Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

😂😂We ndo umenambia huwezi amini To yeye me nmempgia simu nasikia mtu pembeni anaongea sauti ya kikurya.
Tena To yeye kaniambiaje ety nipo tu hapa kweny bar ya wakurya nkamwambia dada angu we na bar wapi wapi mbona nasikia mwangi hapo ulipo akakata simu akanitumia sms ety ntakupiga badae. Nkasema mhhhh huyu kaka naona kahamishia majeshi kwa dada angu
😂😂😂ngoja aone anaenikula hii comment niachwe usikuusiku
 
Back
Top Bottom