Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Hela ni hela mkuu, kibaya ni kuzipata kwa kuumiza nafsi za watu wengine.
 
Sasa huyo jamaa kwanini alikua anakuita mjini... Kuna watu wamejizima data
 
Umeanza kuwa unaiba stories za watu unaingizia kwako. Hii ya Guest house uliichomoa kwenye ule uzi wa vituko guest house. Unapotunga uwe makini. Haya lete chai.
Hakika umeona vzr ,huyu jamaa nimemnoti anaiba na wala hana uhandishi huu ,muandiko wake naufahamu mno anakop na kupaste huku [emoji38]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Bila shaka mmjomba wako kaoa mmachame

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
???????
 
Nukta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…