Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kwa hiyo keisangora unataka kutwambia siye wa Manchimweru tusiwowe uchagani?[emoji1787][emoji1787]
Oa ndio uone mziki wake. Watu wengi hawajui Mana ya kuoa wao wanajua hisia ama wanaongozwa na hisia Mana muda huo unakuta Dickson amechachamaa kinyama. So uoe huko kwenu manchi Moto ndio Kuna Koo unazijua tokea babu wa babu yake.wewe unakutana na manka mjini umesoma umekuwa let say lecturer unamuona amewaka unazama. Cheki story ya Jackal Daniel yule mama anaona wivu mmewe kusomesha tu mtt wa Kaka yake. Yaani Bora usomeshe wa mchepuko haitamuuma Ila was ndugu yako inauma mno.

Unapooa unaleta mtu Kuja kumpanda kwenye Koo yako ,je atakubali kuota ama ndio mama yangu akitoka keisangora na like tope jekundu na magaga akiingia kwenye nyumba ya spanisha tiles atakuwa anaona kuwa anaichafua.


Kuna dokta mmoja anaitwa machela alioa mhaya mmoja Tena mziba wale walizopata first contact na wamisheni. Huyu jamaa bana siku mama yake alipokuja kumsalimia mke wake akamwambia kuwa huyu mama yako Ni mchafu mpeleke kwa rafiki yako alale na kweli akampeleka
 
Mjini kaka watu wanatumia akili sio maguvu.

Wewe ulidhani maguvu ya kikuria yatakusaidia na ukapigwa knockout kwa njia salama kabisa bila vurugu
 
Yani mama asilale nyumbani kwangu kwa sababu tu mke hataki, ye mke ndo atahama nyumba.
 
Mwendelezo mkuu Omughaka [emoji120]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Sasa wewe kama sio kilaza basi ni zwazwa.
Jf kuanzia majina nk ni fake lkn unatafuta uhalisia kwenye story ya mtu mwenye jina na utambulisho fake!
Una akili kweli?
Humu tunaburudika na kupunguza msongo na kusonga mbele...tambaa zako
Siondoki ngooo had ache uongo au ningolewe kwa nguvu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Umughaka nimemuona bado hakuwa mwenyeji wa mjini. Kwanza sikubali mie mtu anipeleke. Kama sijui nauliza watu watatu mpaka watano ndio naanza kulinganisha ,na pia nauliza watu walioko ofisini tu.

Kama wa njiani nauliza kuanzia watano wakinipa jibu moja ndio nakuwa na uhakika na walichosema. Yaani unipeleke hata iweje. Na jamaa alikuwa na hela na hivi majuzi tu sijui why hata asingeweka benki kiusalama hela ya kutokea nadhani sijui inakuwa Ni alfu kumi tu so ikipotea hiyo Ni ndogo kuliko iyo yote kupotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…