Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Mkubwa UMUGHAKA mbona kipindi kile huyo kiumbe ameshinda njaa na kapasua pasua glass kesho yake ulipomfungulia mlango hakutoka kwa fujo kama hizi au alijua kuwa ilikuwa ni bahati mbaya
Nimsaidie..ile siku alivunja vyombo alikuwa amefunguliwa kwa muda akakikosa chakula..sasa this time amefunguliwa muda usio wake na akawahi chakula maana kilikuwepo.
 
Ujuaji
 
Hawa wapemba Wana kawaida ya kuchungulia nyota za watu akishaona nyota yako Ina mvuto basi anaanza kuwa karibu na wewe na kuanza kukusogeza Kwa mtego wa pesa na kazi za kupata riziki hapa na pale lakini Lengo ni kuiba nyota yako au kuitumikisha nyota yako Kwa manufaa yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…