Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru sana kwa kuhakikisha unanifuatilia kila siku upo na mimi,wewe ni shabiki yangu mkubwa wa simulizi zangu ingawa unataka uwe kama mimi lakini huo uwezo huna,kuandika ni kipaji kinachotoka kwa Mungu,hivyo endelea kuwa shabiki yangu hakuna namna[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya, story mpya inaanza. Uongo mpya umeshatungwa sasa ni muda wa kupokea.
Endelea kutupa shuhuda za maisha, kupitia shuhuda hizi tunajua mengi. Lengo ni kujifunza, uzuri hujahamasisha watu kwenye upuuzi Bali umeonyesha vile watu wanapitia mengi magumu huku nje wakionyesha Wana Utajiri mwingi huku ndani yao wanapitia mateso mengi.Jibu mujarabu mkuu[emoji1787][emoji1787]
Acha kuwajibu wapumbavu hao wabaki na upumbavu wao.Utabaki kupita kwenye uzi wa mwanaume na kupoteza bando wakati huo mwanaume naingiza Njuruku.
Bado ujaumia nataka uumie hadi upige mayoweeeee[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oya mtaalam acha hizo. Nakuonaga sana unauliza jins ya kupata mtaalam wa kukupa utajiri ila hujmpata.
Kwa kuchambua tu naona una hasira sana na umuaghaka jins alivoamua kuacha hela ?
Mkuu kilwakivinje simulizi mpya inakuja hivi karibuni,usiwe na shakaLeta mwendelezo UMUGHAKA
Mimi hata kesho naweza kurudi,simulizi ninazo mbili nzito,ila tatizo siwezi kutumia muda wangu bure + bando langu halafu mapumbavu yasiyokuwa na mbele wala nyuma kutwa ni kunitukana mkuu,bora hata yangekuwa yanakosoa najua ni sehemu ya kazi ila yenyewe yananitukana kana kwamba yananinunulia bando na kunifidia muda wangu,huu ujinga sitaki kabisa kuufanya sasa hivi!,na mimi ni bora niwe mtazamaji tu hapa JF
Mimi naandika story, nimesoma story nyingi lakini Huyu jamaa ana IQ kubwa sana nimenyoosha mikonoUkweli ni kwamba unajitahidi sana weito, mnyonge asinyimwe haki yake mkuu
Nakubaliana na wewe,jamaa is one of the kindHakuna Mwandishi Mzuri Kama Umughaka Toka Jamii forums ianzishwe