Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

UMUGHAKA TAKE CARE UNAWEZA KUPUNGUZA AUDIENCE PALE UNAPOKAA MUDA MREFU KUTOKA EPISODE MOJA MPAKA NYINGINE...

PSYCHOLOGICALLY MATAMANIO, UPENDO, TAMAA NA SHAUKU HUONGEZEKA TO THE ELASTIC LIMIT...IKISHAFIKA FIKA MWISHO HUPOROMOKA...

USIJE SHANGAA UNADONDOSHA EPISODE...ALAFU UKAPOKEA POOR RESPONSE KUTOKANA NA KUPUNGUA KWA AUDIENCE TOFAUTI NA ILIVYO HIVI SASA...

KITU KIREFU SANA NA KUCHUKUA MUDA MREFU ZAIDI HUPOTEZA MVUTO KADIRI MUDA UNAVYOZIDI KWENDA.

HII ITAATHIRI HATA UPANDE WAKO...KWA SABABU HATA WEWE KATIKA USIMULIAJI WAKO KUNA KITU UNAKIPATA NA KUKIPUNGUZA KWA UPANDE WAKO NI FAIDA VILEVILE...MWISHO WA SIKU NA WEWE INTEREST YA KUSIMULIA UTAPOTEZA KWA KUKOSA AUDIENCE...

HUJIULIZI KWANINI STORY ZINGINE HAZINA RESPONSE KAMA HII ULIYOPATA WEWE...ITS JUST BECAUSE TUNA EXPERIENCE NA STORY ZILIZOPITA ZILIISHA HARAKA...NA HII VILEVILE WE EXPECT ITAISHA HARAKA KAMA ZILE MBILI ZILIZOPITA...

OTHERWISE NA WEWE UTATUPOTEZA KAMA WENZAKO...ACHANA NA HUU UTARATIBU...ALIYEKUSHAURI HIVI KUWA WEEK AFTER WEEK HAKUPENDI NA HAKUTAKII MEMA...NA VILEVILE PENGINE ANAKUONEA WIVU KWA VILE ULIVYOTEKA AUDIENCE....FIKIRI...CHANGA KARATA ZAKO VEMA...
Huyo boya unaembembeleza ni mfano halisi ya watanzania wengi wakishayapatia maisha. Huona weanzao mafala, maboya, na hawana akili kabisa isipokuwa wao
 
Na kama kitu kipo real huwa kinahitaji muda halafu watu wanatukana na kupaniki pasipo kujua mazingira ya mwandishi yako vipi. Jamaa ni Dereva wa bodaboda muda wa kutulia na kuandika ni mchache kutokana na nature ya kazi yake. Watu wanatakiwa kuwa na subira tu.
alafu kumbuka ni matukio ya miaka mingi nyuma,lazima urudishe nyuma kumbukumbu vizuri,ingekuwa ya kutunga angekuwa anatiririka tu..
 
Ngoja nilale sasa huende kesho akamaliza hii simulizi.

FgLHQRrX0AE8V2Q.jpeg
 
Hakuna story nimeisoma kwa raha zangu kama hiyo iliyopita ya kutimuliwa home niliacha ikaishaa kabisa ila hii sijui kiherehere gani kimenikuta nikaanza kuisoma.
Mimi nilianza kusoma, wakati imefika sehemu ya kumi, nikajua nimeupunguza usiku, kwa kupanda kitandani saa tisa za usiku, kumbe hakuna nilichokwepa!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom