Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Niliwahi kuwa team leader wa kampuni ya Airtel. Unayosimulia yote kuhusu kusajili line,footsoldier,gate meeting pamoja na kamisheni naamin kuwa haya unayosimulia ni kweli na siyo ya kutunga mzee
Endelea kususha episodes za kutosha.
Jamaa story zake zina ukweli, kule kigamboni dege eco village yupo sahihi.....

Hata kama katuwekea kachumbari ni tamuuu. Hajazidisha pilipili na chumvi
 
Niliwahi kuwa team leader wa kampuni ya Airtel. Unayosimulia yote kuhusu kusajili line,footsoldier,gate meeting pamoja na kamisheni naamin kuwa haya unayosimulia ni kweli na siyo ya kutunga mzee
Endelea kususha episodes za kutosha.
Ushaingia kingi na wee [emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sure mm nimejua ni ukweli kwa sehemu kubwa alipo ongelea deals za ujenzi na kibarua cha kusajili laini hajakosea hata kidogo process za kuanza hivyo vibarua hasa cha usajili wa lain ametembea mulemule..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…