Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Naomba kila msukule abaki na imani yake,hii story kama UMUGHAKA kaitunga au kaitungua pahali atakuwa anajua mwenyewe

Kuna kasehemu hapo eti UMUGHAKA alipewa pesa million 40 apeleke bank sijuhi kulikuwa na umuhimu gani wa yeye ndio aipeleke bank wakati Ally Mpemba angeweza tu kutuma mamba za acc kwa yule dada pesa ikawekwa bila kuirisk mikononi mwa umukurya
Hujawai kutumwa kuchukua hela ya mtu na kuipeleka bank? Mbona ni jambo la kawaida kwa wafanyabiashara wengi kulipiana pesa cash nyumbani na vijana waaminifu ndo hufanyaga hii kazi
 
Hujawai kutumwa kuchukua hela ya mtu na kuipeleka bank? Mbona ni jambo la kawaida kwa wafanyabiashara wengi kulipiana pesa cash nyumbani na vijana waaminifu ndo hufanyaga hii kazi

Anaropoka na kujidai mjuaji, watu tunabeba mpaka m 100 kupeleka bank yeye anashangaa m 40! Ujuaji ukizidi unabadilika kuwa upumbavu!
 
Umughaka anavotuzoom[emoji23]
1668691001655.jpg
 
Ahahahaha, ukimbie na gari ya watu tena ya hela ya majini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] ndo lingewahi nifikisha maana muda huo sidhani kama miguu ingeweza timiza hitaji la mbio nilizo dhamilia, na nisinge sahau kuwasha AC [emoji23]
 
Back
Top Bottom