Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Hii tabia wanazo sana nyumba ambazo wana uwezo hawafundishwi upendo na kuthamini watu au kujali. Ila kama ukienda nyumba hizo una cheo au uwezo utathaminiwa haswa, wanakupita kama hawakuoni, nyumba chache sanaa utakaa vizuri.

Ndio maana sipendi kwenda kwa watu au ndugu kwa sababu umeenda kusalimia na sio kushughulika na mambo ya wagonjwa Kwan wakati haupo alisaidiwa na nani inatakiwa ufanye kwa ridhaa yako na sio Ndio inakuwa kazi yako kumuosha mtu sio ndugu yako sio kazi ndogo ujue wana uwezo walitakiwa kuwe na nesi wa kumshughulikia mzee na kumsafisha.

Acha nijikalie kwangu aisee kwa ndugu ni kazi kuishi
 
Pole mkuu Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi Amina.
 
Umekaribishwa mjini
 
Waziba n noma bora wamachame
 
Milioni 9 yako mhuni kamalizia tiles [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ilikuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…