Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Hakika umeona vzr ,huyu jamaa nimemnoti anaiba na wala hana uhandishi huu ,muandiko wake naufahamu mno anakop na kupaste huku [emoji38]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe kama sio kilaza basi ni zwazwa.
Jf kuanzia majina nk ni fake lkn unatafuta uhalisia kwenye story ya mtu mwenye jina na utambulisho fake!
Una akili kweli?
Humu tunaburudika na kupunguza msongo na kusonga mbele...tambaa zako
 
Venye nna hasira hii simulizi ntaiweza kweli? Mtu amekukatia line mpk unafikia kuwa nesi wa zamu bado anakuja unampa ela?! Haya we apo ulikua mpitaji utasemaje eti kuaga kuondoka utaonekana umedharau?

Acha tu lemutuz atudharau atudanganye chuma alitaka kumpa uteuzi akamjibu ukitaka tugombane unipe huo uteuzi. Nimegafirika sana
 
Kuishi na ndugu kazi Sana ni heri upange ama ubaki kwenu Tu ndugu hapana
 
Nimeanza kuyaona yale ninayoamini. Yaani mke wako huwa hapendi uishi na ndugu zako Ila ndugu zake tu sema Kama hao waliosoma na wanaojua hela.

Yaani ukifanikiwa na ukaoa Kilimanjaro na umetokea huko Kama kyasaka ndipo utajua. Jamani mke wangu adhubutu kunyanyua mdomo kujibizana namie.

Bora niishi single
 
Safi Umughaka is back[emoji120]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo kwakua wewe haujaingi kwenye hiyo contract, una uhakika wa kuishi zaidi ya hiyo miaka 10?

Mimi naamini kuna madhara mengine ambayo huwa wanapitia yanayowaumiza kuliko hilo la kifo, kwasababu kifo kipo kwa wote.
Maumivu ya Kisaikoloji thus Wana KILA kitu lakini hawapo happy, zaidi ya kufake.
Kuna kifo cha faida na kifo cha hasara
 
Imeanza kunoga.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…