Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

UMUGHAKA TAKE CARE UNAWEZA KUPUNGUZA AUDIENCE PALE UNAPOKAA MUDA MREFU KUTOKA EPISODE MOJA MPAKA NYINGINE...

PSYCHOLOGICALLY MATAMANIO, UPENDO, TAMAA NA SHAUKU HUONGEZEKA TO THE ELASTIC LIMIT...IKISHAFIKA FIKA MWISHO HUPOROMOKA...

USIJE SHANGAA UNADONDOSHA EPISODE...ALAFU UKAPOKEA POOR RESPONSE KUTOKANA NA KUPUNGUA KWA AUDIENCE TOFAUTI NA ILIVYO HIVI SASA...

KITU KIREFU SANA NA KUCHUKUA MUDA MREFU ZAIDI HUPOTEZA MVUTO KADIRI MUDA UNAVYOZIDI KWENDA.

HII ITAATHIRI HATA UPANDE WAKO...KWA SABABU HATA WEWE KATIKA USIMULIAJI WAKO KUNA KITU UNAKIPATA NA KUKIPUNGUZA KWA UPANDE WAKO NI FAIDA VILEVILE...MWISHO WA SIKU NA WEWE INTEREST YA KUSIMULIA UTAPOTEZA KWA KUKOSA AUDIENCE...

HUJIULIZI KWANINI STORY ZINGINE HAZINA RESPONSE KAMA HII ULIYOPATA WEWE...ITS JUST BECAUSE TUNA EXPERIENCE NA STORY ZILIZOPITA ZILIISHA HARAKA...NA HII VILEVILE WE EXPECT ITAISHA HARAKA KAMA ZILE MBILI ZILIZOPITA...

OTHERWISE NA WEWE UTATUPOTEZA KAMA WENZAKO...ACHANA NA HUU UTARATIBU...ALIYEKUSHAURI HIVI KUWA WEEK AFTER WEEK HAKUPENDI NA HAKUTAKII MEMA...NA VILEVILE PENGINE ANAKUONEA WIVU KWA VILE ULIVYOTEKA AUDIENCE....FIKIRI...CHANGA KARATA ZAKO VEMA...
Ushauri mzuri sana huu.. nikiwemo mimi atanipoteza kwa utaratibu huu
 
Bongo tatizo sana,yaan huyu jamaa na story zake za kufikirika baada ya kupata followers kidogo tuu basi tayari keshajiona superstar,analeta madeko kama mtoto wa kike....
Kama umeamua kuleta story lete na uhakikishe unamaliza,sio kuanza kuringa kama unaombwa maku wakati wew mtoto wa kiume,
Punguza madeko na maliza story na usilete story nyingine hapa kenge wewe.
Umeandika kwa uchungu na hisia kali mnoo
 
UMUGHAKA TAKE CARE UNAWEZA KUPUNGUZA AUDIENCE PALE UNAPOKAA MUDA MREFU KUTOKA EPISODE MOJA MPAKA NYINGINE...

PSYCHOLOGICALLY MATAMANIO, UPENDO, TAMAA NA SHAUKU HUONGEZEKA TO THE ELASTIC LIMIT...IKISHAFIKA FIKA MWISHO HUPOROMOKA...

USIJE SHANGAA UNADONDOSHA EPISODE...ALAFU UKAPOKEA POOR RESPONSE KUTOKANA NA KUPUNGUA KWA AUDIENCE TOFAUTI NA ILIVYO HIVI SASA...

KITU KIREFU SANA NA KUCHUKUA MUDA MREFU ZAIDI HUPOTEZA MVUTO KADIRI MUDA UNAVYOZIDI KWENDA.

HII ITAATHIRI HATA UPANDE WAKO...KWA SABABU HATA WEWE KATIKA USIMULIAJI WAKO KUNA KITU UNAKIPATA NA KUKIPUNGUZA KWA UPANDE WAKO NI FAIDA VILEVILE...MWISHO WA SIKU NA WEWE INTEREST YA KUSIMULIA UTAPOTEZA KWA KUKOSA AUDIENCE...

HUJIULIZI KWANINI STORY ZINGINE HAZINA RESPONSE KAMA HII ULIYOPATA WEWE...ITS JUST BECAUSE TUNA EXPERIENCE NA STORY ZILIZOPITA ZILIISHA HARAKA...NA HII VILEVILE WE EXPECT ITAISHA HARAKA KAMA ZILE MBILI ZILIZOPITA...

