa ngumu kusave. Ila kama yuko pekee yake anaweza weka hata laki tatu kila mweiz mwaka uishe hakosi ata M3 au mbili point kadhaa
 
Mimi ni shabiki namba moja wa migegeduo. Unitag wa kwanza kabisa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…