Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Dar hata ujifanye mbabe vipi na lugha kali za kikurya,watakuibia tu kitaalam,bila kutumia nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa story zake zina ukweli, kule kigamboni dege eco village yupo sahihi.....Niliwahi kuwa team leader wa kampuni ya Airtel. Unayosimulia yote kuhusu kusajili line,footsoldier,gate meeting pamoja na kamisheni naamin kuwa haya unayosimulia ni kweli na siyo ya kutunga mzee
Endelea kususha episodes za kutosha.
Ila kule dege ni mbali niliwahi kwenda kufanya delivery kwa client wangu na pametulia sanaJamaa story zake zina ukweli, kule kigamboni dege eco village yupo sahihi.....
Hata kama katuwekea kachumbari ni tamuuu. Hajazidisha pilipili na chumvi
Akiweka mpya Naomba Uwe unanitag mkuu!!Na mi ndo naona leo ngoja niweke kambi
Ushaingia kingi na wee [emoji23][emoji23]Niliwahi kuwa team leader wa kampuni ya Airtel. Unayosimulia yote kuhusu kusajili line,footsoldier,gate meeting pamoja na kamisheni naamin kuwa haya unayosimulia ni kweli na siyo ya kutunga mzee
Endelea kususha episodes za kutosha.
Yuko makini [emoji41][emoji41] anajuwa huku Kuna wakozoajiJamaa story zake zina ukweli, kule kigamboni dege eco village yupo sahihi.....
Hata kama katuwekea kachumbari ni tamuuu. Hajazidisha pilipili na chumvi
Sure mm nimejua ni ukweli kwa sehemu kubwa alipo ongelea deals za ujenzi na kibarua cha kusajili laini hajakosea hata kidogo process za kuanza hivyo vibarua hasa cha usajili wa lain ametembea mulemule..ila nimegundua sehemu kubwa ya masimulizi yako umughaka,ni matukio ya kweli,yaani maisha uliyopitia,tofauti na wengi wanavyodhani,kama no kachumbari unaongezea kidogo sana,siku hizi za kimtandao hadithi za kutunga hazisisimui sana watu,sababu wanaona matamthilia makali,yaliyopangiliwa kwa ustadi kwenye tv channel,lakini mambo yaliyomtokea mtu kweli,siku zote husisimua tu...big up umughaka....
we jamaa kama sio mwanga basi una vinasaba vya wangaYuko makini [emoji41][emoji41] anajuwa huku Kuna wakozoaji
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ubarikiwe sana Mkuuu!! Yanii ndio nimeanza kuisoma rasmi sasa!!
Nimekuelewa mkuu!Then usiwafananishe na vitu vya kijinga. Waheshimu hao Nguli.
Ngoja nijipe jukumu la kuwa nakutagAkiweka mpya Naomba Uwe unanitag mkuu!!
Nashukuru sana best umepoteaaa!!Ngoja nijipe jukumu la kuwa nakutag
Nipo best na uwa nasoma sana story humu bila kucomentNashukuru sana best umepoteaaa!!
Sawa ntakushtuaAkiweka mpya Naomba Uwe unanitag mkuu!!