OTHERWISE NA WEWE UTATUPOTEZA KAMA WENZAKO...ACHANA NA HUU UTARATIBU...ALIYEKUSHAURI HIVI KUWA WEEK AFTER WEEK HAKUPENDI NA HAKUTAKII MEMA...NA VILEVILE PENGINE ANAKUONEA WIVU KWA VILE ULIVYOTEKA AUDIENCE....FIKIRI...CHANGA KARATA ZAKO VEMA...

N kweli
 
Inawezekana kwavile Umughaka alikuwa hajiusishi na wanawake sana kwahyo kibuyu kilikuwa kimejaa

Afu kwenye mgegedo hata ukilala na wale mademu wenye jasho kali linalonuka huwez kulisikia,utalisikia baadae akishaondoka pale unapobak peke yako
"Inawezekana kwavile Umughaka alikuwa hajiusishi na wanawake sana kwahyo kibuyu kilikuwa kimejaa"

HII UMEITOA WAPI? NANI ALIKUAMBIA? AU UNAHISI TU UNAANDIKA HAPA.
 
Cha ajabu wakati Master anaambiwa awe anachukua 50,000 ya kuhemea makabeji,Farah alianza kuuliza kuwa mbona kila siku unachukua 50,000 mnabiashara gani na Ally
Hapa aliuliza kwasababu hajawahi kuonana nae maana yeye alikua anayakuta tu makabeji hajui alienunua. Lakini hata siku aliyompita kwapupa hakumwangalia vizuri Ili amkalili lakini Sasa anamjua.
 
UMUGHAKA TAKE CARE UNAWEZA KUPUNGUZA AUDIENCE PALE UNAPOKAA MUDA MREFU KUTOKA EPISODE MOJA MPAKA NYINGINE...

PSYCHOLOGICALLY MATAMANIO, UPENDO, TAMAA NA SHAUKU HUONGEZEKA TO THE ELASTIC LIMIT...IKISHAFIKA FIKA MWISHO HUPOROMOKA...

USIJE SHANGAA UNADONDOSHA EPISODE...ALAFU UKAPOKEA POOR RESPONSE KUTOKANA NA KUPUNGUA KWA AUDIENCE TOFAUTI NA ILIVYO HIVI SASA...

KITU KIREFU SANA NA KUCHUKUA MUDA MREFU ZAIDI HUPOTEZA MVUTO KADIRI MUDA UNAVYOZIDI KWENDA.

HII ITAATHIRI HATA UPANDE WAKO...KWA SABABU HATA WEWE KATIKA USIMULIAJI WAKO KUNA KITU UNAKIPATA NA KUKIPUNGUZA KWA UPANDE WAKO NI FAIDA VILEVILE...MWISHO WA SIKU NA WEWE INTEREST YA KUSIMULIA UTAPOTEZA KWA KUKOSA AUDIENCE...

HUJIULIZI KWANINI STORY ZINGINE HAZINA RESPONSE KAMA HII ULIYOPATA WEWE...ITS JUST BECAUSE TUNA EXPERIENCE NA STORY ZILIZOPITA ZILIISHA HARAKA...NA HII VILEVILE WE EXPECT ITAISHA HARAKA KAMA ZILE MBILI ZILIZOPITA...

OTHERWISE NA WEWE UTATUPOTEZA KAMA WENZAKO...ACHANA NA HUU UTARATIBU...ALIYEKUSHAURI HIVI KUWA WEEK AFTER WEEK HAKUPENDI NA HAKUTAKII MEMA...NA VILEVILE PENGINE ANAKUONEA WIVU KWA VILE ULIVYOTEKA AUDIENCE....FIKIRI...CHANGA KARATA ZAKO VEMA...

Bongo tatizo sana,yaan huyu jamaa na story zake za kufikirika baada ya kupata followers kidogo tuu basi tayari keshajiona superstar,analeta madeko kama mtoto wa kike....
Kama umeamua kuleta story lete na uhakikishe unamaliza,sio kuanza kuringa kama unaombwa maku wakati wew mtoto wa kiume,
Punguza madeko na maliza story na usilete story nyingine hapa kenge wewe.

Asante sis niliiona ! Hapa masta kuleta nyingine sijui lini walai!

UMUGHAKA anatoa episode kila jumamos mchana , ana mambo mengi pia ya kufanya ..!! Ahsanteni
 
Kweli watu mmekuwa addicted na story Wengne mpk mnamshauri vizur umaghaka ili mradi atume tu 😀😀 anyway nmeona mnamfananisha Farha na Maya hivi mnamjua umaghaka nyie Kuna story moja apa ya TULICHOMFANYA YULE MCHAWI ATAJUTA" Hii bwana tulijuaga dem wa emma ndio mchawi Kumbe watu wengne kabsa 😂😂😂
 
Back
Top Bottom